Maana ya dini inaachaniana ila kwa ujumla naweza sema ni "Mfumo uliopangiliwa wa kiimani,sherehe na sheria mbalimbali ambazo zinatumika katika kuabudu mungu au kundi la miungu'. Hiyo ni maana ya dini na dini ni applicable only in this world, sisi hatuna mafundisho sijui ukifa kuna moto mara kuna bata noooo my fellow citizen.
Thanks mkuu kwa udadafuzi wako. wataelewa tuHakuna kitu nakichukia kama utumwa. Uwe ule wa kiuchumi, ule wa kiutamaduni, ule wa kisiasa na hata wa kifikra. Mtu mtumwa huonekana dhalili kabisa mbele ya mtwana. Mtwana humfanya atakavyo mtumwa wake! Ndio maana siku ikitokea mtwana kasafiri au kaondoka basi mtumwa ataiga ayafanyayo mtwana kama vile kujitupa katika kitanda cha mtwana, kuzungumza kwa kumwiga mtwana, kulia chakula vyombo vya mtwana n.k, n.k. Kitimtim ni pale atakapojua mtwana amerejea tena ghafla! Atakuwa na mashaka makubwa huyo!
Bado tuna kautumwa fulani ndani yetu, pamoja na kuwa angalau tuna uhuru na tunaweza kujiamulia mambo yetu wenyewe ila bado tunawaza kama watwana wetu! Afrika lazima iamke. Wale jamaa walishatuchezea akili sana! Hadi sa hivi hapa Tanzania utasikia mtu akifanya jambo zuri litavikwa "uzungu" kana kwamba sisi hatuwezi kufanya jambo zuri.
Mungu wa bara la Afrika ni yupi.
Hapa hakuna wa kutoa jibu sahihi hata ww huyo mungu wa wazungu ni yupi na yupo vipi,huwezi ni jibu.
Hata wao walianza kuvaa miti, so hadi nyakati hizi tungekuwa mbali sana kimavasi. Na angalia bidhaa za ngozi vinavyotengenezwa na wamasai, sandals,bags,etc. Pia angalia ususi wa kimasai hakika Afrika ingekuwa attractive continent ever! don't you feel natural proud of Africa?.Kwa hiyo wewe mwanaume mwenzangu sasa nyakati hizi Uko tayari kuvaa bikini za miti kama mababu zetu enzi hizo walivyokuwa wanavaa?
Matambiko ni jina tu hata watu wa Asia wanatumia ubani,udi n.k ilikufanikisha mambo yao. Matumizi ya haya ni matambiko pia angalia albadiri sijui ubatizo sijui upako n.k haya yote ni matambiko. Sitaki niseme mengi hapa sijui kwenda maka n.k ila tambua pia hizi pia ni taratibu katika dini.
NB: Yawezekana mungu ni mmoja ila alitenda katika mataifa tofauti tofauti kwa namna ya kiutofautitofauti na kipekee. Haikuwa sahihi sisi kuiga mambo ya mataifa mengine ilihali mungu alitupa utaratibu wa kufanya. Waafrika ni watulivu wanyenyekevu na hakuna adhabu zozote kubwa kutoka kwa mungu. Angalia Afrika ilivyorehemewa na ilivyo green it's godish land.
Matambiko ni jina tu hata watu wa Asia wanatumia ubani,udi n.k ilikufanikisha mambo yao. Matumizi ya haya ni matambiko pia angalia albadiri sijui ubatizo sijui upako n.k haya yote ni matambiko. Sitaki niseme mengi hapa sijui kwenda maka n.k ila tambua pia hizi pia ni taratibu katika dini.
Ila hii nakupa kama akiba tu ya maneno kwa mtindo wa swali.Maana ya dini inaachaniana ila kwa ujumla naweza sema ni "Mfumo uliopangiliwa wa kiimani,sherehe na sheria mbalimbali ambazo zinatumika katika kuabudu mungu au kundi la miungu'. Hiyo ni maana ya dini na dini ni applicable only in this world, sisi hatuna mafundisho sijui ukifa kuna moto mara kuna bata noooo my fellow citizen. Hivyo kupitia tafsiri hii bila shaka sasa umejua pia Dini za Afrika zilikuwa 1000% sahihi.. Mungu wa bara la Afrika ni yupi.
Hapa hakuna wa kutoa jibu sahihi hata ww huyo mungu wa wazungu ni yupi na yupo vipi,huwezi ni jibu. Niliposema kuwa kunautofauti kwa sababu hawaivi chungu kimoja, na kila mmoja anamkataa wa mwenzake. Wazungu wanadai mungu wetu ni feki ilihali wao ndio feki zaidi. Wao hawakuwa na haja ya kutaka kujua wakwetu anataka nn na yupo vipi wali mpuuzia na wakatupandikizia wao. Kwa nn kuna sects(madhehebu) mengi kwa kila kabira? Sijui kuna haja ya kukujibu hapa kwa sababu hata wao wana madhehebu mengi pia na haijalishi hata kama sisi mazehebu yalikuwa mengi zaidi ila ni mpango wa mungu kutokana na mazingira yenyewe. Kwa nn miungu iligawa mabara? swali hili ni sawa na kuuliza kwa nn mungu haonikani. Swali is too spiritual hili kulijibu.
Matambiko ni jina tu hata watu wa Asia wanatumia ubani,udi n.k ilikufanikisha mambo yao. Matumizi ya haya ni matambiko pia angalia albadiri sijui ubatizo sijui upako n.k haya yote ni matambiko. Sitaki niseme mengi hapa sijui kwenda maka n.k ila tambua pia hizi pia ni taratibu katika dini.
NB: Yawezekana mungu ni mmoja ila alitenda katika mataifa tofauti tofauti kwa namna ya kiutofautitofauti na kipekee. Haikuwa sahihi sisi kuiga mambo ya mataifa mengine ilihali mungu alitupa utaratibu wa kufanya. Waafrika ni watulivu wanyenyekevu na hakuna adhabu zozote kubwa kutoka kwa mungu. Angalia Afrika ilivyorehemewa na ilivyo green it's godish land.
mabara yote duniani yana mfumo wao wa kuabudu ambao ni tofauti na mabara mengine. Hii sio tu Afrika, hadi Amerika, Australia, Europe etc. Asia wameiteka sana Africa na ndio maana tamaduni za America mnaona kama wanakufuru hivi kwa imani za Asia. Ukiwa wa Asia anayofanya American ukitenda ww ni kosa na kinyume chake. Sasa sisi wa Africa tumeacha ya kwetu tunatenda ya Asia huoni ni kosa?Usipo elewa-ukikosa elimu utaona dini ya Kristo ni kinyume na dini ya asili. Wafrika kwasababu ya kutokuwa na elimu na pia wao kwa wao yaani wafrika wenyewe kutofundishana kutoka kizazi hadi kizazi ndiyo maana, siyo nyakati zetu; hata mababu waliotutangulia waliishi na kutumikia upotofu huu, ambao leo nasi tunaishi na kutumikia. Kudai kwamba wafrika tuna dini yetu ni upotofu unaotokana na ujinga, lakini pia unatokana na uzushi wa baadhi ya wafrika kwa kujua au kutojua wanawapotosha wafrika wenzao wengi (majority) kwa manufaa ya utawala na uchumi.
UCHAWI ni matumizi ya nguvu za giza, miujiza kutoka/zilizotokana na roho za kishetani.Ila hii nakupa kama akiba tu ya maneno kwa mtindo wa swali.
Unaweza kuniambia hao wazungu huo uchawi waliupata wapi mpaka wakaja kuwafundisha na waafrika ?
Tambiko ni aina ya ibada inayofanyika ili kupata kitu fulani kwa njia ya maombi maalumu.Ngoja nikuwekee wazi swali,ili usiendelee kukosea tena,unaweza kutenganisha vipi Tambiko na Uchawi ?
Majibu kama haya yapo katika dini zote na yanatumiwa na mashehe pamoja na mapadre.Kwanini huna msimamo na unayumba yumba ?
Kwani kuna wanaomjua mungu? akina nani hao wanaomjua mungu. Mungu ni mawazo ya binadamu ili kutatua shida zakeSasa kwanini umeamua kumuongelea Mungu usie mjua ? Huoni kama umeamua kuwa mjinga ?
Vipi utajua kama uko sahihi kwa kumuongelea Mungu usie mjua ?
Umeongea sana mkuu.Mkuu
Tutakaokuelewa ni wachache sana humu, watu wengi walishafanyiwa kitu ninachookiita " kuuwawa kwa tabia zao halisi" Yaani karibu kila kitu hapa Afrika kimeharibiwa. Angalia maisha yetu, mathalani lugha zetu, mavazi yetu, sayansi yetu, dini zetu, usomaji wetu, majina yetu n.k hadi unajiuliza hivi sisi watu weusi tutaacha alama gani hapa duniani!!!???
Kuna jamaa mmoja nilimponda tukiwa wengi kwa kumwita mtoto wake mchanga jina la kiingereza la ajabu ajabu kisa tu eti ni zuri (si ni la kizungu bwana) nilipomwambia kuwa asiendekeze utumwa wa fikra aliniita mimi mshamba yaani akasema sijaelemika! Nikamtazamaaaa, nikamwambia waziwazi mimi naitwa TATA MKURIA na najisikia fahari kuwaita watoto wangu majina yao kama Bhoke, Ghati,Marwa, Mwita n.k.
Mkuu Frustration hakuna bara linadharauliwa kidini kama Afrika! Yaani ni aibu, halafu waafrika hawa wa sasa tena wasomi wanaendelea kuwatumikia wale jamaa wakidhani wapo sahihi yaani waafrika tumeenda hatua zaidi ya wao kujiona hizi dini zao ni bora sana hadi zinatugombanisha! Zinafanya tuuwane! Ni aibu.
Ukienda mabara mengine, huwaambii kitu kuhusu dini zao! Kama hujui nenda nchi za Ulaya, nenda nchi za Uarabuni, nenda Uhindini, nk. Ila sasa njoo Afrika! Yaani akili zetu ni nyepesi nyepesi mno. Kila kitu kinaaminika kirahisi tu, tumesoma sasa lakini bado tunaendekeza yale yale yaliyotuletea madhila siku za nyuma. Tumelala fofofo tunadhani kila kitu kipo sawa. Yaani hadi nimewakumbuka Prof Ngugi wa Thiong'o na maelekezo yake katika kitabu cha "Decolonizing the Mind" pamoja na Okoth p'Bitek na vile vitabu vyake pendwa (najua wengi mlisoma kile maarufu Song of Lawino na Song of Ocol) hawa waafrika wenzetu wametuandikia tushtuke kidogo lakini bado tupo ziii!
Wale wenzangu wanaopenda dini zetu, tuendelee nazo ingawa tunaitwa washirikina mi nasema ni sawa tu nitaendelea kutambika ila siyo kwa kafara za watu kama hawa washenzi wa baadhi ya dini hizi za kisasa wanavyofanya!
Najua tupo wengi tu ingawa makanisani na misikitini pia tunaingia mara kwa mara ila mioyoni mwetu tunaujua ukweli na pia tumeisha enda wapi na wapi kupata tiba zetu za kujikinga na mabalaa. Ukituona kwa nje tuna heshima lukuki katika jamii ila kiundani tunaamini dini za Kiafrika kimya kimya.
Tata mkuria.
Kabla ya wageni, dini iliyotawala hapa ni animism (a belief that natural objects and phenomenon have souls). Pamoja na mizimu (ancestral spirits) watu walikuwa na imani kwenye vitu au viumbe za kila aina. Wageni mbio mbio wakatangaza kuwa imani hizi za kiasili zimejaa ushirikina na hazikubaliki. Kila aina ya mbinu zilitumika kushawishi watu waachane na imani za kizamani na kuwa wastaarabu au wastazungu!! Sasa imani, mila na desturi zilizopigwa vita hapa, ni yale yale ambayo mpaka leo zinatumika huko India (Hinduism), China (Taoism), Japan (Shinto), Thailand (Buddhism), nk. Waafrika walishawishika vipi kukubali dini za kigeni, wakati wageni waliokuja kuhubiri walikuwa wachache sana na wangedhibitiwa kwa urahisi??!Kwani dini za waafrika kabla ya wageni zilikuwaje ?
Ukifa unakuwa invisible (huonikani) lakini unaishi na bado kiimani unashirikiana na ndugu zako. Ndio maana watu wanaenda kuomba makaburini kama kuna tatizo na mda mwingine hutokea anapohitaji(demand) kitu fulani. Kuna vitu ukifanyiwa mila basi mambo yanakaa poa. Kama upo Asia utakataa hili ila kama Africa basi utakuwa pamoja na mm.Maana yako ya dini,inaingia udhaifu hapa uliposema ya kuwa '......sisi hatuna....' . Nyinyi dini zenu za kiafrika zinakwambia nini ukifa unaenda wapi au inakuwaje ?
Afadhali mnisaidie jamani huyu Zurich mbishi sana.Kabla ya wageni, dini iliyotawala hapa ni animism (a belief that natural objects and phenomenon have souls). Pamoja na mizimu (ancestral spirits) watu walikuwa na imani kwenye vitu au viumbe za kila aina. Wageni mbio mbio wakatangaza kuwa imani hizi za kiasili zimejaa ushirikina na hazikubaliki. Kila aina ya mbinu zilitumika kushawishi watu waachane na imani za kizamani na kuwa wastaarabu au wastazungu!! Sasa imani, mila na desturi zilizopigwa vita hapa, ni yale yale ambayo mpaka leo zinatumika huko India (Hinduism), China (Taoism), Japan (Shinto), Thailand (Buddhism), nk. Waafrika walishawishika vipi kukubali dini za kigeni, wakati wageni waliokuja kuhubiri walikuwa wachache sana na wangedhibitiwa kwa urahisi??! Desmond Tutu on how we got colonized. When the white men came to Africa, we had the land and they had the Bible. They said to us, lets close our eyes and pray. So we closed our eyes to pray, and when we opened them, the tables were turned - the white men had the land and we had the Bible!!!