hulijui usemalo na pumzi inakudanganya mkuuStories za biblia Na Quran ni danganyaa Toto tu ..
Kwa hiyo Yesu kwa Kiarabu ni Isahahahaha, yani hata mimi ameniacha hoi hapo mkuu, hivi ni kwanini kujitia ujuaji wa jambo wa kati wewe ni mpumbavu kwenye hilo!!!
tatizo sio ubaguz ila uislam ni haki na hua wanajielewa napia hua hawamuangalii mtu usoni kutokana na umaarufu wake ama vipi, kama wagalatia walipomfungisha ndoa Joti akiwa na "kiduku" kichwani na kushindwa hata kumkemeaHuyu nae kaona Diamond ndio muislamu wa kwanza kuvaa msalaba? by The way Mungu wetu Sote! Kinachonikera toka kwa Waislamu ni Ubaguzi wao! Sasa huyo anaongelea nn hapo
Akili zako ziko likizo Baada ya kukariri Quran [emoji12] hebu Tafakari Yesu angefundisha na kawaagiza Wafuasi wake watumie UPANGA kupambana na makafir kama [emoji117]Kwa Hiyo yesu anavyosema hakuja kuleta Amani bali upanga anamaanisha nini
Mungu alizaliwa usiku
.wewe ndo ulijuii ulisemalo mkuuhulijui usemalo na pumzi inakudanganya mkuu
Huyu kajilipua Mwenyewe [emoji117]Ukiona hivyo juwa msalaba umeshikwa pabaya
deen badokarama ya makafir ambao hawajaamini kwamba MWENYEZI Kajidhihirisha ktk Umbile Bora la kibinadamu ili kumtafuta na kumuokoaAfadhali umenyoosha maelezo. Ukristo sio dini. Sasa uislam ni dini. Na hakuna dini nyengine madam ukristo sio dini
Hahahaa hicho kiarabu cha Yasu ni rombo mashati au tarakea?
Kidole juu huyo shehe ubwabwa [emoji15] huyu ndio shehe [emoji117]Huyo SHEHE UBWABWA ,,si kila mwenye kanzu ni shehe.....hakuna kitu kama hicho....
Karne hii bado Kuna mpuuz anakuja anakwambia Yesu Mungu. Mungu alizaliwa akaishi akila kunywa na kunya baadae akafa. Tena kwa kupiga misumari. Baada ya siku tatu akafufuka ndo akapaa. Kwa Hiyo hapo kashaokoa watu na dhambi zao. Sasa kashindwa nini kufuta tu hizo dhambi?deen badokarama ya makafir ambao hawajaamini kwamba MWENYEZI Kajidhihirisha ktk Umbile Bora la kibinadamu ili kumtafuta na kumuokoa[emoji123] [emoji106]
Hoja MWENYEZI anaweza au hawezi???? unaleta blablablaaa...nenda jukwaa la udaku hapa tunajadil Iman/deen [emoji123] [emoji106]Karne hii bado Kuna mpuuz anakuja anakwambia Yesu Mungu. Mungu alizaliwa akaishi akila kunywa na kunya baadae akafa. Tena kwa kupiga misumari. Baada ya siku tatu akafufuka ndo akapaa. Kwa Hiyo hapo kashaokoa watu na dhambi zao. Sasa kashindwa nini kufuta tu hizo dhambi?
Yani Magu aje manzese achezee kichapo ili asamehe majambazi na wakosaji wa sheria zake. Kichwa kipo sawa kweli? Utapata wapi courage ya kudhihirisha ujinga huo bila aibu.
Hivi Hua unajua kusoma na kuelewa? Au msalaba umezidi kilos?Hoja MWENYEZI anaweza au hawezi???? unaleta blablablaaa...nenda jukwaa la udaku hapa tunajadil Iman/deen [emoji123] [emoji106]
Si ni ww ulieleta posts kuwa yesu ni mwokozi. Na mimi nimeenda humo humo inakuchoma chomaHii ni dalili ya imani duni mtoa maada kutafuta maarifa sio dhambi nenda na mskitin ukajifunze wengine wanavyofanya
Sijawahi post mambo ya dini mie na siwezi huo upuuziSi ni ww ulieleta posts kuwa yesu ni mwokozi. Na mimi nimeenda humo humo inakuchoma choma
Hivi Hua unajua kusoma na kuelewa? Au msalaba umezidi kilos?