bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Ndo ajali Yao ya kwanza Dar to south Africa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abiria.Hao "KENYANIAN" na "CONGOLIES" ni kina nani ?
Daah! Halafu huyo ndevu katoka mzima kabisa.
Na anaonekaana amelewa hatari.
Imagine haka Kato innocent alikuwa na mama yake Wakenya amefariki kwenye hiyo ajari mtoto kapona, unamtia uyatima mtoto kama huyu.Daah! Halafu huyo ndevu katoka mzima kabisa.
Na anaonekaana amelewa hatari.
Kwanini walishindwa kutoa taarifa?Nina orodha ya Abiria wote, Mkombe mwenyewe amethibitisha wanamfungulia mashtaka Tanzania.
Acha wehu,umeshaambiwa ni abiria halafu unauliza ni nani!!!Hao "KENYANIAN" na "CONGOLIES" ni kina nani ?
Kama uwezekano upo achukuliwe hatua aisee.View attachment 2858007
Sijui anamnyooshea nini kidole dada wa watu.anaonekana ni mkorofi
Kusumbuliwaje? Kwamba walikuwa wanamuongelesha? Wanamtia misingi? Ama ni vipi?
Abiria walikuwa hawaoni? Dereva alishindwa kupack na kumpa vitasa huyo Ndevu?
Wanajuana hao,, Kama hana huo ubavu wa kumtia vitasa?
Ukweli uko wapi ktk andiko lako mkuu?JF be the first to know,
Hatimaye mafuta na maji vimeanza kujitenga na ukweli unawekwa wazi ingawa si rahisi Kwa media za Bongo kupata hizi taarifa, tunazipata wa ndani tuliopo kwenye Circe za Kibaharia.
Ukweli NI kwamba kuna Watanzania watu wakiongozwa na msela Mavi mmoja wa Mbagala anaitwa Ndevu hawa ndio chanzo cha Ajali ya bus hilo kutoka Johannesburg kwenda Dar es salaam.
Kuna ushahidi wote unaowahusisha hao Watanzania watu ambao njiani Safari nzima walikuwa wanapiga mitungi na kuvuta tumbaku ndani ya gari, na ushahidi unaonesha wazi dreva alisumbuliwa Kwa muda mrefu mpaka Ajali inatokea halikuwa kosa la roli bali ni bus la Mkombe baada ya dreva kubughuziwa na hawa wahuni wakiongozwa na huyu Ndevu, nitamuweka picha zake hapa hadharani maana nimejiridhisha katika hili, na kama hii haitoshi ilifikia hatua huyu Jamaa basi la Pili la Mkombe liliwafuata Zambia Selenje baada ya ajali kuwachukuwa kuwafikisha Dar baada ya kufika Shekilango Ndevu anataka kuiba begi la Abiria ambaye ni marehemu, confirmed death ni watu wanane wakiwemo madereva wote wawili wa Mkombe luxury.
Hapa chini hii ni text nimetumiwa, hukumu yake tutamsomea kwenye group la WhatsApp.
KIONGOZI HILI SWALA NI SWALA LA KISHWAINI SANA.......MKOMBE NDIO KATOA TAARIFA HIZI NA VOICE NOT ZA DEREVA KASEMA ANAZO MIMI KESHO NITAOMBA ANITUMIE VOICE NOT KISHA PIA NITAOMBA HUYU NDEVU TUMLETE HUMU NDANI......KWANZA TAYARI ANA CASE MOJA YA KUTAKA KUIBA BEG LA MAREHEMU YEYE NA MASELA MAVI WEZAKE. Mwisho wa kunukuu.
Picha 1 na 2 huyo ndio Ndevu kwao Mbagala na picha ya 3 ni dreva ambaye amepoteza maisha.
Cc: Pascal Mayalla
Huyo mnayetukuza ndevu ndani ya hiyo bus alikuwa ana wajibika km nani?Madereva wote wawili wa bus la Mkombe hawa hapa wamepoteza maisha, kuna Wakenya walikuwa ndani ya bus ila wameshaenda Nairobi wangetujibu swali hili.
Shida ni kichwa cha habari yako na maudhui haviendani,hakuna kinachooensha ukweli uulioutanguliza.Robot mpaka liwe programmed na Binadamu, huwezi kuelewa kinachoongelewa hapa hii siyo thread ya kula tunda kimasihara.
Usijibu kwa kebehi ila hata mimi sijaelewa. Ungeelewesha umma kuwa alisumbuliwaje na huyl mandevuRobot mpaka liwe programmed na Binadamu, huwezi kuelewa kinachoongelewa hapa hii siyo thread ya kula tunda kimasihara.
Dr. Habari yako haieleweki, haina mtiririko mzuri na lengo la wewe kutoa taarifa halijaeleweka, mtafute Madam Depal akupige msasa.Rudia kusoma upya.
We ni Dr MD au PhD?? Kwanini u complicate vitu?? Make them clear!! Idadi ya ambao hawajauelewa ni kubwa can't you see that?Robot mpaka liwe programmed na Binadamu, huwezi kuelewa kinachoongelewa hapa hii siyo thread ya kula tunda kimasihara.
Ulifanya hivyo ukiwa kama abiria mwenza ama?Kwani dereva hakuona police huko Zambia ulevi na sigara anaviruhusije kwenye basi.
Pana abiria alitaka kuvuta fegi kwenye basi nikaichomoa nikaizima nikaitupa nje
Sasa Dr kweli hiyo Kenyanian ndo kitu gani, nilidhani ni Kenyans.Abiria.