Ukweli wa magari kuhusiana na kasumba kwamba kuna gari mbovu au ina makosa

Ukweli wa magari kuhusiana na kasumba kwamba kuna gari mbovu au ina makosa

Kwanini X Trail ilalamikiwe sana kuliko spacio, pamoja na maelezo yako mazuri bado naamini kuna baadhi ya gari ni vimeo
Kwny x-trail yako Nenda kanunue Oil yako ya Sae-40/lubex oil,rejeta jaza zako maji, kwny gearbox weka zako universal transmission oil utakuja kuleta majibu hapa.
 
Kwa ulaya watu hawatumii gari mpaka kufikia 200k so mtu unapotaka kununua gari unatakiwa kujua aina hizi za gari so that uweze kuish nayo muda mrefu. Ulaya mtu anatumia gar km 20000 au 30000 gari inakua imekwisha choka kwake so hayo matatizo ya kula oil au ku breez au nini hawez kuyaona sabab hafikii huko na hata mazingira yao yanafanya haya matatizo tunayoyaongelea yasionekane. Solution ni kujua aina ya gari unayoenda kununua itaweza kuhimili? Fikiria mkuu tuseme hizi aina za engine zenye matatizo znapofika km fulani zipo lakin hushangai watu bado wanaendelea kununua?
Kuna mdau hapo juu nimempa ushauri kama unajua gari fulani hazitaki kitu fulani either mazingira au labda zikifika umbali fulani zinasumbua kwanini tunanunua tena kwa wingi ili kesho uanze kulalamika? Kuna watu hapo juu wamenibishia tu wengine ili waonekane wanabisha, wengine wana hoja lakin nimeongea gari zote hakuna gari isiyo na weakness ilimradi tu imeumwa na wanadamu basi lazma iwepo weakness yani lazima ila matumizi yetu ndo yanafanya hzo weakness zionekane kwa sana mfano engine zenye shida ya kula oil namna ya kuepuka ni kuhakikisha oil level yako ipo sawa muda wote which means service ufanye mara kwa mara gari inakuwa inachekiwa kitu ambacho ni very rare kwa bongo sasa kama ni hivo huna huo uwezo kwanini ununue? Lakini watu hawajui wanaendelea kuzinunua kama njugu
Hahaha aisee unayumba..
Ulaya wanaendesha 30,000kms tuu then gari inakuwa imechoka..!!!?
Warranty tuu za brand new cars ni zaidi ya hizo kilometres..!
 
Hahaha aisee unayumba..
Ulaya wanaendesha 30,000kms tuu then gari inakuwa imechoka..!!!?
Warranty tuu za brand new cars ni zaidi ya hizo kilometres..!
Boss elewa point yangu. Gari unapoagiz inakua na km ngapi? Achana na china japan mzee ulaya gari zinakuja na km chache sababu mtu anaweza akatumia miaka kadhaa na asifikishe hizo km na hata hizo warrantee zinatoka sabab wanajua kwa matumizi yao huwez fika huko unless its transport car ambayo si tunazozizungumzia humu. Sasa fikiria kwa condition hiyo na mazingira hayo unafkiri first user ataona hayo madhaifu tunayoyaongelea bongo? Sisi tunaoenda km laki moja laki mbili ndo tutaona trust me sababu ya miundombinu yao watu wanatumia sana public transport hasa kwa safari za mbali hebu fikiria natoka dar naenda mwanza mfano kwa ndege ni masaa mawili matatu au kwa treni ni masaa may be matano kuna haja gani ya kuendesha masaa kumi na kutumia gharama wakati naweza tumia public transport?
Af mjomba wewe unavochukulia gari kuchoka kibongo bongo sio kama nchi za wenzetu kuna gari ngapi tunaletewa bongo zinahesabika zimechoka au zimezidi muda wanaotaka lakini zikija bongo ni mpya? Km 30,000 kwa umasikini wetu ni mpya ila wenzetu wanaonunua zero km hiyo gari kwao ishatumika na ishachoka. Huwa siongei kwa kukurupuka mzee naongea kwa ushahidi unless umekuja hapa ili kupinga kila nachoongea then nikuache na hiyo ego yako....
 
Boss elewa point yangu. Gari unapoagiz inakua na km ngapi? Achana na china japan mzee ulaya gari zinakuja na km chache sababu mtu anaweza akatumia miaka kadhaa na asifikishe hizo km na hata hizo warrantee zinatoka sabab wanajua kwa matumizi yao huwez fika huko unless its transport car ambayo si tunazozizungumzia humu. Sasa fikiria kwa condition hiyo na mazingira hayo unafkiri first user ataona hayo madhaifu tunayoyaongelea bongo? Sisi tunaoenda km laki moja laki mbili ndo tutaona trust me sababu ya miundombinu yao watu wanatumia sana public transport hasa kwa safari za mbali hebu fikiria natoka dar naenda mwanza mfano kwa ndege ni masaa mawili matatu au kwa treni ni masaa may be matano kuna haja gani ya kuendesha masaa kumi na kutumia gharama wakati naweza tumia public transport? Huwa siongei kwa kukurupuka mzee naongea kwa ushahidi unless umekuja hapa ili kupinga kila nachoongea then nikuache na hiyo ego yako....
Duuh maneno yote hayo bado unayumba..
Naomba unionyeshe hizo gari za Europe zinazouzwa zenye kilometres chache..
 
Piston 3 ukikawasha asubuhi kanatetemeka mpk unasikia mwili unawasha Kama vile umemeza chloroquine.
Siku moja nimetumia ya jamaa mmoja hivi! Ililuwa mbovu mbovu, haina nguvu kabisa..

Nikamuuliza kiutani, "hii passo inatofauti gani na wale kobe wa zenji? "
Jamaa alinimaind mpaka tunafika[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Boss elewa point yangu. Gari unapoagiz inakua na km ngapi? Achana na china japan mzee ulaya gari zinakuja na km chache sababu mtu anaweza akatumia miaka kadhaa na asifikishe hizo km na hata hizo warrantee zinatoka sabab wanajua kwa matumizi yao huwez fika huko unless its transport car ambayo si tunazozizungumzia humu. Sasa fikiria kwa condition hiyo na mazingira hayo unafkiri first user ataona hayo madhaifu tunayoyaongelea bongo? Sisi tunaoenda km laki moja laki mbili ndo tutaona trust me sababu ya miundombinu yao watu wanatumia sana public transport hasa kwa safari za mbali hebu fikiria natoka dar naenda mwanza mfano kwa ndege ni masaa mawili matatu au kwa treni ni masaa may be matano kuna haja gani ya kuendesha masaa kumi na kutumia gharama wakati naweza tumia public transport?
Af mjomba wewe unavochukulia gari kuchoka kibongo bongo sio kama nchi za wenzetu kuna gari ngapi tunaletewa bongo zinahesabika zimechoka au zimezidi muda wanaotaka lakini zikija bongo ni mpya? Km 30,000 kwa umasikini wetu ni mpya ila wenzetu wanaonunua zero km hiyo gari kwao ishatumika na ishachoka. Huwa siongei kwa kukurupuka mzee naongea kwa ushahidi unless umekuja hapa ili kupinga kila nachoongea then nikuache na hiyo ego yako....
Mkuu unaanzisha mada halafu hutaki kupingwa?

Ulitakiwa upangue hoja ya Jamaa kwamba km 30k bado ni ndani ya warranty.

Hiyo ndiyo namna bora ya kuendesha mijadala
 
Simu zipishane ubora ila isiwe gari? Elimu[emoji1787]
 
Boss elewa point yangu. Gari unapoagiz inakua na km ngapi? Achana na china japan mzee ulaya gari zinakuja na km chache sababu mtu anaweza akatumia miaka kadhaa na asifikishe hizo km na hata hizo warrantee zinatoka sabab wanajua kwa matumizi yao huwez fika huko unless its transport car ambayo si tunazozizungumzia humu. Sasa fikiria kwa condition hiyo na mazingira hayo unafkiri first user ataona hayo madhaifu tunayoyaongelea bongo? Sisi tunaoenda km laki moja laki mbili ndo tutaona trust me sababu ya miundombinu yao watu wanatumia sana public transport hasa kwa safari za mbali hebu fikiria natoka dar naenda mwanza mfano kwa ndege ni masaa mawili matatu au kwa treni ni masaa may be matano kuna haja gani ya kuendesha masaa kumi na kutumia gharama wakati naweza tumia public transport?
Af mjomba wewe unavochukulia gari kuchoka kibongo bongo sio kama nchi za wenzetu kuna gari ngapi tunaletewa bongo zinahesabika zimechoka au zimezidi muda wanaotaka lakini zikija bongo ni mpya? Km 30,000 kwa umasikini wetu ni mpya ila wenzetu wanaonunua zero km hiyo gari kwao ishatumika na ishachoka. Huwa siongei kwa kukurupuka mzee naongea kwa ushahidi unless umekuja hapa ili kupinga kila nachoongea then nikuache na hiyo ego yako....

Bro iko hivi

Nimekaa Germany,France na Netherland

Kule gari zinatembea sio mchezo,kukuta gari ina km laki 2 ni kawaida sana endapo haimsumbui mtumiaji!

Ni kweli warranty nyingi ni 100,000km or 3 years whichever comes first!

Gari nyingi za zamani ukikuta mitandaoni ina km chake inawezekana gari ilikuwa sumbufu from the beginning

Mfano BMW ya 2007 ina 30,000km afu bei chee

Ifanyie tafiti,omba inspection report,maintenance records na accident history kabla hujanunua

Uchache wa ‘km’ hau justify uimara na bei ya gari[emoji845]


Tena gari zilizotembea km nyingi ni imara sana

Tembelea mitandaoni
Hizi hybrid car nyingi utakuta zinauzwa na ni 100,000km + na bado bei zimesimama

Jaribu kuangalia pia mfano

Mazda cx-5 nyingi zinaanzia kilometer laki moja mpk laki 2 lakini zinauzwa na zinatoka vizuri

Hii inamaanisha hizi hazikuleta usumbufu kwa previous owner ndo maana zikagonga 200,000km+

Kuna factors nyingi nje ya km chache[emoji28]
 
Mkuu unaanzisha mada halafu hutaki kupingwa?

Ulitakiwa upangue hoja ya Jamaa kwamba km 30k bado ni ndani ya warranty.

Hiyo ndiyo namna bora ya kuendesha mijadala
Mkuu si kugoma kupingwa na pia sidhani kama hoja ni kwamba km 30k ni ndani ya warrantee ni kweli inakua ndani ya warrantee lakin wewe kama second buyer hyo warantee inakuhusu?
 
Bro iko hivi

Nimekaa Germany,France na Netherland

Kule gari zinatembea sio mchezo,kukuta gari ina km laki 2 ni kawaida sana endapo haimsumbui mtumiaji!

Ni kweli warranty nyingi ni 100,000km or 3 years whichever comes first!

Gari nyingi za zamani ukikuta mitandaoni ina km chake inawezekana gari ilikuwa sumbufu from the beginning

Mfano BMW ya 2007 ina 30,000km afu bei chee

Ifanyie tafiti,omba inspection report,maintenance records na accident history kabla hujanunua

Uchache wa ‘km’ hau justify uimara na bei ya gari[emoji845]


Tena gari zilizotembea km nyingi ni imara sana

Tembelea mitandaoni
Hizi hybrid car nyingi utakuta zinauzwa na ni 100,000km + na bado bei zimesimama

Jaribu kuangalia pia mfano

Mazda cx-5 nyingi zinaanzia kilometer laki moja mpk laki 2 lakini zinauzwa na zinatoka vizuri

Hii inamaanisha hizi hazikuleta usumbufu kwa previous owner ndo maana zikagonga 200,000km+

Kuna factors nyingi nje ya km chache[emoji28]
Mkuu nakubaliana na wewe pia hata hapa bongo kuna gari zina km laki hadi tatu tunapeta nazo vema kabisa. Ishu inakuja kwenye point yako ulioisemea ichunguze gari pata history yake na vinginevo. Ni kitu ambacho wabongo wengi hatufanyi then inapelekea kuna baadhi ya gari zikifika km kadhaa zinaanza kusumbua lakin kama ungejua hiyo history mapema usingenunua. Ungenunua gari ngumu mfano mimi dream car yangu ni land cruiser limited japo ni gari ya miaka 80 mwishoni kama sikosei na nimeisoma hasaaa ile gari ni ngumu na najua inataka nini so nikija inunua haiwezi nisumbua. Nikikurupuka ndo mwisho wa siku ntakua mtu wa kulalamika tu..
 
Siku moja nimetumia ya jamaa mmoja hivi! Ililuwa mbovu mbovu, haina nguvu kabisa..

Nikamuuliza kiutani, "hii passo inatofauti gani na wale kobe wa zenji? "
Jamaa alinimaind mpaka tunafika[emoji28][emoji28][emoji28]
Hizi gari watu wakizinunua kwa wingi kikubwa walichofata ni unywaji wa mafuta tu wwngi hawakuzingatia vitu vinginevo vingi tu mfano uimara wa engine kwa mikiki mikiki yetu.
 
Bro iko hivi

Nimekaa Germany,France na Netherland

Kule gari zinatembea sio mchezo,kukuta gari ina km laki 2 ni kawaida sana endapo haimsumbui mtumiaji!

Ni kweli warranty nyingi ni 100,000km or 3 years whichever comes first!

Gari nyingi za zamani ukikuta mitandaoni ina km chake inawezekana gari ilikuwa sumbufu from the beginning

Mfano BMW ya 2007 ina 30,000km afu bei chee

Ifanyie tafiti,omba inspection report,maintenance records na accident history kabla hujanunua

Uchache wa ‘km’ hau justify uimara na bei ya gari[emoji845]


Tena gari zilizotembea km nyingi ni imara sana

Tembelea mitandaoni
Hizi hybrid car nyingi utakuta zinauzwa na ni 100,000km + na bado bei zimesimama

Jaribu kuangalia pia mfano

Mazda cx-5 nyingi zinaanzia kilometer laki moja mpk laki 2 lakini zinauzwa na zinatoka vizuri

Hii inamaanisha hizi hazikuleta usumbufu kwa previous owner ndo maana zikagonga 200,000km+

Kuna factors nyingi nje ya km chache[emoji28]
Gari zenye km chache ambazo ni nzima zinauzwa na dealerships.
 
Gari nyingi tu zinatoka kiwandani na shida ndio maana kunakuwa na recalls.

Wanaozidisi Murano siyo kwa ubaya, transmission nyingi za CVT za nissan ni kichefuchefu. JATCO Mungu anawaona.


Kuna gari ili iwe durable utahitaji kuimaintain kama ndege.(Preventive Maintenance za kutosha).

Asilimia kubwa ya BMW from 90s, unakuta Cooling system pekee ina seals 20+ au 30+ na maplastic kibao, ukutaka kuendesha mpaka likuzimie ndio ukumbuke kurekebisha with time utalia milio yote.

Hapo engine inataka 95 octane petrol. Halafu mtu anakoishi mafuta ni ya vidumu. Atatoboa kweli?.
Nlikuwa na dualis inasumbua yani, ikiwa imepaki kama kuna mlima au hata jiwe la kawaida haiwezi kwrnda mbele na hata ukanyage pedal mpala mwisho rpm haizid 2. Lakini ikishapata motion ikatembea hata usimame mliman labda kwenye folen haina shda. Shda ni kuiwasha pale uanze motion halafu kuwe na kizuizi.
Mashine ilikuwa inasoma codd ya p0845 ya transmission fluid pressure sensor.
Imewekwa sensor mpya lakini wapi. Weka transmission fluid mpya lakini wapi. Ilivyobadilishwa control box ya gearbox. Tatizo likaisha na error zote zikapotea.
Nlidhani solution itakula ela nyingi lakini imekuwa rahisi na cheap kuliko nlivyotaraji
 
Nlikuwa na dualis inasumbua yani, ikiwa imepaki kama kuna mlima au hata jiwe la kawaida haiwezi kwrnda mbele na hata ukanyage pedal mpala mwisho rpm haizid 2. Lakini ikishapata motion ikatembea hata usimame mliman labda kwenye folen haina shda. Shda ni kuiwasha pale uanze motion halafu kuwe na kizuizi.
Mashine ilikuwa inasoma codd ya p0845 ya transmission fluid pressure sensor.
Imewekwa sensor mpya lakini wapi. Weka transmission fluid mpya lakini wapi. Ilivyobadilishwa control box ya gearbox. Tatizo likaisha na error zote zikapotea.
Nlidhani solution itakula ela nyingi lakini imekuwa rahisi na cheap kuliko nlivyotaraji
Hata mm nina gari yangu vitz ..ina tatizo ilo ilo ... Mpaka leo sijajua shida nn ... Sa sijui uenda pia itakuw ni control box
 
Hata mm nina gari yangu vitz ..ina tatizo ilo ilo ... Mpaka leo sijajua shida nn ... Sa sijui uenda pia itakuw ni control box
Mimi sio mtaalam wa magari ila dualis zinatumia cvt na kutokana na mambo yetu fake fake zinapata shida za gearbox hasa motor, transmissionf fluid pressure sensor, control box. Ila walichoabadilia akaikasolve ni control ya gearbox. Sjui vitz pia inayo
 
Back
Top Bottom