Ukweli wa magari kuhusiana na kasumba kwamba kuna gari mbovu au ina makosa

Ukweli wa magari kuhusiana na kasumba kwamba kuna gari mbovu au ina makosa

Mkuu maboko kama yepi? Mkuu mimi naamini kwamba mazingira utakayotumia hiyo gari ndo yataifanya hiyo gari tatizo fulani liwe common

Okay naomba nkuulize swali. Ni wangapi huwa wanafanya uchunguzi wa kina wa gari kama wewe ulivoichambua BMW kabla ya kununua gari?
Ni wangapi huwa wanasoma manual instruction ya gari yake?

Alaf ishu ya prado as long as kuna latest model hiyo gari si new model boss ni tunaipa tu jina lakini si new model
Maboko ni mengi.. Hayawezi kutosha hapa..
2AZ FE.. hii engine common sana hapa.. Hata uitunze vipi itakula oil..!

Hata ukichunguza ukajua namna ya kuishi nayo.. Haiondoi concept ya gari ina matatizo..!

Tofautisha brand new na new model..
2010 inaweza kuwa new model..!
 
Kwa kesi hii ya uk broh you got a point na nakubaliana nawewe kwa asilimia mia uko sahihi.

Lakini kwa mazingira yetu ya kibongo ni big No kwasababu ukiuliza walionunua hiyo gari zero km yani imetoka wakanunua unaweza kuta ni wachache ama hakuna
Huku bongo wanaonunua zero milage ni serikali na wafanyabiashara wakubwa Tu wala hakuna haja kukubishia
 
Maboko ni mengi.. Hayawezi kutosha hapa..
2AZ FE.. hii engine common sana hapa.. Hata uitunze vipi itakula oil..!

Hata ukichunguza ukajua namna ya kuishi nayo.. Haiondoi concept ya gari ina matatizo..!

Tofautisha brand new na new model..
2010 inaweza kuwa new model..!
Hiyo engine uliyoitaja inaanza Kula oil ikishafikisha km 80,000 nakuendelea lkn sidhani kama kwenye low mileage inaweza Kula oil
 
Hiyo engine uliyoitaja inaanza Kula oil ikishafikisha km 80,000 nakuendelea lkn sidhani kama kwenye low mileage inaweza Kula oil
Kweli kabisa mkuu. Mwaka jana nimeuza nissan dualis niliyokaa nayo kwa mwaka na nusu. Kipind cha mwishon nikaja kugundua kua engine ina breeze muda wowote mzigo unanoki. Nikaja kupewa darasa kwamba gari nyingi za kisasa zikienda sana km laki moja either uuze au ubadili engine yani ni kama wametengeneza life expectance flani kwa gari na hii naweza sema ni kwasababu ya kibiashara. Sasa unaweza kuta huko mbeleni watu wakilalamika kwamba dualiz zina shida hii ya engine ila asilimia kubwa naamini ni wale watakaonunua gari yenye km za kutosha
 
80,000 gari mbichi kabisa hiyo..!
Hatutegemei matragic hayo..
Boss dualis nliyoiuza ilikua na 97000km na sikuwahi pitiliza service au kufanya service ya kuunga unga
 
Boss makosa yanatokana na matumizi yako hiko ndicho ninachoamini ndo maana nikakupa mfano wa crown uwe unapiga nayo sana shimo lazma uone weakness yake kwenye shockups au kuna gari hazitaki mafuta ya kidebe endapo itakua ndo tabia yako basi kila miezi utabadilisha pump so tabia yako ndiyo inayo onesha udhaifu wa hiyo gari and in fact hakuna gari isiyo na weakness ila matumizi yako ndo yataenda kuonesha ile weakness ambayo sometimes inaepukika vema
Kubali ukatae Kuna gari hata Kama zote Ni za mazingira sawa Kuna ingne itakuwa na shida tu gari zinatofautiana ubora

Tu assume hata zisitembee engine iwe on tu rpm kadhaa utagundua Kuna Moja itazingua chchte kwenye engine kabla ya mwenzake hata ziwe zinalingana baadhi ya vitu engine capacity nk
 
Mkuu walionunua x trail wengi walinunua sababu ni gari ya juu na wengi matumizi yake wengi waliyatumia kama tunavotumia kwenye rav4 old model roho ya paka yan mazingira ya kashkash kitu ambacho ni tofauti. Mfano sasa ununue nissan dualis alaf matumizi yako yawe ya off roads ngingi nganga mjomba hiyo gari utaikataa. Kuna ile mentality kwamba gari ikishakuwa ya juu kidogo basi kuna mikiki mingi itahimili kitu ambacho si kweli. Kwa kesi ya x trail watu wengi walinunua bila kujua gari inataka nini. X trail haikutengenezwa kama gari ya kuhimili mikiki mikiki yani kama unataka gari ya juu ya kuhimili mikiki mikiki dizain ya x trail basi kachukue rav 4 old model.

Nakuhakikishia mkuu kuna watu wapo mjin na x trail wanakula maisha vyedi kabisa na hayo malalamiko hakuna
hizi gari naona watu wanazikataa sana yanii... bei zake zinashangazaa unakutaa bonge la garii kaliii balaa ila mil 7 sijui 6.
 
Kubali ukatae Kuna gari hata Kama zote Ni za mazingira sawa Kuna ingne itakuwa na shida tu gari zinatofautiana ubora

Tu assume hata zisitembee engine iwe on tu rpm kadhaa utagundua Kuna Moja itazingua chchte kwenye engine kabla ya mwenzake hata ziwe zinalingana baadhi ya vitu engine capacity nk
Mkuu suala la ubora sijakataa gari zinatofautiana ubora kwa kiasi kikubwa sana na ndo maana nikatoa tofauti ya x trail na rav 4 old model binafsi kwa matumizi yangu mtachakua rav 4 miaka mia. Niko na corolla 110 sehemu nazopita ist hakanyagi. Ishu ninayoiongelea hapa ni matumizi ya gari boss tunatakiwa tununue gari kutokana na matumizi yetu. Hiyo hiyo x trail watu wanayoilalamikia kuna muhindi pale mnazi mmoja kazini kwake ni posta na route zake ni za mjini kakimbia sana ni pwani hapo yuko na hiyo gari miaka nenda rudi na humwambii kitu kuhusu hiyo gari. Na kuna mwamba yupo ujiji [emoji3][emoji3] (samahani watani wangu) yupo huko kila siku anapiga shimo na kilio chake kikubwa ni suspension mara akwambie gari inakosa nguvu yani ni vurugu mechi. Nadhani point yangu umeielewa?
 
hizi gari naona watu wanazikataa sana yanii... bei zake zinashangazaa unakutaa bonge la garii kaliii balaa ila mil 7 sijui 6.
Kaka ukiona hivo ujue mazingira hayaruhusu zikatae nunua aina ingine
 
Ya 2010 na ya Sasa zote Ni j150 huwezi nunua Prado ya mwaka huu ukasema Ni new model ya 2010 ambayo nayo Ni j150 labda iwe new model kwa j120
Achana na wanunuzi wa Bongo.. Tunaongelea ubovu wa kitu..
Hao ni brand kubwa BMW..
Imagine maboko wanayotoa Toyota halafu wanajikausha..!!

Bado hujafanya homework yako vizuri..
Leo2023..ukinunua LC Prado 150 ya 2010..umenunua Prado new model au old model..!!?
 
2AZ ipo kwenye Toyota..
Dualis nayo nahisi ina matragic yake..
Tuhuma zimekuwa nyingi juu yake..
Boss speaking of environment unajua kwamba dualis ziko za kutosha europe wanaziita (Qashqai) hebu fikiria hadi gari ya japan imekua kipenzi katika European countries. Alaf sisi wabongo tunasema ina majanga kama yote[emoji3][emoji3][emoji3] dah
 
Kukosa nguvu na kupiga shimo kunausianaje ? Huoni imekosa nguvu sababu ya matatizo yake mengine ..kupiga shimo suspension , miguu , ndo vinaumia engine ikizingua wakat wa kupiga shimo Basi tatizo halijasababishwa na kupiga shimo
Mkuu suala la ubora sijakataa gari zinatofautiana ubora kwa kiasi kikubwa sana na ndo maana nikatoa tofauti ya x trail na rav 4 old model binafsi kwa matumizi yangu mtachakua rav 4 miaka mia. Niko na corolla 110 sehemu nazopita ist hakanyagi. Ishu ninayoiongelea hapa ni matumizi ya gari boss tunatakiwa tununue gari kutokana na matumizi yetu. Hiyo hiyo x trail watu wanayoilalamikia kuna muhindi pale mnazi mmoja kazini kwake ni posta na route zake ni za mjini kakimbia sana ni pwani hapo yuko na hiyo gari miaka nenda rudi na humwambii kitu kuhusu hiyo gari. Na kuna mwamba yupo ujiji [emoji3][emoji3] (samahani watani wangu) yupo huko kila siku anapiga shimo na kilio chake kikubwa ni suspension mara akwambie gari inakosa nguvu yani ni vurugu mechi. Nadhani point yangu umeielewa?
 
Boss speaking of environment unajua kwamba dualis ziko za kutosha europe wanaziita (Qashqai) hebu fikiria hadi gari ya japan imekua kipenzi katika European countries. Alaf sisi wabongo tunasema ina majanga kama yote[emoji3][emoji3][emoji3] dah
Utunzaji plus mazingira ni changamoto..!
 
Utunzaji plus mazingira ni changamoto..!
Thats my point mkuu ndo maana pale juu kweye uzi nkasema unatakiwa uzingatie vitu viwili
Kipato chako je utaweza itunza?
Na mazingira utakayoenda itumia hiyo gari kiufupi mazingira yetu si rafiki kwa aina nyingi za magari hasa haya ya kisasa mengi yao ila si yote
 
Back
Top Bottom