Ukweli usiosemwa juu ya dini za Kiafrika

Ukweli usiosemwa juu ya dini za Kiafrika

Umeelewa sasa hizo ndio sifa za dini ya kihindu Origin yake , HINDUISM ni dini iliyotokana na vidini vidogo vidogo vinavyopatikana INDIA , kama ujaelewa sema , nimekutajia mtume ili ujue kuwa katika HINDUISM hakuna mtume wala nabii
Dogo sio muelewa,nilikuuliza unajua kuwa huko India kuna dini zengine walizonazo wahindi mbali na hiyo Hinduism na unajua kuwa hiyo dini ya hinduism haipo India tu?
 
Dogo sio muelewa,nilikuuliza unajua kuwa huko India kuna dini zengine walizonazo wahindi mbali na hiyo Hinduism na unajua kuwa hiyo dini ya hinduism haipo India tu?
We jamaaa una matatizo ya akili nafikiri naongea lugha ya kimahesabu usipoelewa basi uelewi tena
HINDUISM= vidini vidogo vidogo vinavyopatikana INDIA
Kuwepo sehemu nyengine hakuna tatizo wahindi wapo dunia nzima watu wanaweza kuwaona na kujifunza DOCTRINES zao shida iko wapi !!
 
Sio miaka 6 ata angekuwa na miaka 3 kama AMEBALEHE maana yake sio mtoto bali ni Mtu Mzima , hivyo hakuna tatizo lolote kumuoa , kosa alilofanya Mohammed ni kuoa katoto kadogo ambako katu akajabalehe , kwahiyo ile ndoa ya Mohammed ni ndoa ya UTOTONI , narudia tena UKIBALEHE wewe ni mtu mzima , ujaelewa wapi !!
Wewe unachojua ni kumuingilia tu binti kisa kabalehe hujui kama kuna tatizo la mimba za utotoni,ingekuwa balehe tu ndio utu uzima basi kusingekuwa na madhara ya hizi mimba za utotoni. Unasikitisha et binti cha miaka 6 ni mdogo kisa hajabale na cha miaka 9 ndio et mtu mzima kisa kabalehe. Halafu unazidi kujionesha ujinga maana kama kwako ndoa ni kumuingia tu binti na kupata uzazi basi hakuna tofauti yeyote ya kuoa binti asiyebalehe na kumsubiri abalehe ili utimize lengo la ndoa.
 
We jamaaa una matatizo ya akili nafikiri naongea lugha ya kimahesabu usipoelewa basi uelewi tena
HINDUISM= vidini vidogo vidogo vinavyopatikana INDIA
Kuwepo sehemu nyengine hakuna tatizo wahindi wapo dunia nzima watu wanaweza kuwaona na kujifunza DOCTRINES zao shida iko wapi !!
Wewe ndio hunielewi unarudia tu kitu kilekile,nimekwambia huko India hao wahindi wana dini zengine mbali na hinduism unayoona wewe ndio kila kitu huko india na mwanzo ulisema hinduism ni kwa ajiri ya wahindi tu.
 
Wewe unachojua ni kumuingilia tu binti kisa kabalehe hujui kama kuna tatizo la mimba za utotoni,ingekuwa balehe tu ndio utu uzima basi kusingekuwa na madhara ya hizi mimba za utotoni. Unasikitisha et binti cha miaka 6 ni mdogo kisa hajabale na cha miaka 9 ndio et mtu mzima kisa kabalehe. Halafu unazidi kujionesha ujinga maana kama kwako ndoa ni kumuingia tu binti na kupata uzazi basi hakuna tofauti yeyote ya kuoa binti asiyebalehe na kumsubiri abalehe ili utimize lengo la ndoa.
Mbona unalialia utu uzima unaishara zake mwilini , mtu anapo balehe maana yake amekuwa mtu mzima , amekidhi kigezo cha kuwa mke na kujenga familia , narudia tena Mtoto abebi MIMBA , ukiona mtu kabeba Mimba ujue huyo mtu mzima , dini zetu za kiafrica ni marufuku mtu kumuoa wakati ajavunja ungo (ajabalehe) , tabia za kuoa watoto wa dogo huko kwakina Mohammed wasio na aibu
 
Wewe ndio hunielewi unarudia tu kitu kilekile,nimekwambia huko India hao wahindi wana dini zengine mbali na hinduism unayoona wewe ndio kila kitu huko india na mwanzo ulisema hinduism ni kwa ajiri ya wahindi tu.
Narudia tena HINDUISM ni boksi kubwa lililobeba imani ndogo ndogo zilizopo kwenye jamii ya wahindi , kila kilichopo katika HINDUISM ni imani ya jamii za kihindi , hakuna imani yeyote isiyo ya kihindi iliongizwa katika HINDUISM,na kama wewe sio Muhindi alafu umekuwa mfuasi wa HINDUISM huyo anakuwa sawa na kiherehere kama wewe kufaata imani ya kiarabu ,na kama unavyojua vihere here huwa.amuishi ahahahahahah
 
Narudia tena HINDUISM ni boksi kubwa lililobeba imani ndogo ndogo zilizopo kwenye jamii ya wahindi , kila kilichopo katika HINDUISM ni imani ya jamii za kihindi , hakuna imani yeyote isiyo ya kihindi iliongizwa katika HINDUISM,na kama wewe sio Muhindi alafu umekuwa mfuasi wa HINDUISM huyo anakuwa sawa na kiherehere kama wewe kufaata imani ya kiarabu ,na kama unavyojua vihere here huwa.amuishi ahahahahahah
Kijana India kuna Hinduism, Buddhism, Jainism, and Sikhism. Hiyo hinduism ndio ina waumini wengi lakini hata uislamu na ukristo upo huko na waumini wapo,sijui hapo hatuelewani wapi?

Chengine mfano huo ukristo unaoita kuwa dini ya wazungu ni kwamba wazungu walikuwa na imani zao zengine kabla ya ukristo hivyo ukristo umeingia na ndiyo una waumini wengi huko.
 
Kijana India kuna Hinduism, Buddhism, Jainism, and Sikhism. Hiyo hinduism ndio ina waumini wengi lakini hata uislamu na ukristo upo huko na waumini wapo,sijui hapo hatuelewani wapi?

Chengine mfano huo ukristo unaoita kuwa dini ya wazungu ni kwamba wazungu walikuwa na imani zao zengine kabla ya ukristo hivyo ukristo umeingia na ndiyo una waumini wengi huko.
Ahahahaaahahaha dah nimekujibu vizuri kabisa kila jamii ina wajinga wanaotoka dini yao ya asili kuvamia dini za kuja , lakini Wahindi dini yao Official ni HINDUISM na ili uwe waziri mkuu ni lazima uwe HINDUISM kipi uelewi , hao budha na wengineo ni kikundi cha watu wachache hawana madhara kwa India wala HINDUISM kwanza wanaonekana ni watu waliochanganyikiwa , ata chama kikuu pale INDIA kipo kwenye mlengo wa HINDUISM sasa hapo kipi uelewi
 
Ahahahaaahahaha dah nimekujibu vizuri kabisa kila jamii ina wajinga wanaotoka dini yao ya asili kuvamia dini za kuja , lakini Wahindi dini yao Official ni HINDUISM na ili uwe waziri mkuu ni lazima uwe HINDUISM kipi uelewi , hao budha na wengineo ni kikundi cha watu wachache hawana madhara kwa India wala HINDUISM kwanza wanaonekana ni watu waliochanganyikiwa , ata chama kikuu pale INDIA kipo kwenye mlengo wa HINDUISM sasa hapo kipi uelewi
We dogo India sio nchi ya kidini ile sasa unavyosema hinduism ni dini yao official sijui unakuwa na maana gani? halafu dini ni waumini na ndiyo maana leo wazungu wanaonekana ukristo ni dini yao hiyo yote ni kutokana na kuwa na idadi kubwa ya waumini wa hiyo dini,hivyo India hinduism ina waumini wengi na sio kwamba wahindi hawana dini zao zengine.

Dogo unakwama wapi tena?
 
Mbona unalialia utu uzima unaishara zake mwilini , mtu anapo balehe maana yake amekuwa mtu mzima , amekidhi kigezo cha kuwa mke na kujenga familia , narudia tena Mtoto abebi MIMBA , ukiona mtu kabeba Mimba ujue huyo mtu mzima , dini zetu za kiafrica ni marufuku mtu kumuoa wakati ajavunja ungo (ajabalehe) , tabia za kuoa watoto wa dogo huko kwakina Mohammed wasio na aibu
Kumbe tatizo ni tofauti za desturi za sehemu tofauti,basi tambua kuwa binti asiyefika umri wa kuweza kufanya maamuzi basi hakuna unafuu wowote anaoupata kati ya kuolewa kabla ya kubalehe wala kumsubiri abalehe ili ndio umuoe hivyo hizo desturi zenu za kiarabu au kiafrika hazina unafuu wowote kwake maana mtoto aliyebalehe tu hawezi kuwa mjemzi wa familia bado hata michezo ya utoto hajaimaliza anawezaje kuanzisha famili na kubeba ujauzito ndiyo maana kuna kitu kinaitwa mimba za utotoni zina madhara sana na ndiyo maana zinapigwa vita ila we dogo unakuja kuhalalisha.
 
Ukweli upi? Huo ukweli umethibitishwa na nani?

Acha kuuliza maswali ya kitoto. Mpaka uulize ukweli upi ? Kuna kweli ngapi ?

Swali la pili si swali bali ni wasi wasi na kuonyesha kwamba ulicho kihoji hukijui. Unataka uthibitishiwe kitu unachokijua ? Kwanini ? Maana umeshakanusha ajabu unataka ithibati ? Hivi huwa mnafikiri kwa kutumia nini ?

Wewe ndio unatakiwa uonyeshe uongo wa dini hasa ya Uislamu hizo dini nyingine sina elimu nazo na uwe tayari kujibu kila swali nitakalo kuuliza.

Tuendelee.....
 
Ahahahahahahahahaa hiki ni kituko cha karne , alichofanya mohamadi ni sawa na kumsainisha mtu wakati amechanganyikiwa, akili ikimrudia shughuli inakuwa imeisha , mtoto mdogo wa miaka 6 ambaye katu ajabalehe unamuoza mume masikini aelewi chochote , mpaka akibalehe anakuwa yumo katika ndoa ambayo ata ajui alifungaje fungaje , huu ni ulafi na tamaa za mohamadi na Abubakari, kukatumia katoto ambako katu kalikua akawezi kufanya maamuzi yeyote kukaingiza ndoani ili kulinda nafasi zao kiutawala , inasikitisha sana
Kifupi huo ni UBAKAJI
 
Huwezi chomoka ikiwa unakumbatia mfumo wa elimu na historia ile uliyopew ili ushikwe akili
Ulichokiandika ha
ulimwengu ni nani?vUlimwengu ni nini? Wewe unatafsiri kila dhana kwa tafsiri ya wazungu.Waafrika ni watu waliokuwa na maarifa mengi,hata maandushi yalianzia afrika,wakaiba wagiriki,waarabu nk.Kisha wanakwambia huna historia.Egypt,Etheopia walikuwa wanamaandishi hat kabla
kwa hiki ulichoandika ni wazi kwamba, huelewi dini ni nini. Kwasababu hiyo unaona na kuelewa kwamba ukristo ni dini ya wazungu na kwamba wewe mwafrika unayo dini yako. Ni ipi hiyo ambayo unadai imekuwepo huko Egypt na Ethiopia? Kwa kukusaidia jielimishe vizuri hisyoria ya mtawanyiko was watu duniani ujue maeneo ya dunia.
 
Kumbe tatizo ni tofauti za desturi za sehemu tofauti,basi tambua kuwa binti asiyefika umri wa kuweza kufanya maamuzi basi hakuna unafuu wowote anaoupata kati ya kuolewa kabla ya kubalehe wala kumsubiri abalehe ili ndio umuoe hivyo hizo desturi zenu za kiarabu au kiafrika hazina unafuu wowote kwake maana mtoto aliyebalehe tu hawezi kuwa mjemzi wa familia bado hata michezo ya utoto hajaimaliza anawezaje kuanzisha famili na kubeba ujauzito ndiyo maana kuna kitu kinaitwa mimba za utotoni zina madhara sana na ndiyo maana zinapigwa vita ila we dogo unakuja kuhalalisha.
Tatizo sio desturi , tatizo ni SIFA , kama.mtu ajabalehe huyo ni MTOTO , balehe ndio daraja la kumvusha mtu kutoka kwenye utoto kwenda utu uzima hivi niongee lugha gani unielewe !! ukimuoa binti ambaye katu akubalehe hapo umeoa MTOTO hakuna justification yeyote kwa tukio hilo ni tamaa tu ya Mohammed
 
We dogo India sio nchi ya kidini ile sasa unavyosema hinduism ni dini yao official sijui unakuwa na maana gani? halafu dini ni waumini na ndiyo maana leo wazungu wanaonekana ukristo ni dini yao hiyo yote ni kutokana na kuwa na idadi kubwa ya waumini wa hiyo dini,hivyo India hinduism ina waumini wengi na sio kwamba wahindi hawana dini zao zengine.

Dogo unakwama wapi tena?
Unajadili vitu tofauti HINDUISM sio dini mpya INDIA ila ukristo ni dini mpya kwa wazungu , HINDUISM ni imani zile zile walizokuwa wakiishi nazo wahindi wala sio kitu kipya , nimeshakwambia Pakistan na INDIA zimetengana kwa sababu HINDUISM awakutaka kabisa Imani mpya kwenye madaraka , na toka uhuru mpaka leo chama kikuu cha siasa ni Wahindu na viongozi wote wakuu ni Wahindu , sasa unataka watangaze hili ni Taifa la kihindu ili iweje , wakati HINDUISM ndio maisha yao ya kila siku
 
Tatizo sio desturi , tatizo ni SIFA , kama.mtu ajabalehe huyo ni MTOTO , balehe ndio daraja la kumvusha mtu kutoka kwenye utoto kwenda utu uzima hivi niongee lugha gani unielewe !! ukimuoa binti ambaye katu akubalehe hapo umeoa MTOTO hakuna justification yeyote kwa tukio hilo ni tamaa tu ya Mohammed
Unanichosha tu dogo maana umeshaishiwa hoja umebaki kung'ang'ania balehe tu,mie nishaeleza hakuna utofauti wowote kati ya unachokitete(kuoa binti baada ya kubalehe ) wala unachokipinga(kuoa binti kabla ya kubalehe).

Maisha ya ndoa ni zaidi kujamiana tu,sasa kama binti asiyebalehe unaona ni mdogo hivyo hawezi kuwa kwenye maisha ya ndoa basi ni ajabu ghafla kwa binti huyo baada ya kubalehe aweze kumudu maisha ya ndoa. Hili haliwezekani kuingia akilini na ndiyo maana kuna matatizo ya mimba za utotoni kama kubalehe tu ndio ushakuwa mtu mzima basi kusingekuwa na hichi kinachoitwa mimba za utotoni.
 
Unajadili vitu tofauti HINDUISM sio dini mpya INDIA ila ukristo ni dini mpya kwa wazungu , HINDUISM ni imani zile zile walizokuwa wakiishi nazo wahindi wala sio kitu kipya , nimeshakwambia Pakistan na INDIA zimetengana kwa sababu HINDUISM awakutaka kabisa Imani mpya kwenye madaraka , na toka uhuru mpaka leo chama kikuu cha siasa ni Wahindu na viongozi wote wakuu ni Wahindu , sasa unataka watangaze hili ni Taifa la kihindu ili iweje , wakati HINDUISM ndio maisha yao ya kila siku
Hivi dogo unaelewa kweli nachoandika hapa au wewe unaandika tu unachojisikia?

Twende taratibu,nimekwambia huko India hao wahindi wana dini zao zengine (na nikakutajia) mbali na hiyo Hinduism ila wewe unataka kulazimisha kwamba wahindi dini yao ni Hinduism tu.
 
Hivi dogo unaelewa kweli nachoandika hapa au wewe unaandika tu unachojisikia?

Twende taratibu,nimekwambia huko India hao wahindi wana dini zao zengine (na nikakutajia) mbali na hiyo Hinduism ila wewe unataka kulazimisha kwamba wahindi dini yao ni Hinduism tu.
Hapa tunajadili DIni za asili za watu wa INDIA , HINDUISM ni dini yao ya asili , hizo ulizotaja kama ni za asili pia ya INDIA hakuna tabu , ila kama Muhindi atajiita Muislamu au Mkristo huyo amepotoka maana dini hizi hawana asili nazo , wapi ujaelewa
 
Back
Top Bottom