Wazungu wa nchi gani waliyoanzisha huo ukristo?Kwani ukristo kaanzisha nani ? kama sio hao hao wazungu , hiki ni chao tu , maelezo yangu nikukuonyesha ata kitu chenu kinamifikisha pazuri mkikithamini , sio ushamba wa kuvamia imani za watu
Ndiyo maana nataka ujibu swali hili suala la mimba za utotoni limetoka wapi? kama wamesha balehe hivyo ni watu wazima haya matatizo yanayowakumba hao mabinti hadi zikaitwa mimba za itotoni je wewe unayazungumziaje?Nimekujibu mtoto hapati mimba , hayo ni mawazo ya wapuuzi sawa na mtu akaamua akasema kuanzia leo hapa Tanzania mpaka ufike miaka 30 ndio unaingia utu uzima , lakini mwili wenyewe unajiswitch kuwa huyu amebalehe anaweza beba mimba , kinyume cha hapo mwili umejiswich huwezi beba mimba over , utu uzima unakaribishwa na mabadiliko ya mwili sio makaratasi serikalini
Unasema "kiufupi walipambana na dini ngeni kutoka nchi ya mbali", sasa kwa nini India ilipopata uhuru, kwenye katiba yao wasijitangaze kama ni nchi ya wahindu kama Pakistan ilivyojitangaza kama ni nchi ya waislam? Wikipedia : The constitution declares India a sovereign, socialist, secular - haina dini,[11]democratic republic, assuring its citizens justice, equality and liberty, and endeavours to promote fraternity (undugu).[12]1. Sababu ya kutengana India na Pakistan inabaki pale pale kuwa ni Dini , wahindu na waislamu walishindwa kuishi pamoja , Ata Gandi alikuwa ni Muhindi tena alikuwa mtu kiroho zaidi sio kisiasa , waziri mkuu wa kwanza ni Nehru huyu ni Muhindu
2.Monmohan Singh alikuwa ni SIKH , kweli lakini hii bado ni Imani yao waindi wenyewe imeanzia Punjab hapo hapo india hivyo sio Imani ilioletwa na mgeni yeyote , narudia tena SIKhism ni imani ya asili ya INDIA hakuna tatizo kuwa kiongozi na ndio maana ata wakati wa kutengana 1947 SIKHISM na HINDUISM waliungana pamoja na adui yao alikuwa MUISLAMU , kiufupi walipambana na dini ngeni kutoka nchi ya mbali
Wazungu wa nchi gani waliyoanzisha huo ukristo?
Masuala ya imani yatabaki kuwa imani tu hiyo Hinduism ni suala la kuwa na waumini wengi tu huko India basi na hakuna cha ziada zaidi ya wao kuamini hicho wanacho amini na ndiyo maana wahindi wengine wakaamua kuamini vyengine tofauti na hivyo basi kila mtu maisha yanaenda na wote wanabaki kuwa wahindi tu.
Anakatazwa kwa kuwa mwanafunzi, lakini katika umri huo huo kama si mwanafunzi anaruhusiwa kudanga na kuoa/kuolewa. Mwanafunzi serikali inamgharimia vitu vingi katika elimu.Hahahahaha yani usikute una umri sawa na baba yangu ila unaongea utumbo tu hapa kweli kuna makubwa Jinga.
Labda nikuulize kwanini serikali inakataza kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanafunzi ni kwa sababu hawajabalehe?
wahindi kiimani wapo vizuri sanaMkuu , umenena vizuri sana. Wahindi wa dini yoyote wanajiona kwanza kama wahindi! Hapa na nukuu kutoka wikipedia: "Moreover, even while maintaining their own cultural identity they did not fail to recognize themselves as nationally Indian, as Dadabhai Naoroji, the first Asian to occupy a seat in the British Parliament would note: "Whether I am a Hindu, a Muslim, a Parsi, a Christian, or of any other creed, I am above all an Indian. Our country is India; our nationality is Indian".[67]"
Sasa akiwa mwanafunzi ndio nini mbona mwanafunzi wa elimu ya juu hakatazwi kuwa kwenye mahusiano?Anakatazwa kwa kuwa mwanafunzi, lakini katika umri huo huo kama si mwanafunzi anaruhusiwa kudanga na kuoa/kuolewa. Mwanafunzi serikali inamgharimia vitu vingi katika elimu.
Sheria na taratibu za nchi tu zinafanya iwe hivyo ambapo wakiamua kuzuia hata huko chuo wanazuia, ila kubalehe ni natural.Sasa akiwa mwanafunzi ndio nini mbona mwanafunzi wa elimu ya juu hakatazwi kuwa kwenye mahusiano?
Ndio nauliza sababu zinazotumika kuzuia maana wote wanafunzi na wote wamebalehe na nyie mnasema kubalehe ndio kuwa mtu mzima.Sheria na taratibu za nchi tu zinafanya iwe hivyo ambapo wakiamua kuzuia hata huko chuo wanazuia, ila kubalehe ni natural.
Elimu ya kujiendeleza inapelekea sheria hii ifanye kazi kwa chuo kikuu. Mtu ameoa au kuolewa anasoma.Ndio nauliza sababu zinazotumika kuzuia maana wote wanafunzi na wote wamebalehe na nyie mnasema kubalehe ndio kuwa mtu mzima.
Sjakuelewa.Elimu ya kujiendeleza inapelekea sheria hii ifanye kazi kwa chuo kikuu. Mtu ameoa au kuolewa anasoma.
Kinachosikitisha zaidi kuona mtu mzima na akili zake anashupaza shingo kutetea huu ujinga.. Huyu anayejiita zuri nina shaka na ubongo wake..Ahahahahahahahahaa hiki ni kituko cha karne , alichofanya mohamadi ni sawa na kumsainisha mtu wakati amechanganyikiwa, akili ikimrudia shughuli inakuwa imeisha , mtoto mdogo wa miaka 6 ambaye katu ajabalehe unamuoza mume masikini aelewi chochote , mpaka akibalehe anakuwa yumo katika ndoa ambayo ata ajui alifungaje fungaje , huu ni ulafi na tamaa za mohamadi na Abubakari, kukatumia katoto ambako katu kalikua akawezi kufanya maamuzi yeyote kukaingiza ndoani ili kulinda nafasi zao kiutawala , inasikitisha sana
1. Sawa nimesema kuwa walikuwa wahindu , lakini katika mawaziri wote wakuu wa INDIA mmoja tu alikuwa MSIKH vip hapo bado unastaajabu kitu gani , alafu bahati nzuri tunajadili DINI asilia za watu , hivyo WASIKH bado asilia yao ni INDIA hapo hapo , ndio maana katika kutengana kule WASIKH na WAHINDU walikuwa upande mmoja dhidi ya WAISLAMU , kwa hiyo hoja ya msingi hapa inabaki pale pale kuwa hakuna kiongozi yeyote wa INDIA ambaye ametawala bila kuwa na imani ya ASILI YAO awe SIKH au HINDU hawa wote ni wao , na mambo yanakwenda wala hakuna haja ya imani ya kigeni wakati yenu ipoUnasema "kiufupi walipambana na dini ngeni kutoka nchi ya mbali", sasa kwa nini India ilipopata uhuru, kwenye katiba yao wasijitangaze kama ni nchi ya wahindu kama Pakistan ilivyojitangaza kama ni nchi ya waislam? Wikipedia : The constitution declares India a sovereign, socialist, secular - haina dini,[11]democratic republic, assuring its citizens justice, equality and liberty, and endeavours to promote fraternity (undugu).[12]
Halafu mbona unakua mgeugeu wakupitiliza? Ulisema "toka uhuru mpaka leo viongozi wote wakuu ni Wahindu", nikakutajia waziri mkuu asiyekuwa Mhindu na sasa unabadilisha kauli unasema Sikhism pia asili yake ni India. Kwenye utawala wa zamani, palikuwa na mawaziri wengi Waislamu kwenye serikali na pia marais kadha - Abdul Kalam na Fakhruddin Ahmed. Kama Islam ilikuwa ni adui ya dini za kiasili, kwa nini waislamu waliwekwa kama marais?!!
Mimba za utotoni ni sawa na kusema " nimemkuta ayupo ", sasa mtu umemkuta halafu tena ayupo ni matumizi mabaya ya lugha tu , narudia mtoto mdogo apati mimba , yeyote anaepata mimba maana yake mwili wake uko tayari , huyo ni mtu mzima kwa maana VIA vya uzazi tayari ni vya mtu mzima kipi uelewi weweNdiyo maana nataka ujibu swali hili suala la mimba za utotoni limetoka wapi? kama wamesha balehe hivyo ni watu wazima haya matatizo yanayowakumba hao mabinti hadi zikaitwa mimba za itotoni je wewe unayazungumziaje?
Unapinga nini au unakubali nini ? wazungu ndio wameanzisha ukristo , vinginevyo umekuja na jibu lako , ndio dini ni imani na kila mtu anacho chake , alieacha chake na kufaata cha mwenzake huyo ni mpumbavu tena asiejiamini kabisaWazungu wa nchi gani waliyoanzisha huo ukristo?
Masuala ya imani yatabaki kuwa imani tu hiyo Hinduism ni suala la kuwa na waumini wengi tu huko India basi na hakuna cha ziada zaidi ya wao kuamini hicho wanacho amini na ndiyo maana wahindi wengine wakaamua kuamini vyengine tofauti na hivyo basi kila mtu maisha yanaenda na wote wanabaki kuwa wahindi tu.
1. Sawa nimesema kuwa walikuwa wahindu , lakini katika mawaziri wote wakuu wa INDIA mmoja tu alikuwa MSIKH vip hapo bado unastaajabu kitu gani , alafu bahati nzuri tunajadili DINI asilia za watu , hivyo WASIKH bado asilia yao ni INDIA hapo hapo , ndio maana katika kutengana kule WASIKH na WAHINDU walikuwa upande mmoja dhidi ya WAISLAMU , kwa hiyo hoja ya msingi hapa inabaki pale pale kuwa hakuna kiongozi yeyote wa INDIA ambaye ametawala bila kuwa na imani ya ASILI YAO awe SIKH au HINDU hawa wote ni wao , na mambo yanakwenda wala hakuna haja ya imani ya kigeni wakati yenu ipo
2. Kuhusu kudeclare sasa wanadeclare nini wakati maisha ndio hayo kila siku , wanasema imani zao hazina muda maalum kila siku zipo na zitaendelea kuwepo sasa wanadeclare nini ? halafu ushasikia mtu anaingizwa HINDUISM ? zile ni tamaduni zipo tu pale elewa ufanyie kazi kwenye maisha yako sio suala la kuingizana kwenye imani
1. Sonia Gandi akukataa kwa hiari yake mazingira yalimlazimisha kwanza nikuweke sawa hapa , baada ya Indian National Congress kupata kura nyingi watu walitegemea PM atakuwa Sonia lakini BJP walikataa kwa hoja kuwa huyu sio mzaliwa wa INDIA(foreign born) , tabia zake na tamaduni zake aziko kwenye miiko ya KIINDI( jamii aina cha kujifunza apa ) , ndio maana watu kama Mrs Sushma Swaraj na Sadhri Uma Bharti walitishia kujitoa UHAIA wao kwa kuaribu vichwa vyao iwapo tu SONIA ataapa kuwa PM , haya mambo ndio yalisababisha SONIA kukaa pembeni ata kama katiba inamruhusu lakini watu wamekukataa, angechafua nchi huyu , ndio maana akakaa pembeni , kupisha wenye sifa stahiki kushika usukaniChama cha Congress iliyotawala India kwa mihula kadhaa, awamu yake ya mwisho ikiwa madarakani iliongozwa na Sonia Gandhi, mwanamama mkatoliki kutoka Italy ! Yeye alikataa kuchukua nafasi ya waziri mkuu na akamteua Bwana Singh!
Kama Wasikh na Wahindu ni upande mmoja, kwanini maelfu ya wasikh waliuawa na wahindu kwenye michafuko baada ya Indira Gandhi kupigwa risasi na mlinzi wake msikh mwaka 1984??
Ni kweli kuwa dini ilisababisha India kutengana, lakini ni waislamu ndio walishindilia kujitenga. Wakati ya mazungumzo Mahatma Gandhi alikuwa tayari kumfanya Jinnah (mwanzilishi wa Pakistan), awe waziri mkuu na aongoze India ili nchi isigawanywe, lakini Jinnah alikataa huku akiona kuwa mbele patakuwa na matatizo!
Usilete hoja ya kukisia bila ya mshiko kwenye uhalisia au historia. Nimeshakutajia majina ya marais waislamu na naweza kukuletea majina mengine mengi ya watu waislamu walioshika nafasi ya juu kwenye serikali ya India. Inawezekana vipi ikiwa waislamu wanapigwa vita na watu wa dini za kiasili??
Labda tuache kubisha masuala ya matumizi ya haya maneno ya nani anatakiwa kuitwa mkubwa au mdogo na tuzungumzie uhalisia,unajua kwamba kuna madhara huwa yanawakumba hao mabinti wakati wakujifungua kwao na wakati mwengine husababishia kifo na hiyo yote ni kutokana na miili yao bado haijawa teyari kukabiliana changamoto hizo?Mimba za utotoni ni sawa na kusema " nimemkuta ayupo ", sasa mtu umemkuta halafu tena ayupo ni matumizi mabaya ya lugha tu , narudia mtoto mdogo apati mimba , yeyote anaepata mimba maana yake mwili wake uko tayari , huyo ni mtu mzima kwa maana VIA vya uzazi tayari ni vya mtu mzima kipi uelewi wewe