Ukweli wa alichokisema Sheikh Kipozeo kuhusu Diamond

wee unamuitaje muhammad ni Mtume wakti yeye Mwenyewe Amesema Hana hiyo sifa [emoji47] [emoji348] [emoji348] [emoji117] [emoji118] [emoji117] hamfundishiki [emoji15] [emoji4]
Mnaishi kwa matukio ya kutengeneza......hata VIDEO ZA YESU pia tumeziona
 
Sinagogi sio msikiti, ndio maana msikiti kwa lugha ya kingereza ni mosque, na sinagogi ni synagogue. Sinagogi ni nyumba ya ibada ya wayahudi kwenye dini yao ijulikanayo kama Judaism. Tafsiri haiko sawa, hata kwenye mihadhara mbalimbali nimeisikia sana hii. Pia naunga mkono Yesu sio Issa, hawa ni watu wawili tofauti sana. Tujadili kwa amani
 
Uislamu ulioanzishwa na ....... majuzi tuu tena baada ya Yesu na alichukua baadhi ya maadiko ya agano la kale akayapotosha na kuweka ya kwake ndio unasema Baba wa imani alikuwa Muislam? alitamka nini wakati anaslim maana aliyetunga hiyo shahada alikuja baada ya Yesu ana hakutabiriwa kwenye kitabu chochote? Ona upotoshaji wa hali ya juu kuwa eti mtoto wa pekee wa ibrahim aliyetaka kutolewa sadaka ni ISHUMAEL wakati biblia iliyokuwepo kabla inasena ni ISACK mwana wa pekee na wa ahadi wa Ibrahim
 
Its true story ya Yesu kwenye Bible ni tofauti na Qur'an inavyomzungumzia Issah bina Marium...Naamini bible coz ndio ya kwanza kushushwa b4 Qur'an...
 
Tatizo sio wote wanasoma hivi vitu...uislamu mara nyingi ni kama unapambana kuonyesha kasoro za ukristo badala ya kusaidi watu kutenda mema..
 
Hakuwa mkristo bali Kristo mwenyewe...sinagogi sio msikiti ...misikiti na masheik walikua nayo wafilisti (wapelestina wa leo) ambao walikua maadui wakubwa wa wayahudi, watu wasio tahiriwa, Yesu alikuja kuokoa kilichopotea ...enendeni ulimwenguni mwote mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu...hakuna namna unaweza kuuhusisha ukristo na uislamu ni vitu viwili tofauti...hatupendi sana kuuzungumzia huu ukweli..hata uumbaji wa Allah ni tofauti na wa Jehova mmoja alitumia mavumbi, mwingine alitumia matakataka...wengine tuna hiji Jerusalem wengine Makkah... Wengine ni wana wa Ibrahim wengine ni wana wa Ismail..tunaadhimisha miaka tofauti na tuna falsafa tofauti...miungu ilikuepo tangu zamani so sio lazima Allah na Yahweh wawe Mungu mmoja kila mtu aamini anachokiamini.
 
Hawezi kua mtu mmoja ..hawakusudii mmoja ila labda wanaelewa kuwa ni mmoja
 
hahahahahahahaha Yasu duuuh never heard before, anyway mbona kama wewe ndio hujawaelewa hao watu maana wao wanazungumza kutokana na imani yao na wewe umezungumza kutokana na imani yako.

Ni kama vile ukute mtu na mkewe wanaeleweshana jambo halafu wewe uanze kuwaambia wafate maisha yako, obviously hawawezi kukuelewa maana wewe una maisha yako na wao wana maisha yao.
 
Sinagogi ni msikiti...sio kanisa...kinachofanyika SASA KWENU ni kufanyia maboresho mapungufu na kuyafanyia kazi..KAMA HIYO SINAGOGI....tangu lini KANISA LIKAITWA MSIKITI?..UKRISTO NI DINI ya WATU...SI DINI YA MUNGU..
Kanisa ni kitu tofauti kabisa na sinagogi na msikiti kanisa sio jengo na hata history ya kanisa sio hiyo..kanisa limekuja baada ya Yesu na lilianzia Jerusalem lina maana kusanyiko la wakristo...sinagogi sio msikiti labda msikiti uwe sinagogi...msikiti umekuja umekuta sinagogi tayar lipo......uislamu ni kama copy ya kitu kutoka kwa torati ya Musa.. na kamwe waislamu hawawezi kuyaelewa maandiko kwasababu ni copy unless warudi kusoma Bible ambayo inaufunuo zaidi ya Quran ...at the begging nilikua nasoma waislamu wengi kusema wameshushiwa kitabu nikadhanj kilishuka as a book from heaven but kumbe ni kitu kama ndoto hv
 
Umenena vema mtumishi Mungu akuinue zaidi
 
Elimu haina mwisho hebu tusaudie Yesu jina lake hasa ni nani aliloitwa na mama yake manake Yesu tumempa sisi Jésus wamempa warumi issa waarabu
Immanuel maana yake Mungu pamoja nasi...kipindi anazaliwa inasemekna kulikua na Yesu wengine wawili mtaani kwao sina evidence kwa hili la hao Yesu wengine
 
Yesu alikua Messiah its difficult kumuelezea muislamu aliyesoma verse kadhaa kuhusu uungu wa Yesu akaelewa labda akibahatika kupata mapepo udi ukashindwa wakija kwa Yesu ndio wanaelewa kwann Yesu ni Mungu ila hivi hivi ni ngumu
 
Jibu ni rahisi tu kuna Mungu na kuna allah, hawa ni vitu viwili tofauti.
ALLAH ni mmoja, mungu ni zaidi ya mmoja. Mungu wa waluguru aitwa KOLERO, mungu wa ufipa aitwa Lyamba lyamfipa. RUHANI, KINYAMKERA, MIBUYU, JUA, RADI, NG'OMBE, BAHARI, MITO NK. hiyo ni miungu kwenye maeneo husika. pia baadhi ya dini zina mungu zaidi ya mmoja. kuna mungu baba, mwana nk. hivyo inaposemwa "apasaye kuabudiwa kwa haki". hapo umewafuta wote amebakia mmoja aliye mpweke ALLAH, muumbaji wa vyote.
 
Sawa biblia inasema hayo, je waislam wanaamini kwenye biblia hata uwaone wamejitoa ufahamu? Kufanana kwa baadhi ya aya za Qur'an na Biblia si kigezo cha lazima cha waislam kuiamini biblia. Kitabu cha Waislam ni Qur'uani . Na Qur'uan ni kitabu kilichojitosheleza, wala hakina upungufu kiasi cha kukopa aya za vitabu vingine. Uislamu hauamini kama mwanadamu aliyetoka kwenye asili ya uchafu (udongo/ manii) afanane na Mungu muumba!!!
 
Yesu alisulubiwa wakati issa alipaa,kweli ni watu wawili tofauti.Issa anaitwa Issa bin Mariam wakati Yesu anaitwa mwana wa joseph.
Sasa hapa unachanganya, hivi Yesu ni mwana wa mungu au mwana wa Joseph?
Na kama ni mwana wa joseph kwanini mnamwita mwana wa mungu?
Kwahiyo ni Yesu mwana wa joseph, safi sana
 
Swali:

Je, baada ya wewe kuwa umewashuhudia Yesu Kristo na Muhammad, ni nani ambaye angeweza kukushawishi kuwa ndiye mtume wa kweli wa Mungu na kumwamini?

Kumbe Yesu ni mtume?
Sasa mbona mnamwita mungu?
 
Hawezi kua mtu mmoja ..hawakusudii mmoja ila labda wanaelewa kuwa ni mmoja
Ni wakristo ndiyo husema Issa sio Yesu ila waislamu wanapomzungumzia Issa humkusudia mtu huyohuyo mmoja ambaye wakristo humwita Yesu.

Mimi nikisema Rais wa Tz ni mweupe huwezi kuniambia kwamba namzungumzia rais wa nchi nyengine sio Tz kisa rais wa Tz ni mweusi na sio mweupe,sasa wakristo hawasemi kuwa maelezo ya waislamu juu ya Yesu sio sahihi bali wao husema Issa sio Yesu wakati wanajua kabisa anayekusudiwa ni Yesu.
 
Mtoa mada kama unaijua koraan vizuri kasome tena vizuri au kama huijui vizuri tafuta ajuae akufafanilie urudi hapa usahihishe ulichoandika
 
Yesu alikua Messiah its difficult kumuelezea muislamu aliyesoma verse kadhaa kuhusu uungu wa Yesu akaelewa labda akibahatika kupata mapepo udi ukashindwa wakija kwa Yesu ndio wanaelewa kwann Yesu ni Mungu ila hivi hivi ni ngumu
Ukishasema uungu wa fulani teyari ni tatizo,maana hata wanaoabudu ng'ombe pia wanaweza kukwambia huelewi uungu wa ng'ombe.

Uungu haugawanyiki maana Mungu ni mmoja tu na ana sifa zake hivyo huwezi kuniambia et uungu wa Yesu siuelewi,labda huo uungu wa Yesu ni kwa ajiri ya wakristo tu na si yule Mungu muumba na ndiyo maana unasema waislamu hawawezi kumuelewa.

Labda sasa naanza kuelewa kwanini wakristo husema Issa sio Yesu, kwa sababu Yesu ni mungu wa wakristo na Issa alikuwa ni binaadamu tu aliyeumbwa na Mungu muumba wa kila kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…