Ukweli wa mimi kuhusu kuwepo Marekani

Ukweli wa mimi kuhusu kuwepo Marekani

Vipi huko mbeba boksi,kazi ya kuhudumia wazee wanapata tsh ngapi kwa saa 1
1000132827.jpg
 
Huyu tumwite tu limbukeni,kumwita mshamba ni kutuonea sisi ambao ni wakulima wa jembe la mkono
Utakuta yupo Kasulu, anafanya hivyo ili atapeli watu pesa za connection, au apate mademu, siku akija Dar kwa mbio za mwenge, ndo anifanye karudi kutoka marekani kaja Dar, Huyo demu aliyedanganywa lazima aliwe hiyo siku.
 
From someone with intellectual maturity. This is strange asf. Wewe jamaa umejiunga July 7 2023. Na tangu kipindi hicho tayari umeshaanzisha thread 10 kuhusu Marekani. Hicho sio kitu cha kawaida kwa mtu mzima mwenye akili zake timamu. That's an usual obsession.

Kitu kinachoniambia there's no way wewe utakuwa ni mtu mzima. Definitely someone under 23 or 20. Hata mwandiko wako unasema hivyo. Sababu huo ndio umri vijana wengi huwa na obsession ya ndoto zao. Na with their naive mentality on the world kufikiri kwamba watazifikia either way. Kitu ambacho kinapelekea kuziongelea na kuziota constantly kama hivi.

Tell me I'm wrong.
 
From someone with intellectual maturity. This is strange asf. Wewe jamaa umejiunga July 7 2023. Na tangu kipindi hicho tayari umeshaanzisha thread 10 kuhusu Marekani. Hicho sio kitu cha kawaida kwa mtu mzima mwenye akili zake timamu. That's an usual obsession.

Kitu kinachoniambia there's no way wewe utakuwa ni mtu mzima. Definitely someone under 23 or 20. Sababu huo ndio umri vijana wengi huwa na obsession ya ndoto zao. Na with their naive mentality on the world kufikiri kwamba watazifikia either way. Kitu ambacho kinapelekea kuziongelea na kuziota constantly kama hivi.

Tell me I'm wrong.
You are very wrong! Yaani everything you wrote(speculate) is wrong.

Mwaka kesho kutwa, nitaandika the whole story ya kuwa huku. Ambayo naamini itawaamsha baadhi ya wadau jinsi ya kufika huku kwa kutumia personal potentials(Qualities). If possible, nitaandaa a zoom meeting ili kuelezana habari za kuangalia fursa nje ya nchi. So ukiona tangazo la kuhusu kujifunza fursa za nje jitahidi kuhudhuria sio lazima uone tangazo hapa kupitia Prof Janabi wa JF,
 
Back
Top Bottom