Ukweli wa alichokisema Sheikh Kipozeo kuhusu Diamond

Kiukweli sijaelewa chochote na hili gazeti lako..
1.mbona mnamfosi sana muhamadi akubalike.
2.Mungu WA kweli hapiganiwi na wanadamu\jihadi huyo atakuwa feki.
3.Nacho jua Muhamadi s.a.w anamsubiria yesu aje amfufue siku ya mwisho.
4.nyie jamaa kizazi cha Ismail ,ni watata sana .ndiyo shida ya kuzaa na mchepuko.
5.Hawa wachungaji uchwara wa siku hizi kusiwafanye ndiyo kikawa kigezo cha kutokukubali injili ya kweli ya YESU mwenyewe. Hujui Paulo ni nani zaidi ya sumu zilizopandwa akilini mwenu.
6.Yeye ndiye njia ya kweli na uzima ( YESU) ,....hakuna awezaye kufika kwa baba (Mungu)pasipo yeye...Na muhamadi kashawaambia kwenye kurani ,hata yeye aendako hapajui na anasubiri YESU aje amfufue....kasome vizuri kurani yako.
7.Kwa jina lake (YESU),mapepo yanakimbia,wagonjwa wanapona, viwete wanatembea, vipofu wanaona, wafu wanafufuliwa.........very amazing. Muhamadi alipofika hapa ,akaona awe mdogo na kuwaambia na yeye anangoja ufufuo cku ya kihama ikija....
NB.hakuna pepo linatoka kwa jina la Muhammad., zaidi ya kuongezeana pepo lenye nguvu likamdhibiti lenye nguvu ndogo..kwa kuwasomea kisomo\kurani.
8.Pamoja na madhaifu yangu...I love you JESUS....simjui someone muhamadi.
 
Umechambua vizuri sanaaaa yani umetoa bonge la shule
 
Oya hazard wa kibororoni inakuwake..

Umesema "isa alikuja kuhubiri dini mpya ya mwenyezi mungu"

Hiyo dini mpya ni ipi na ya zamani ni ipi chief!?
 
Mkuu hapa nimezidi kuichukia hii dini kabisa....kapicha haka nimekasevu for reference
 
Kidole juu huyo shehe ubwabwa [emoji15] huyu ndio shehe [emoji117] [emoji15] [emoji47] nakualika uje madrasat nuur bahari jannat pale kwa Mtogole upate ilimu ghaibu...
QUR AIN inasema ....KUL YA AIYUHAL KAFIRUNA..enyi makafiri...LA TAABUDU MA TAABUDUNA,,,,,mnacho kiabudu nyinyi sio ninacho abudu mimi...WALAA ANTUM ABIDUNA NA MAA ABUDU....na ninacho abudu mimi sio mnacho abudu..LAKUM DI NU KUM WALIYADIN...nyie mna dini yenu na sisi tuna dini yetu....sasa ni wapi kumeandikwa upuuxi wa kushikiwa binduki uwe muslim?wwcha kuokoteza vitu kwenye dini ya haki...badala ya kuhoji kwann UKRISTO UMEIDHINISHA MASHOGA YANAOANA..wewe umekalia kutunga vitu vya kipuuzi kukashifu..hii sura imeshuka baada ya makafiri kuwa wnawapiga waislam kwa kuabudu MUNGU WA HAKI(ALAH)ikashuka kwa ajili yao
 


Wewe na Kipozeo wote ndio walewale, Arabic superstition na sisi waafrika wapi na wapi?
 
Wewe unaejua hebu tueleze historia ya msalaba na utatu mtakatifu. Kama unasema kweli kwamba msalaba wa yesu ni tofauti na msalaba wa Ethiopia tueleze ni lini wakristo walianza kutumia msalaba kama kweli wewe ni mkweli


Siamini kitu chochote kuhusu ukristu au biblia. Ni scam tu, na waafrika ndio vipofu wanaoamini. Kama unataka kujua kuhusu Ethiopia, fanya home work mwenyewe utagundua, Ethiopian Empire ilikuwepo kabla ya hizi dini zenu. Na sio cross tu, kwenye artifacts za Ethiopia kuna symbols nyingi ambazo zilikuwepo tangu watu wanajenga pyramids leo hii zinatumika bila watu kujua zilitokea wapi. Usifananishe historia ya Afrika na dini zenu zilizoletwa wa wafanyabiashara ya utumwa.
 
Na wale mashoga wanaooana wanaoana MSIKITINI au KANISANI?
Ni wafuasi wa allah na abdul qathem, sababu wao ndio walio fundisha ukitaka nikuwekee rejea [emoji4] mkuu, ukumbuke kwamba Imaan bila Matendo ya Kile unacho kiamini ni unafiki...qulu Haqi wainkana mura [emoji106]
 
Ni wafuasi wa allah na abdul qathem, sababu wao ndio walio fundisha ukitaka nikuwekee rejea [emoji4] mkuu, ukumbuke kwamba Imaan bila Matendo ya Kile unacho kiamini ni unafiki...qulu Haqi wainkana mura [emoji106]
kwahyo hayo mapadri leo yamekiwa wafuasi wa ALAH
Na wale mashoga wanaooana wanaoana MSIKITINI au KANISANI?
 
kwahyo hayo mapadri leo yamekiwa wafuasi wa ALAH
Utajiitaje wee muisilam huku una Banda la kufuga nguruwe na bucha ya kuzuia nyama...bado watu waamini wewe ni muislamu...Yesu watu kama hao aliwaita magugu na aliagiza tuyaache yakue na ngano hadi siku ya mavuno ngano ghalani na magugu unapiga kibiriti!
 
Historia ya Yesu imeadikwa kutoka kitabu cha Matayo kuwa ametokana na uzao wa mwana wa Ibrahim Isaka , lakini historia ya Issa bin Mariam kwa mujibu wa Quran ametokana na uzao wa mwana wa Ibrahim wa nje aitwaye Ishumael. Hivyo hawa ni watu wawili tofauti
 
Kufilisika kwa hoja...mm nakuuliza MASHOGA wanafunga ndoa kanisani....ww unaungea USHUZI..huko ni kufilisika kimawazo
 

Uislamu ni project tu kama ilivyo projects nyingi, ukitaka kuelewa soma hapa chini:

Kati ya Yesu Kristo na Muhammad, Who makes sense?


Tufanye (tuassume) una akili timamu, una uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo kwa ufasaha.

1. Umeishi nyakati za Yesu Kristo, ukakutana naye, ukaona na kusikia anayoyafanya, ukalinganisha mambo na habari zake kwa kusoma Biblia ambayo iliandikwa miaka mingi kabla ya ujio wake kwa nyakati tofauti na watu tofauti walioishi sehemu mbalimbali/tofauti.

2. Baadaye akazaliwa Mtume Muhammad, ukabahatika kushuhudia maisha yake ya ukuaji, akilelewa na mjomba wake Abu Talib (mwenye ubini na baba yake). Siku za usoni katika ukuaji wake ukaanza kushuhudia mara kwa mara akijitenga na jamii hasa nyakati za usiku na kwenda katika pango la Hira lililoko mlima Jabar al-Nour katika sehemu ijulikanayo kama Hejez (kama kilomita 3 hivi kutoka Mecca) magharibi mwa Saudi Arabia ya leo. Madai ya kujitenga kwake na kwenda pangoni ni kwa lengo la kuswali.

Baada ya kufikisha miaka kama 40 hivi, Muhammad akaibuka ghafla siku moja na kudai kuwa ametembelewa na Malaika Gabriel akiwa katika pango la Hira na kupewa mafunuo (revelations) kutoka kwa Mungu. Miaka mitatu baadaye (mwaka wa 610 kwa mjibu wa Kurani), akaanza kuhubiri hayo mafunuo hadharani (kupitia mihadhara).

Tufanye pia unafahamu maisha na historia ya Muhammad kama ifuatavyo:

Katika kuhubiri mafunuo aliyodai kupewa alikumbana na upinzani mkali sana yeye pamoja na wafuasi wake kadhaa waliomfuata kutoka kwa baadhi ya Wamecca. Kitendo hicho kilimfanya akimbilie Madina/Medina, kama mwaka wa 622 hivi. Hiki kitendo cha Muhammad kukimbilia Madina kinajulikana kama "Hijra" na ndio mwanzo wa kalenda ya kiislamu "Hijri".

Akiwa Madina, Muhammad aliunganisha makabila chini ya katiba, ijulikanayo kama Katiba ya Madina. Pamoja na kuwa Mohammad alikimbilia Madina, uhasama kati yake na Wamecca uliendelea, na mara kadhaa palitokea ugomvi au msuguano dhidi yake na makabila ya Mecca. Mwaka 629, Muhammad alikusanya wanajeshi (wafuasi wake) wanaokadriwa kuwa kama 10,000 hivi na kuivamia Mecca. Uvamizi ulikuwa ni wa nguvu kubwa hasa kwa wakati huo, na Muhammad aliweza kuikamata Mecca bila upinzani mkali, kwa umwagaji damu kiasi.

Mwaka 632, Muhammad aliugua na kufa, lakini kabla ya kifo chake alihakikisha karibu jamii yote ya Peninsula ya Arabia (Yemen, Oman, Qatar, Bahrain, Kuwait, Saudi Arabia, UAE na sehemu za Jordan na Iraq) ilishageuka kuwa waislamu.

Mafunuo/mafundisho haya, yajulikanayo kama "ayah", ambayo waislamu huchukulia mpaka leo kama Neno la Mungu, ndiyo yale ambayo Muhammad alidai kupokea kutoka kwa Mungu kupitia Malaika Gabriel, na ndiyo yanayotengeneza aya za Kurani, ambayo ndiyo msingi wa dini ya Kiislamu. Kimsingi, Muhammad aliunganisha waarabu karibu wote na baadhi ya waajemi na kusisitiza kuwa mafundisho yake, matendo yake, imani yake, na Kurani yake vinakuwa ndio msingi wa imani ya Kiislamu.

Katika kuhubiri kwake alisisitiza kuwa yeye ni mtume wa mwisho wa Mungu kuja duniani, na kuwa amekuja kutimiliza mafundisho ya msingi ya akina Adam, Abraham, Mussa, Yesu Kristo (Nabii Issa) na manabii wengine katika Kurani.

Swali:

Je, baada ya wewe kuwa umewashuhudia Yesu Kristo na Muhammad, ni nani ambaye angeweza kukushawishi kuwa ndiye mtume wa kweli wa Mungu na kumwamini?


A Simple Reason Why The Qur’an Cannot Be The Word of God

The Islamic religion claims that the Qur’an, revealed allegedly by the angel Gabriel to the prophet Muhammad beginning in 610 A.D., is the inspired and inerrant word of God. Such an assertion, however, is highly problematic, and many, many arguments could be given to convincingly refute it. In this article, I am going to offer one of those reasons, which I perceive to be the most damning. In future articles, we will consider some other serious difficulties with the idea that the Qur’an represents the revealed words of God. My argument here can be summarized in syllogistic form as follows:


Premise 1: Either the Bible is the Word of God or it is not.

Premise 2: If the Bible is the Word of God, the Qur’an is not.

Premise 3: If the Bible is not the Word of God, the Qur’an is not.

Conclusion: Therefore, the Qur’an is not the Word of God.

Reference: http://crossexamined.org/simple-reason-quran-word-god/
 
wee unamuitaje muhammad ni Mtume wakti yeye Mwenyewe Amesema Hana hiyo sifa [emoji47] [emoji348] [emoji348] [emoji117] [emoji118] [emoji117] hamfundishiki [emoji15] [emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…