Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Mungu haonekani kwa macho ni Nafsi Tukufu iliyo hai ndiyo maana Musa aliongea na Moto kwa niaba ya Mungu.
Wewe utajuaje kama ni kweli musa aliongea na mungu? Kwasababu wewe haukuwepo labda kwenye biblia walikudanganya ili wakushike ujinga.
 
Kwani zile sanamu zinazochongwa si nyingine zinachongwa kwa mfano wetu?..I mean sura, mikono na umbo zima....sasa mbona wanatumia mbao tu na wamefanikiwa. Au zina nyama na damu pia??

Jifunze haya:
Hakuna sehemu ya biblia inathibitisha kwamba mungu yupo sawa na binadamu katika chochote kile, japo binadamu ni mfano , narudia tena,,.mfano wake...
Tena hakuna sehemu inayozungumzia uumbaji wa mungu pia, mpaka useme na yeye aliumbwa...kama ni hivyo basi na mimi nitakuuliza, sasa nani kamuumba mungu???
Mungu hayupo kama kweli mungu angekuwepo mimi ningemjua automatically toka nazaliwa
Kwasababu mimi toka nizaliwe najua mungu hayupo nilipo fika darasa la nne kuna mtu ndio alikuja kuniambia mungu yupo na akaanza kuniaimulia hadithi zake. Na mpaka leo nasikiaaga ni hadithi tu. Hadithi zenyewe ziliandikwa na wazungu kwa maslahi yao wao.
 
MIMI naamini biblia takatifu,...
Mungu hachunguziki,...
huwa napinga wanaotoa tafiti za kuchallenge uwepo wa Mungu,...
Mungu yupo na Mungu ni roho,..na wamwubuduo halisi na kumtukuza humwabudu katika roho na kweli,..from bible,.
all days shetani halali akitafuta mbinu za kwenda na wanadamu jehanamu,..
na shetani hutumia binaadamu kushawishi binadamu wadhaifu kupata wafuasi,..
na huwa pia anatumia watu tofauti,kwa gharama yoyote,.yaani wasomi,matajili,wasanii na watu wa kila namna
lengo kubwa ni kutafuta watu atakaokwenda nao jehanamu,..tena anataka wengiiii.,.
tuwe makini binadamu jiokoe na nafsi yakoo,..huu wakati ni wahatari
shetani halaliiiii,..
MUNGU NI ROHO,..
1KORINTHO 2:11,..
mambo ya Mungu hakuna afahamuye ila roho wa wa MUNGU,.
ambaye pia yupo ndani yetu,..tuliokoka
Mkuu Muumba, Mungu yupo ila napingana na wewe kusema hakuna afahamuye mambo ya Mungu wakati yeye amejidhihirisha kwetu kama roho ni UELEWA MDOGO WA KIBINADAMU KUTAKA KILA KITU TUGUSE NDIO TUAMINI., Kama aliongea na Musa kwa njia ya moto kwanini asiwe yeye Mungu si Kitu cha kushikika kama Akili za BINADAMU ZINAVYOFIKILI MUNGU NI ROHO TUKUFU TAKATIFU HAISHIKIKI NDIO MAANA ALIONEKANA KWA NJIA YA MOTO.
 
Wewe utajuaje kama ni kweli musa aliongea na mungu? Kwasababu wewe haukuwepo labda kwenye biblia walikudanganya ili wakushike ujinga.
Mkuu ukiangalia mpangilio wa Ulimwengu wetu ukatumia akili hata ya kuzaliwa si mpaka uende shule utaamini uwepo wa Mungu nani aliye pangilia haya yote yakawa ktk utaratibu.?
Kwahiyo kama uzima wa huyo mungu upo kwenye nyota za juu, siku hizo nyota zikifa na yeye ndio chali
emoji1.png
emoji1.png
emoji1.png
emoji1.png
emoji1.png
Mimi nimesema Hakuna Mungu

Sasa wewe ndiye unayepaswa kunikosoa mimi,kwa kuleta Ushaidi unaothibitisha Uwepo wa Mungu.

Kitu ambacho mimi nitafanya ni kuonyesha contradiction zinazomuhusu huyo Mungu.

Mkuu,wewe ni muumini wa dini gani,tuanzie hapo?
Mungu yupo Je umewahi kujiuliza kwanini Ulimwengu upo kwe mpangilio sahihi? Nani amepangilia vizuri bila kuwa na Madhara kwa viumbe wadogo kama mimi na wewe? Matunda ya mwembe yakiwa katika mti wake yanadondoka na kugongana Magari yanagongana ? Kwanini Sayari zinazunguka bila athari kwa zingine ?
 
Mungu hayupo kama kweli mungu angekuwepo mimi ningemjua automatically toka nazaliwa
Kwasababu mimi toka nizaliwe najua mungu hayupo nilipo fika darasa la nne kuna mtu ndio alikuja kuniambia mungu yupo na akaanza kuniaimulia hadithi zake. Na mpaka leo nasikiaaga ni hadithi tu. Hadithi zenyewe ziliandikwa na wazungu kwa maslahi yao wao.
Mkuu Mungu si kiumbe kama fikila zako zinavyo kutuma Mungu ni Roho Takatifu (Tukufu) Usitegemee utamuona kama mlima au Tembo VIPI ULIWAHI KUONA UCHAWI AU MAJINI? Je unaamini Majini na Uchawi?
 
Hivi kwanini watu wanaamini mungu japo wewe unaona kuna utata? Yani katika mambo yanayofanya hadi watu waamini mungu je,wewe unayo majibu ambayo yatatoa ufafanuzi kwa hayo mambo yenye kuwafanya watu hadi waamini mungu ili huu utata usiwepo?


Kwa sababu kuuliza aina ya maswali hayo unayouliza haijawahi kusaidia kuonesha hakuna mungu.
Nimekuwa nakufuatilia sn. Maswali yako huwa ni magumu mno kwa watu wa upande wa pili,,,,. Atheists. Safi sn kwa matumizi sahihi ya akili

Sent from my TECNO P6 using JamiiForums mobile app
 
nataka kujua kama kuna mungu kama yupo nataka kujua yupi ni wakweli maana hapa duniani kuna miungu wengi mno na kila mtu anakwambia kwamba mungu wake ndo wakweli.
Uko tayari kumjua Mungu wa kweli na mmoja kupitia vitabu vyake vinne? Taurat, Zaburi, Injili ya kweli na Qur'an?

Sent from my TECNO P6 using JamiiForums mobile app
 
Akijisibitisha dhahili naweza kuamini kuwa yupo.
Anajithibitisha kupitia Taurat, Zaburi, Injili ya kweli na Qur'an. Upo tayari ajithibitishe kupitia vitabu vyake hivi vitukufu?

Sent from my TECNO P6 using JamiiForums mobile app
 
Anajithibitisha kupitia Taurat, Zaburi, Injili ya kweli na Qur'an. Upo tayari ajithibitishe kupitia vitabu vyake hivi vitukufu?

Sent from my TECNO P6 using JamiiForums mobile app
Injili ya kwelii ndo ipi hiyoo...
 
Kuanzia 1999 mpaka sasa zaidi ya miaka 16 nimekuwa nikifanya utafiti wapi yalipo makazi ya Mwenyezi Mungu Kisayansi na Kutumia Vitabu vitakatifu hasahasa Biblia Takatifu nimepata majibu pasina shaka kila mumoja wetu atakubaliana nayo.
Utafiti huu haulengi kumchafua mtu mtu yeyote kwa imani yake naomba atakayeshindwa kuelewa asiwe na jaziba maana ni utafiti wangu binafsi.
KISAYANSI; Mpangilio na Usanifu wa muundo wa Ulimwengu wetu ni mpangilio uliofanywa kwa usahihi ndio maana kila kitu kipo katika sehemu yake bila kuathiri kingine kwa mfano; Dunia na Sayari zote katika mfumo wa Jua letu zinalizunguka Jua kwa kasi lakini haziwezi kugongana Na katika Anga yetu kuna Nyota mamilioni na pia Kuna Majua Mengine yametengeneza mifumo mifumo ya Sayari kama tuliyo nayo katika Jua letu, Vitu hivi vinaonekana kwa mbali na haviwezi kufikika kwa urahisi kwa akili za Kibinadamu.
Nina hakika Mwenyezi Mungu anaishi katika mojawapo ya Nyota za Jua kwa kuwa hakuwezi kufikika kwakua kuna joto {moto} kali sana hakuna chochote kinaweza kukaribia hata kwa kilometa milioni moja.
Nina dharula nitaendelea Baadae..............................
Katika Jua ndimo kulimo uhai Jua ndicho kitu ambacho hakiwezi kusogelewa wala kuchunguzwa na kitu chochote hata kama utatumia kiona mbali utaishia kuvaa miwani ya kuzuia mwanga ili macho yako yasipofuke kwa miale mikali ya Mwanga wa jua.
Hata Uhai wa viumbe wote hai hutegemea Jua ndiyo maana katika Bara Antaktika uwezekano wa viumbe hai kuishi ni mdogo kwa sababu hupata kiasi kidogo cha jua katika msimu wa mzunguko wa Dunia Ni aina Flani ya Bakteria huweza kuishi katika eneo hilo na Samaki wanaositahimili baridi kari INAYOPELEKEA MAJI KUGANDA NA KUWA BARAFU, NA ENEO LOTE LA BARA ANTAKTIKA NI BARAFU NA MVUA INAYONYESHA NI KWA MARA MOJA KATIKA msimu wa Mwaka.
Jua haliwezi kukalibiwa na kitu chochote kwa maana hiyo Jua linatunza Nafsi Takatifu iliyo hai hakuna chochote chenye mwili au Kitu kinacho weza kusogelea jua kikawa salama kitaungua na kunasa katika Jua.
JUA ndio kitu Kitukufu ambacho mwanadamu kwa uelewa wake hawezi kufikia wala kujaribu kufanyia utafiti.
Katika utafiti wangu nimejifunza kwa kuwa Jua ndilo lina Uhai kwa Viumbe basi kuna uwezekana mkubwa wa 94.6% Muumba anaishi katika Jua Sehemu Tukufu isiyoweza kusogelewa na uchafu wa aina yoyote ya mwanadam.


BIBLIA TAKATIFU (UTAFITI)
Katika vitabu Agano la kale Mwenyezi Mungu anatolewa Sadaka za kuteketezwa, Wanafukiza ubani katika sehemu walizojenga Nyumba za Ibada kwaajiri ya MWENYEZI MUNGU.
Kwanini aunguziwe vitu apokee sadaka kwa moshi?
Kwanini asipewe ng'ombe au Kondoo mzima mpaka achomwe aunguzwe? Ni kwasababu Nafsi ya Mungu inaishi katika moto na Inapokea katika moto.
Kwanini makanisa Mengi yanachoma Ubani katika Nyumba zao za Ibada, Kwanini wasitengeneze Marashi yenye harufu ya Ubani?
Wanachoma kwa kuwa mlengwa Mtukufu anapokea Vitukufu katika moto mjue ya kuwa kila kitu kikichomwa kinatoka katika hali hali nzuri au mbaya hata Dhahabu ili Ing'ae ni lazima ichomwe katika moto.
Kutoka 19: 16-20
Inaelezea jinsi musa anapewa Amri 10 na Mungu na Mwenyezi Mungu anamwambia Musa watu wajitakase kabla ya kukalibia mlima na Mawinguni Kunatokea Radi, Ngurumo na Umeme na Mungu anashuka katika moto na kumpa amri Musa Mlima Sinai unatetemeka kwa utisho Unafuka moshi mkali kama moshi wa tanuu unafunika Mlima wote.
Kwanini Mungu atokee katika moto?
Nikwasababu anataka watu wajue Nafsi Tukufu ya Mungu inaishi katika Moto ANAKUJA KWA STAILI YA MAISHA YAKE KWA MAZINGIRA ANAYO ISHI LAKINI WANADAMU WANASHINDWA KULIJUA HILO.
KAMA MUNGU ANALETA AMRI 10 KWA STAILI YA MOTO BASI YEYE ANAISHI KATIKA MOTO KWA HIYO UTUKUFU WA MUNGU HATUWEZI KUUFIKIA BILA MWILI KUFA IKABAKI NAFSI.
Kwa hiyo KIFO NI FAIDA NA NDIO STAREHE YA PEKEE ALIYOTUZAWADIA MWENYEZI MUNGU KWA KUWA TUTAISHI KATIKA UTUKUFU KAMA NAFSI ILIYO KARIBU NA MUNGU BILA KUFA WEWE NI MTUMWA WA DUNIA.
Uwe TAJIRI, uwe MASIKINI wewe ni MTUMWA wa DUNIA hakuna RAHA UTAKULA KWA JASHO, UTALALA KWA KUJIGEUZA GEUZA USIUMIZE UPANDE MMOJA WA MWILI,
Duniani hapa tupo kwa ajili ya kuandaa Maisha ya Utukufu wa milele kama nafsi Katika Jua.
Utafiti wangu unaendelea kadiri Mungu atakavyonijalia ntawaletea ninayoendelea kujifunza Pia ninajitahidi kutafuta njia ya Kitaalamu ya kuweka Video katika kiona mbali ili niweze kuwashirikisha kwa yale ambayo mimi naendelea kuyavumbua kwa kutumia kiona mbali Ninazunguka sehemu mbali mbali kujifunza jinsi Dunia yetu ilivyo na ni kazi ngumu ila ninapata michango ya mawazo kwa watu wengi sana ambao ninawashirikisha sehemu mbalimbali za Dunia.
KARIBUNI KWA MAONI NA USHAURI

Kama kweli mungu anaishi kwenye jua kabla hajaumba hilo jua alikua anaishi wapi?
Na Kama kweli yeye aliviumba vitu vyote vinavyo onekana na visiivyo onekana kwanini hivyo vitu vyake alivyo mwenyewe amevikimbia na kwenda kuishi kwenye jua kali sana.
 
Kama kweli mungu anaishi kwenye jua kabla hajaumba hilo jua alikua anaishi wapi?
Na Kama kweli yeye aliviumba vitu vyote vinavyo onekana na visiivyo onekana kwanini hivyo vitu vyake alivyo viumba mwenyewe amevikimbia na kwenda kuishi kwenye jua kali sana.
 
Mkuu Muumba, Mungu yupo ila napingana na wewe kusema hakuna afahamuye mambo ya Mungu wakati yeye amejidhihirisha kwetu kama roho ni UELEWA MDOGO WA KIBINADAMU KUTAKA KILA KITU TUGUSE NDIO TUAMINI., Kama aliongea na Musa kwa njia ya moto kwanini asiwe yeye Mungu si Kitu cha kushikika kama Akili za BINADAMU ZINAVYOFIKILI MUNGU NI ROHO TUKUFU TAKATIFU HAISHIKIKI NDIO MAANA ALIONEKANA KWA NJIA YA MOTO.
nikisema hakuna afahamuye mambo ya Mungu,...
namaanisha kwamba hawa jamaa wanaopingauwepo wa MUNGU wanataka kuchunguza Mungu anapoishi,.
na kwanini alituumba then atuhukumu,...
kwahiyo hapo kuna vitu vya Mungu HAVICHUNGUZIKI MKUU,..thats all what i mean,
SIO KWAMBA matendo yake anayotutendea ndo niseme hivyo,,.
no naamini Mungu hufanya mambo baadhi wanadamu tuzidi kuamini uwepo wake,..
na hufanya mambo ambayo kwa akili za kiinadamu huwa vmakubwa,,,,,,,,,,,
got me?????
 
vCTRMA said:
nikisema hakuna afahamuye mambo ya Mungu,...
Kama hakuna anayefahamu mambo ya Mungu,wewe umejuaje kama huyo Mungu yupo?

Ukishasema kuwa Mungu yupo,hapo tayari umeshafahamu mambo yake

Huwezi kusema z ipo halafu usijue chochote kuhusu 'z',umejuaje kuwa 'z' ipo?
namaanisha kwamba hawa jamaa wanaopingauwepo wa MUNGU wanataka kuchunguza Mungu anapoishi

Mtu anayesema hakuna Mungu hana haja tena ya kujua huyo mungu anakaa wapi,kwa sababu hayupo
kwahiyo hapo kuna vitu vya Mungu HAVICHUNGUZIKI MKUU,..thats all what i mean,

Hebu nipe mfano mmoja wa kitu ambacho hakichunguziki?

Does god is really undetectable?

Do you know what rules of Logic say to such undetectable entity?

If he is undetectable,then you've no authority to claim that he exist
Because there is no means to confirm your claim!
 
Injili ya kwelii ndo ipi hiyoo...
Majibu yangu kwa mrengo uutakao,,, yatabadili kabisa maudhui ya huu uzi...
Injili ya kweli ni ile iliyokuwepo kabla ya "Mtume" Paul hajaichakachua... Nalenga agano la kale la Biblia
 
Anajithibitisha kupitia Taurat, Zaburi, Injili ya kweli na Qur'an. Upo tayari ajithibitishe kupitia vitabu vyake hivi vitukufu?

Sent from my TECNO P6 using JamiiForums mobile app
Sasa hivyo vitabu vinamthibitishaje Mungu zaidi ya kutuletea hadithi za kusadikika tu
 
Sasa hivyo vitabu vinamthibitishaje Mungu zaidi ya kutuletea hadithi za kusadikika tu
Ms Jimena,,,, tenga muda wa kujifunza kupitia vitabu hivi, kuna faida utapata
 
Kama faida gani kwa mfano?
Utapata muda wa kutambua uwepo wa Mungu na pengine ukafa ukiwa na mwisho mwema kiimani juu ya Mungu wa kweli

Sent from my TECNO P6 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ukiangalia mpangilio wa Ulimwengu wetu ukatumia akili hata ya kuzaliwa si mpaka uende shule utaamini uwepo wa Mungu nani aliye pangilia haya yote yakawa ktk utaratibu.?


Mungu yupo Je umewahi kujiuliza kwanini Ulimwengu upo kwe mpangilio sahihi? Nani amepangilia vizuri bila kuwa na Madhara kwa viumbe wadogo kama mimi na wewe? Matunda ya mwembe yakiwa katika mti wake yanadondoka na kugongana Magari yanagongana ? Kwanini Sayari zinazunguka bila athari kwa zingine ?
Wewe unaposema mungu yupo kwa sababu ulimwengu upo kwenye mpangilio, nashindwa kukuelewa unapojipinga mwenyewe kwa kusema mungu hana nwanzo wala mwisho ilihali yeye pia yupo kwenye mpangilio.

Je? Mimi nikikwambia ulimwengu pia hauna nwanzo wala mwisho utakubali?
 
Back
Top Bottom