Ukweli wa Kustaajabisha Kuhusu Nyota za Angani

Ukweli wa Kustaajabisha Kuhusu Nyota za Angani

Status
Not open for further replies.
Hii thread ilifika page ya 21, lakini sasa imerudi mpaka 12. Mods mtakuwa mmefanya jambo jema sana kuondoa ule upuuzi wa kina kiranga na wenzake.

Kuleni 5! Mgalanjuka njoo uendelee na somo.
 
Last edited by a moderator:
kuna kitu kimegusiwa kwa uchache ni.kuhusiana na jua na movement zake wakuu hv ni kweli jua linatembea tena kwa spidi. kali hivi ni kweli jua linaongezeka ukubwa na mwisho litazeeeka na ndio utakuwa mwisho wa iniverse ytu kwani nyota na sayari zitagongana
plz kwa mwenye kuyajua haya anijuze kidogo
 
Kiranga akirudi tena kwa style ile ya nwanzo ya kitoto,tutahakikisha tunamfanyia fitina mpaka akasirike zaidi ya mara ya kwanza.chezea team fitina wewe.ha ha ha. Mgalanjuka usihofu mkuu,rudi utupe ilm.tupo kuhakikisha protocal inazingatiwa na utaratibu unafatwa.
 
Last edited by a moderator:
Kiranga akirudi tena kwa style ile ya nwanzo ya kitoto,tutahakikisha tunamfanyia fitina mpaka akasirike zaidi ya mara ya kwanza.chezea team fitina wewe.ha ha ha. Mgalanjuka usihofu mkuu,rudi utupe ilm.tupo kuhakikisha protocal inazingatiwa na utaratibu unafatwa.

So this is what it is all about?

Fitina?

Kiranga never left.
 
kuna kitu kimegusiwa kwa uchache ni.kuhusiana na jua na movement zake wakuu hv ni kweli jua linatembea tena kwa spidi. kali hivi ni kweli jua linaongezeka ukubwa na mwisho litazeeeka na ndio utakuwa mwisho wa iniverse ytu kwani nyota na sayari zitagongana
plz kwa mwenye kuyajua haya anijuze kidogo

Let's do the knowledge.

Kama dunia inavyozunguka jua, jua linazunguka katikati ya galaxy na hata galaxy yenyewe inazunguka.

Galaxy za karibu kama yetu ya Milky Way na Andromeda zitagongana na kuungana.

Kwa jinsi ya galaxies zilivyo kubwa, zinaweza kugongana na kuungana bila ya nyota kama jua na nyota nyingine za Andromeda galaxy kugongana.

Jua ni kama mshumaa unaowaka, inakadiriwa kwamba baada ya miaka bilioni tano energy inayowasha jua itakwisha na jua litazimika.

Soma zaidi kuhusu mgongano wa Andromeda na Milky way galaxies hapa

Andromeda–Milky Way collision - Wikipedia, the free encyclopedia

Ona video inayoonyesha jinsi itakavyokuwa hapa

http://upload.wikimedia.org/wikiped...dromeda_and_Milky_Way_collision.ogg.480p.webm
 
Let's do the knowledge.

Kama dunia inavyozunguka jua, jua linazunguka katikati ya galaxy na hata galaxy yenyewe inazunguka.

Galaxy za karibu kama yetu ya Milky Way na Andromeda zitagongana na kuungana.

Kwa jinsi ya galaxies zilivyo kubwa, zinaweza kugongana na kuungana bila ya nyota kama jua na nyota nyingine za Andromeda galaxy kugongana.

Jua ni kama mshumaa unaowaka, inakadiriwa kwamba baada ya miaka bilioni tano energy inayowasha jua itakwisha na jua litazimika.

Soma zaidi kuhusu mgongano wa Andromeda na Milky way galaxies hapa

Andromeda–Milky Way collision - Wikipedia, the free encyclopedia

Ona video inayoonyesha jinsi itakavyokuwa hapa

http://upload.wikimedia.org/wikiped...dromeda_and_Milky_Way_collision.ogg.480p.webm

thanks mkuu kiranga ila nimeshindwa kuiplay. hyo video natumia galxy poket. ndugu ila nashkur kwa jibu lako
 
Let's do the knowledge.

Kama dunia inavyozunguka jua, jua linazunguka katikati ya galaxy na hata galaxy yenyewe inazunguka.

Galaxy za karibu kama yetu ya Milky Way na Andromeda zitagongana na kuungana.

Kwa jinsi ya galaxies zilivyo kubwa, zinaweza kugongana na kuungana bila ya nyota kama jua na nyota nyingine za Andromeda galaxy kugongana.

Jua ni kama mshumaa unaowaka, inakadiriwa kwamba baada ya miaka bilioni tano energy inayowasha jua itakwisha na jua litazimika.

Soma zaidi kuhusu mgongano wa Andromeda na Milky way galaxies hapa

Andromeda–Milky Way collision - Wikipedia, the free encyclopedia

Ona video inayoonyesha jinsi itakavyokuwa hapa

http://upload.wikimedia.org/wikiped...dromeda_and_Milky_Way_collision.ogg.480p.webm

finally,now you're posting issues like an adult.kudos to team fitna.

NB:ni kwa kiasi gani theory ya cosmogony inahusiana na astronomy kwa ujumla wake.naomba jibu lako liwe kwa manufaa ya wanajf wote.itakuwa vyema sana likiwa kwa kiswahili.
 
finally,now you're posting issues like an adult.kudos to team fitna.

NB:ni kwa kiasi gani theory ya cosmogony inahusiana na astronomy kwa ujumla wake.naomba jibu lako liwe kwa manufaa ya wanajf wote.itakuwa vyema sana likiwa kwa kiswahili.

Mimi sijui kitu kama ulivyosema, hivyo siwezi kukujibu wewe.
 
Hii thread ilifika page ya 21, lakini sasa imerudi mpaka 12. Mods mtakuwa mmefanya jambo jema sana kuondoa ule upuuzi wa kina kiranga na wenzake.

Kuleni 5! Mgalanjuka njoo uendelee na somo.

Mkuu 072, Tuko pamoja na naona kuna marekebisho yamefanyika, wahusika asanteni. Somo na maarifa yanaendelea kutoka kwa wachangiaji mbalimbali nami napopata nafasi basi tunahabarishana tu wala halijaharibika neno.
 
Naona Mgalanjuka umeamua kubadili jina na sasa unajiita Monstgala
 
Hii thread ilifika page ya 21, lakini sasa imerudi mpaka 12. Mods mtakuwa mmefanya jambo jema sana kuondoa ule upuuzi wa kina kiranga na wenzake.

Kuleni 5! Mgalanjuka njoo uendelee na somo.

A narrowminded mediocrity is wont to applaud censorship in the midst of a vigorous discussion.
 
Last edited by a moderator:
Naona Mgalanjuka umeamua kubadili jina na sasa unajiita Monstgala

Mkuu Bigurube, Ni wazi mada hii imeleta changamoto kubwa na kusomwa sana. Mabadiliko ya jina yamekuwa lazima kutokana na jina lile kuhusishwa na mtu ambaye analitumia katika uhalisia na ambaye si mimi. Ili kuepusha hilo basi ikawa ni busara kubadili maana kwa mimi halikuwa jina langu halisi. Nadhani hakuna tatizo katika hili la mabadiliko ya jina na natumaini hakuna mtu anayetumia linalofanana hili katika uhalisia na hapa JF.
 
Usiniulize maswali. Ukiniuliza unajikanganya.

Na kujidhihirisha kwamba hujui zaidi yangu nisiyejua kitu.

usijifu kuwa unajua kumbe hujui,ukisijifu mwishowe unaaibika.period.
 
Hiyo avatar ya Kiranga nayo ni galaxy?

Mkuu Kibunango, picha inayoonekana katika avatar ya Kiranga ni picha ya galaxy na inafanana zaidi na Milkyway galaxy. (I am not sure) Lakini kumbuka sisi pia tumo ndani ya galaxy hii (kama ni Milkyway kwenye hiyo avatar) hivyo hatuwezi kupata picha nzima kwa ujumla ya galaxy hii kwa sasa. Hii ni kwa sababu hatuna bado technologia inayowezesha camera kufika eneo la nje ya galaxy hii kwa sasa. Ndio tunaweza kupata upande fulani kwa ndani lakini sio kwa kutokea nje. Hivyo picha za Milkyway zinakuwa ni mifano au concepts zinayotengenezwa na artists kwa kutumia utaalam na vipimo husika. Picha za galaxies nyingine zinaweza kuwa halisi kwa kuchukuliwa katika angle tuliyopo.
 
Usiniulize maswali. Ukiniuliza unajikanganya.

Na kujidhihirisha kwamba hujui zaidi yangu nisiyejua kitu.

usipende kujisifu kuwa unajua kumbe hujui,ukisijifu sana mwishowe unaaibika.period.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom