Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

tuliwaona watu kama hao wakija na kuondoka bila kuaga baada ya kuchapwa maswali machache tu na Kiranga
Kilanga siwezi kumlaumu alijifunza UKUBWANI AKAWA LIMBUKENI WA FIKILA HAKUFANYA UTAFITI ALIKURUPUKA.
 
Kama unafahamu anapoishi tafadhali tujuze nasi tupate kufahamu
Wengi wasio amini Mungu wamejifunza kwenye kazi kwa sababu ya maisha magumu wamelimbuka na kufuata hisia za mabosi wao HAWANA UTAFITI NI BLABLAA
 
Nimekuwa nakufuatilia sn. Maswali yako huwa ni magumu mno kwa watu wa upande wa pili,,,,. Atheists. Safi sn kwa matumizi sahihi ya akili

Sent from my TECNO P6 using JamiiForums mobile app
Mkuu wengi wa Atheist hawajui wasemalo Wamejifunza Kwa hisia bila kutumia Utafiti wowote wamekalilishwa na kujikuta wanatumia hisia za MARAFIKI AU MABOSI WAO HAKUNA UTAFITI WOWOTE ULIOFANYIKA. Mungu hayupo kwanini wakati tuna ona kila kitu kipo kwe mpangilio?
 
Nimekuwa nakufuatilia sn. Maswali yako huwa ni magumu mno kwa watu wa upande wa pili,,,,. Atheists. Safi sn kwa matumizi sahihi ya akili

Sent from my TECNO P6 using JamiiForums mobile app
Mkuu wengi wa Atheist hawajui wasemalo Wamejifunza Kwa hisia bila kutumia Utafiti wowote wamekalilishwa na kujikuta wanatumia hisia za MARAFIKI AU MABOSI WAO HAKUNA UTAFITI WOWOTE ULIOFANYIKA. Mungu hayupo kwanini wakati tuna ona kila kitu kipo kwe mpangilio?
 
Kama hakuna anayefahamu mambo ya Mungu,wewe umejuaje kama huyo Mungu yupo?

Ukishasema kuwa Mungu yupo,hapo tayari umeshafahamu mambo yake

Huwezi kusema z ipo halafu usijue chochote kuhusu 'z',umejuaje kuwa 'z' ipo?


Mtu anayesema hakuna Mungu hana haja tena ya kujua huyo mungu anakaa wapi,kwa sababu hayupo


Hebu nipe mfano mmoja wa kitu ambacho hakichunguziki?

Does god is really undetectable?

Do you know what rules of Logic say to such undetectable entity?

If he is undetectable,then you've no authority to claim that he exist
Because there is no means to confirm your claim!
Mkuu ulijifunza hukufanya utafiti ukajikuta umelimbuka nadhani JIULIZE JE KILA KITU KIPO KATIKA MPANGILIO NANI AMEFANYA? Hivi unadhani Nafsi inaweza kuonekana kwa macho? Badili mawazo yako fanya utafiti acha kumukalili RAFIKI AU BOSI WAKO JIFUNZE UAMINI ULICHO KIFANYIA UTAFITI NA UKAPATA MAJIBU . KARIBU NAWEZA KUKUSAIDIA NAJUA UTAELEWA
 
Your above thesis is as mad as bag of ferrets

Son,let me show you why we say religious God(s) do not logically exist.

In principle,you can't solve the problem unless you identify it firstly
Can you give me right on the money definition of word God?
Mkuu Fanya utafiti kwanini Kila kitu kipo katika mpangilio sahihi katika ulimwengu huu utapata majibu. Kama hakuna njia ya kufanya utafiti nitafute japo kwa masaa 2 ntakusaidia na utaludi jukwaani kuomba msamaha na utakuwa mmoja waamini wanao mwamini Mungu katika haki na kweli.
 
\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\
kaka sasa hayo majua mengine atakuwa anaishi nani? na jua linapokwisha muda wake na kufa nae mungu hufa au hamia jua lingine?
Mkuu haya ya majua kuisha ni hadithi za Alinacha hivi miaka billion 12 au 20 unaelewa ninini? au ummekalili kama Einstein,KILANGA, Na wenzie.
 
KWENYE BIBLE KUNA WATU WALIKUWA WAKIMWABUDU MUNGU JUA,

NA NI MOJA YA IBADA AMBAYO MUNGU WA MBINGUNI HAIPENDI KWA HAKIKA..

For more information kasome baibo..plz
hauna ushahidi ni maneno ya vijiweni
 
Kwanini usifanye hapahapa i
Mkuu Fanya utafiti kwanini Kila kitu kipo katika mpangilio sahihi katika ulimwengu huu utapata majibu. Kama hakuna njia ya kufanya utafiti nitafute japo kwa masaa 2 ntakusaidia na utaludi jukwaani kuomba msamaha na utakuwa mmoja waamini wanao mwamini Mungu katika haki na kweli.
Kwa nini usifanye hapahapa ili awe anaamini?
 
Nimekuwa nakufuatilia sn. Maswali yako huwa ni magumu mno kwa watu wa upande wa pili,,,,. Atheists. Safi sn kwa matumizi sahihi ya akili

Sent from my TECNO P6 using JamiiForums mobile app
Mkuu wengi wa Atheist hawajui wasemalo Wamejifunza Kwa hisia bila kutumia Utafiti wowote wamekalilishwa na kujikuta wanatumia hisia za MARAFIKI AU MABOSI WAO HAKUNA UTAFITI WOWOTE ULIOFANYIKA. Mungu hayupo kwanini wakati tuna ona kila kitu kipo kwe mpangilio?
 
Mkuu Fanya utafiti kwanini Kila kitu kipo katika mpangilio sahihi katika ulimwengu huu utapata majibu. Kama hakuna njia ya kufanya utafiti nitafute japo kwa masaa 2 ntakusaidia na utaludi jukwaani kuomba msamaha na utakuwa mmoja waamini wanao mwamini Mungu katika haki na kweli.
Mkuu

Kwani kila kitu kilichopangiliwa Lazima kiwe na Mpangaji?

Huyo Mungu anayeishi kwenye Jua hayupo

Sun is not fine tuned for any kind of Life
You are just out of Left field!
 
We nae ni jipu[emoji134] [emoji134] [emoji134]
Mi ni bukheri wa afya sijui wewe?

Princess Jimena huu sio utafiti ni Hallucinatory speculation.

Hata mtu mwenye uelewa mdogo tu cosmology hawezi kuleta upuuzi kama huu.

Wengine wanasema Mungu wao yupo kila mahali
Lakini huyu wa mwenzetu yupo kwenye Jua.Lol!
 
Princess Jimena huu sio utafiti ni Hallucinatory speculation.

Hata mtu mwenye uelewa mdogo tu cosmology hawezi kuleta upuuzi kama huu.

Wengine wanasema Mungu wao yupo kila mahali
Lakini huyu wa mwenzetu yupo kwenye Jua.Lol!
Huyu Mungu wake ni Mungu jua, na ana sifa zote za kibinadamu
 
Princess Jimena huu sio utafiti ni Hallucinatory speculation.

Hata mtu mwenye uelewa mdogo tu cosmology hawezi kuleta upuuzi kama huu.

Wengine wanasema Mungu wao yupo kila mahali
Lakini huyu wa mwenzetu yupo kwenye Jua.Lol!
Nimeukwepa sana huu mjadala kwakuwa niliona uko kimzaha zaidi na kwakweli siamini mpaka kama kweli mleta mada alimaanisha kuwa serious au alitaka tu kufurahisha jukwaa
Ukiangalia hata post hakuimalizia akiahidi kurudi sijui kama alirudi tena
 
Back
Top Bottom