Ukweli wa magari kuhusiana na kasumba kwamba kuna gari mbovu au ina makosa

Uzi umenoga sana, Naomba wenye uzoefu wa magari fulani fulani wataje weakness/madhaifu yake kwa matumizi ya hapa Bongo. Najua wengi tumeangukia kwenye hilo kundi la kununua magari bila kufanya Utafiti wa kina.
Mfano:
  1. nissan dualis/Murano nyingi zinalalamikiwa kuwa na matatizo ya umeme,
  2. Crown watu wana lalamika udhaifu wa shockups
  3. Rav4 zenye 2az-fe engine kuchoma sana oil....
  4. ...
  5. ...
 
Kwa dualis hebu pitia hii link hapa ya jamaa twitter kuna mengi utayaelewa na binafsi based on experience niko upande wake



 
3. Utembee na chupa ya oil..
Taa ikiwaka ongeza..!
Ni changamoto ambayo ni rahisi kuishi nayo..!
 
3. Utembee na chupa ya oil..
Taa ikiwaka ongeza..!
Ni changamoto ambayo ni rahisi kuishi nayo..!
[emoji3][emoji3][emoji3] hii ni kwa gari gani kaka kati ya hizo alizoomba mdau ushauri
 
Mkuu unaijua vizuri Passo.. heheheee... nyiee acheni tuu. Tena upate ya pistoni 3.

Unaijua vizuri engine ya 1zz. Kanunue Allion, utakuja kutusimulia

Hizo ni kwa uchache tuu
 
Mkuu unaijua vizuri Passo.. heheheee... nyiee acheni tuu. Tena upate ya pistoni 3.

Unaijua vizuri engine ya 1zz. Kanunue Allion, utakuja kutusimulia

Hizo ni kwa uchache tuu
Boss una passo ya piston tatu af unapiga ruti za dar mwanza mara musoma mtwara unategemea nini? Tumia hiyo gari kwa trip za town tu safari fupi fupi kama utaona shida. Allion ina shida gani?

Tatzo mkuu sidhani kama umenielewa. Hakuna gari isiyo na weakness hata moja ila matumizi yako ndo yanaenda kufumua mshono wa yale matatizo ila kama ukitumia kwa mazingira na matumizi yaliyo ndani ya uwezo wa gari huwez skia hizo shida
 
Magari,kama zilivyo bidhaa nyingine,yapo yenye ubora,yapo yasiyo na ubora.
Halikadhalika bado kuna mambo nje ya gari yenyewe,yanayosabisha kuonekana mbovu,au kuharibika haraka..Ikiwemo watumiaji,mazingira na ufundi.
 
Msingi wako nimeuelewa vizuri sana, na point yako ya wabongo kutozingatia manuals ni ya msingi sana.

You still have to understand kua zipo gari sumbufu, delicate. Huo usemi wa mtaani kua gari flani zinasumbua, sio wa uongo.

Nimekupa mfano engine ya 1zz ni kubwa lakini kama ni mtu wa magari then utakua unaijua kua ni kichefuchefu

Swift

Steering rack za umeme ni ugonjwa hata iwe kwenye vanguard.

Point yako ni ya msingi ila elewa pia gari vimeo zipo
 
Mkuu unaijua vizuri Passo.. heheheee... nyiee acheni tuu. Tena upate ya pistoni 3.

Unaijua vizuri engine ya 1zz. Kanunue Allion, utakuja kutusimulia

Hizo ni kwa uchache tuu
Hapo umenena..
Hiyo 1ZZ changamoto ile mbaya..!
 
Boss hyo gari kuwa kimeo ni kwa mazingira yako na matumizi yako tu

Nimesema hapo juu Dualis hapa bongo zinaungua nyingine watu wanalalamika matatzo kibao lakini kwa ulaya ndo gari pendwa kilichobadilika ni jina tu.

Na katika hizo gari sumbufu unazosema kuna watu wanazo miaka hazijaleta shida au wao wanakuwa ni special order?
 
Umeshinda
Maana hutaki kuelewa
 
Umeshinda
Maana hutaki kuelewa
Nisipoelewa mimi haimaanishi wengine hawajaelewa ila cha msingi kila mtu kaona na atachagua wapi pa kuelewa mkuu ila i have got a point nawew una point thats fair. Kwenye pumba zangu watu wataacha kwenye point watachukua the same na kwako pia
 
Gari nyingi tu zinatoka kiwandani na shida ndio maana kunakuwa na recalls.

Wanaozidisi Murano siyo kwa ubaya, transmission nyingi za CVT za nissan ni kichefuchefu. JATCO Mungu anawaona.


Kuna gari ili iwe durable utahitaji kuimaintain kama ndege.(Preventive Maintenance za kutosha).

Asilimia kubwa ya BMW from 90s, unakuta Cooling system pekee ina seals 20+ au 30+ na maplastic kibao, ukutaka kuendesha mpaka likuzimie ndio ukumbuke kurekebisha with time utalia milio yote.

Hapo engine inataka 95 octane petrol. Halafu mtu anakoishi mafuta ni ya vidumu. Atatoboa kweli?.
 
Series ya AZ zote zinabugia Oil.
 
Kuna engine zinagonga 200k bila shida yoyote.
Kwa ulaya watu hawatumii gari mpaka kufikia 200k so mtu unapotaka kununua gari unatakiwa kujua aina hizi za gari so that uweze kuish nayo muda mrefu. Ulaya mtu anatumia gar km 20000 au 30000 gari inakua imekwisha choka kwake so hayo matatizo ya kula oil au ku breez au nini hawez kuyaona sabab hafikii huko na hata mazingira yao yanafanya haya matatizo tunayoyaongelea yasionekane. Solution ni kujua aina ya gari unayoenda kununua itaweza kuhimili? Fikiria mkuu tuseme hizi aina za engine zenye matatizo znapofika km fulani zipo lakin hushangai watu bado wanaendelea kununua?
Kuna mdau hapo juu nimempa ushauri kama unajua gari fulani hazitaki kitu fulani either mazingira au labda zikifika umbali fulani zinasumbua kwanini tunanunua tena kwa wingi ili kesho uanze kulalamika? Kuna watu hapo juu wamenibishia tu wengine ili waonekane wanabisha, wengine wana hoja lakin nimeongea gari zote hakuna gari isiyo na weakness ilimradi tu imeumwa na wanadamu basi lazma iwepo weakness yani lazima ila matumizi yetu ndo yanafanya hzo weakness zionekane kwa sana mfano engine zenye shida ya kula oil namna ya kuepuka ni kuhakikisha oil level yako ipo sawa muda wote which means service ufanye mara kwa mara gari inakuwa inachekiwa kitu ambacho ni very rare kwa bongo sasa kama ni hivo huna huo uwezo kwanini ununue? Lakini watu hawajui wanaendelea kuzinunua kama njugu
 
Angalau umepata point yangu mkuu hapo kwenye maintanance ya kutosha which means kama gari haina hiyo maintanance ya kutosha basi kila siku litazuka hilo tatizo ila kuna watu wanaweza kuzi maintain na wanaishi nazo mfano nimetoa hapa wa dualis ambayo inalalamikiwa lakini ulaya ndo gari pendwa. Sasa ili kuepuka yote hayo kwanini ununue while u cant maintain it?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…