Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulivo-quote post ya jamaa hapo juu ina maandishi mengi kitendo cha wewe kuiquote tena ina maana inaongezeka urefu mara mbili, kwa watu wanaotumia simu kuscrow mpaka kufika chini kwenye hizi post zingine inawawia vigumu.
Hahaha, wakikuchapa maswali yalete hapa tuyashughulikie.
Hv kuna uhusiano na nchi tunazoishi hapa duniani,maana kuna vita fulani hv kuna mtu alisema ni nyota zinapigana. Na akasema zilisha pigana miaka mingi nyuma.
ahsante kwa uzi mzuri..mimi nahitaji kujua jinsi ya kuzisoma hizo nyota zikiwa angani.kuna maumbo ambayo hujipanga na yana maana yake.
Maswali yako ni ya mada tofauti hivyo naona itakuwa si vizuri kuyajibia katika mada hii. But if you you insist then I will.
Angel, sijui kama utakuwa unamaanisha "Neutron" maana nashindwa kukupata vizuri hapo kwenye "Zion".
Yaani zile nyota tunazoziita Taurus, scorpion, Sagittarius, Gemini na kama hizo.
Kuna great hunter, kuna Southern cross, kuna false cross nk.
Nakumbuka nlipokua mdogo kuna uncle wangu alokua ananionesha na kunifundisha majina yake, lkn long time now. Nshasahau
Okay lakini sasa hiyo ni tofauti kabisa na hii mada maana hizo ni signs of the zodiacs ambazo ni mambo ya unajimu au astrology kwa kiingereza ambayo kama wengi waliouliza wamekuwa wanaichanganya na astronomy. Unajimu au Astrology ni elimu au dhana tofauti ambayo hii imejikita katika kutafuta mahusiano ya mwonekano wa nyota kutoka duniani na kuyahusisha na matukio (events) ya duniani au haiba ya watu (personalities) kulingana na mpangilio wa jua na mwezi au sayari wakati wa tarehe zao za kuzaliwa.
Taurus, scorpion, Sagittarius, Gemini na mengineyo uliyotaja si nyota bali mifumo ya jinsi nyota au au maumbo mengine ya angani yanavyoonekana kwetu na wanajimu wanatumia mifumo hii kufanya utabiri wao. Unajimu hauna misingi yoyote ya sayansi hivyo sio tu kwamba hauhusiani na ukweli wa nyota niliouainisha bali pia haukubaliki na jamii ya wanasayansi, baadhi ya dini na tamaduni nyinginezo.
Mkuu tunashukuru kwa nondo ulizomwaga, ila nimestaajabu kuhusu kulipuka na kufa kwa nyota, niulize tu hivi hiyo hali ikitokea kwa jua letu sipati picha kitkachotokea na nini, hebu tuelimishe zaidi mkuu.
Du Mgalanjuka,thankx a lot for ur contribution.Pamoja na kwamba umeandika kwa Kiswahili ambayo ni lugha yetu ya asili nimejionea ngumu sana kumeza na kuelewa.Kwenye ule Uzi wako we are not alone naomba unieleweshe yafuatayo (1)they consume and exploit energy from the different stars,after the energy is exhausted they move to other stars or galaxy.Please how do they do that?(2)What makes them live longer than humans?(3)are they primitive or are the humans primitive ?I mean who are more primitive?(4)From my own thought and various sources of readings,it is believed by some scholars and researchers Jesus was an alien hybrid.What is ur view on that?
Hahaha, wakikuchapa maswali yalete hapa tuyashughulikie.
So, Extraterrestrial, I will respond in brief due to the fact that the questions you are asking were supposed to be replied in the other topic in order to avoid confusion.
The beings which I mentioned in that topic are more advanced than us, of course I also mentioned that there could be some in lower class which are not so advanced like us. Thus, for these who are in higher level compared to us the hypothesis on their advancement is based on the fact that there are many stars which are like our sun about 5% to 20%. so lets take the conservative side and say what do 5% of sun-like -stars means in numbers, well that means 500 billion-billion stars are like our sun with planets and conditions like our solar system. With this amount it means life might be available on other areas of the universe in abundant levels and and types.Actually, the study by PNAS (Proceedings of the National Academy of Sciences) suggest that there's 1% of habitable Earth-like planet around those sun-like Stars
But what is interesting is the time of existence of these beings. If we take our case (Earth) the life has estimated to exist in more than 3.5 billion years. Therefore if there are other planets with life like ours but which has been around for 7 billion years or 50 billion years then there we are talking of very high advanced and civilized beings far beyond us.
What make them live longer is the technology. Once you have such high technology you can be able to eliminate things which actually make you go old and die. For now we can see the advancement of our own technology in medical science for example successful heart transplant as other JF member ( Qyberteq ) posted, and many more including stems cells. Imagine humanity with such growing technology after two billion years what do you see? Well, unimaginable, the death by diseases or age might not be a threat anymore. Here is where you see very long living beings with other incredible capabilities.
Consumption of energy is one major factor which are used to categorize these beings. For example we are still depending on fossil fuels when we advance further we will start depending on energy from our host star (sun). The energy from the stars are more than what we can imagine if we could know how to utilize. As the signs of moving forward in our civilization we can witness the starting of usage solar power(energy from the star). At least that is the start but in the future there will be other super techniques to harness these abundant source of energy. Once the civilization has more source of energy then the development and advancement of even more technology is even greater, just like how electricity elevated our current civilization. But consuming energy from stars will also have its consequences so there would be the alternative when these stars are exhausted and cant give out what is needed. One of the way would be to move to the next star with similar condition that can habit such beings.
About Jesus? No that is totally other discipline and it cant be mixed with those hypothesis.
I think you have grasped what you wanted to know and again I should apologize for others, since the questions are taken from the other topic which I explained the hypothesis of civilized intelligent beings apart from us.
Natamani kujua ni kwa namna gani wanasayansi wanaweza kupima viwango kama umbali, ukubwa, kasi na uzito wa vitu ambavyo viko mbali kiasi hicho? Na pili, je, kuna njia yoyote ambayo sisi ambao sio scientists tunaweza kuitumia ku prove kama wanayosema ni kweli, au ndo inabidi tuamini tu hivyohivyo hata kama si kweli?
Asante kwa uzi wako wenye kuelimisha, hongera kwa kuutafsiri, hata mimi hupenda sana kusoma na kushangaa kuhusu science and technology.
Naomba karibu ya maswali yangu hapo juu.