Ukweli wa fedha za haraka: Tunadanganywa au ni kawaida ya kila mtanzania kununuliwa ndoto?

Hiki ndicho huwa nawambia watu. Yani uwe trader mzuri sana unaweza jifunfia uka turn $1000 into 10,000 within a few weeks halafu uhamgaike kufundisha watu wakulipe sijui lak 3 kwa sababu gani?
Huo muda si utapaswa kuwa bsy una trade
Mambo sio marahisi kama ulivyoandika hapo.............That's why, ndio maana most consistency Trader wanashauri mtu u-risk 1% ya capital yako, umezidi sana 3% sio zaidi ya hapo.
 
Ni bure mkuu nije mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…