Ukweli wa Ajali ya bus la Mkombe luxury hiki ndicho kilichotokea, Ukweli utatuweka huru

Kuna uwezekano mkubwa hata wewe mleta mada wakati unaandika hii thread ulikuwa na hangover za konyagi na tumbaku kichwani maana uandishi wako haueleweki
Afu tukimuuliza kaandika nini anafoka!! Eti Ndevu kawasababishia Ajari, after ajari likaja bus la kuwafaurisha wakampakia tena!! How?? Walitaka awasababishie nyingine tena au??
Pathetic
 
Nina orodha ya Abiria wote, Mkombe mwenyewe amethibitisha wanamfungulia mashtaka Tanzania.

Nje ya mada,

Hivi passport za AB.... bado zinatumika au hao raia wenye hizo passport hawakuwa wamerudi Tanzania muda mrefu?
 
Huyu ni wenzake na akina Dr. Manyaunyau
 
Kama kila kitu kipo kama ulivyosimulia, huyo Ndevu alipaswa ameshushwa maporini huko na nauli yake ajue atafikaje anakoenda...
 
Huyu ni wenzake na akina Dr. Manyaunyau
Hakuna Dr hapa, huyu ni agent wa Mkombe hapo Magufuli BT kaja kutafuta public sympathy na tuendelee kutumia mabasi yao.

Anavomlaumu mandevu bila kuweka makosa yake inatia shaka!! Labda kama dereva alikua na pumu Mandevu akavuta sigara dereva akakosa hewa hapo sawa!!
Hiyo kampuni within a month imepata ajali sijui mbili au tatu, zote Mandevu alikua anawasumbua dereva??




Lunatic Dr
 
Dereva alitakiwa alipoona wanaanza kumkera na wanalewa na kuvuta bangi ndani ya gari alipeleke kituo cha polisi moja kwa moja.

Alikuwa mpole sana kwao.
 
Mtoa mada ni Dokta PhD au Dokta kama Dokta Mwaka mbona haeleweki?
Huyu hawezi kuwa dokta Kama anabisha aweke hapa research zake tuzisome maana mtu mwenye 'phd' hawezi kuwa na uandishi Mbovu wa aina hii
 
Huyu hawezi kuwa dokta Kama anabisha aweke hapa research zake tuzisome maana mtu mwenye 'phd' hawezi kuwa na uandishi Mbovu wa aina hii
Bibi Faiza mwenye umri wa miaka 80 kamuelewa Dr wewe kijana barobaro na huyo robot and Co Bado hamjaelewa tu?.
 
siku zote watu wenye ndevu na lidomo kama anakula watu hivyo hawajawahi kuwa wema. jua tu mioyo yao imejaa ukatili na kuwaza kuteketeza watu. achana na ndevu za kawaida, hao madevu ukikutana nao tu wengine huhitaji kuambiwa kwamba ni mtu hatari kaa naye mbali, wapo wazi.
 
Hapo sawa, kwa sababu haeleweki
 
Dokta leo umepuyanga...Mtafute brother Mohamed Msangi akusimulie vizuri. Huyo alie kusimulia amekupotosha
 
Nje ya mada,

Hivi passport za AB.... bado zinatumika au hao raia wenye hizo passport hawakuwa wamerudi Tanzania muda mrefu?
Nadhani zitakuwa ni Emergency travel documents bado zinatumia namba AB...
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amepotosha Mkombe? Msangi ana information kumpita mmiliki?
Mkombe kasema hivyo wapo Mkuu? Mkombe mwenyewe yupo katulia zake huko Lupatingatinga anakunywa maziwa safi ya n'gombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…