Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Mkuu mimi nipo tofauti na wengine maana sitafuti Waumini wala wafuasi ni utafiti sitafuti umaarufu nataka mjue Mungu yupo wapi na kwanini duniani Mungu hawezi kuja tena wala kutuma mitume wake.
Ndugu yangu endelea na utafiti wako. Umejitahidi sana usikatishwe tamaa. Mifano uliyotoa ya jinsi Mungu anahusishwa na moto katika matendo yake haihitaji wala sayansi kubwa sana. Ni busara tu.
 
HUWEZ MPANGIA MUNGU.KWANI WEWE ULIMUOMBA AKUUMBE AU YEYE MWENYWE ALIAMUA AKUUMBE.KABLA YA WWW KUZALIWA UNAJUA ULIKUWA WAPI?HUO NI UWEZA WAKE.YEYE NI ALPHA NA OMEGA
nambie maana ya hivi vitu roho ni nini..? nafsi ni nini..? na kazi ya roho na nafsi
 
Biblia inasema hivi
Mungu alimuumba binadamu kwa mfano wake inamaana mungu naye ni binadamu
Kama sisi
Swali linakuja je huyo binadamu aliye uumba huu ylimwengu alivipata wapi vitu vya kuumbia huu Ulimwengu wote na wakati huo inaonyesha nayeye aliumbwa?

Kwani zile sanamu zinazochongwa si nyingine zinachongwa kwa mfano wetu?..I mean sura, mikono na umbo zima....sasa mbona wanatumia mbao tu na wamefanikiwa. Au zina nyama na damu pia??

Jifunze haya:
Hakuna sehemu ya biblia inathibitisha kwamba mungu yupo sawa na binadamu katika chochote kile, japo binadamu ni mfano , narudia tena,,.mfano wake...
Tena hakuna sehemu inayozungumzia uumbaji wa mungu pia, mpaka useme na yeye aliumbwa...kama ni hivyo basi na mimi nitakuuliza, sasa nani kamuumba mungu???
 
H

Hakuna aliye mleta, Mungu ni nafsi tukufu iliyo hai Ipo na ilikuwepo na itaaendelea kuwepo milele na milele Nafsi HAIFI wala yeye Ni mwanzo na mwisho
Basi hata haya tuyaonayo hakuna aliyeyaleta. Vipo, vilikuwepo na vitaendelea kuwepo.

Umenijibu kwa majibu mepesi mepesi na mimi nikakujibu kiuwepesi wepesi
 
ndo mana nikakwambia hauwez kumjua mungu kwa kutumia akili zako.na hapo ndo nikauita utafiti wake uchwara.akasome kitabu cha dini yake atajua kumuhusu mungu.sio kutumia akili zake anatudanganya
Kama hakuna anaemjua mungu kwa kutumia akili yake, ninyi mmemjuaje sasa wakati kila mtu anatumia akili yake?
Hakuna anaetumia akili ya simba, konokono, chura, mbwa, fisi nk
 
Mkuu hii sio dini ni tafiti ya kisayansi vilevile imeshilikisha vitabu vya dini soma vizuri Je musa hakuongea na Mungu na Mungu akiwa katika hali ya moto. Musa anakuta kichaka kinawaka bila kuteketea anakisogelea na kuambiwa HAPA NI MAHALI PATAKATIFU VUA VIATU , JE kwa akili yako moto ni takatifu? Mkuu huyo mungu ni moto na anaishi katika moto MOJAWAPO YA NYOTA ZA JUA NDIMO ULIMO UZIMA WA MUUMBA WETU.
Kwahiyo kama uzima wa huyo mungu upo kwenye nyota za juu, siku hizo nyota zikifa na yeye ndio chali [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mimi sina dini na wala sio mpagani ninamashaka sana na hizi dini na ninaona ni kama utumwa
Na ninaamini walioleta hizi dini ndio wapagani na tena wanadhambi kubwa sana
Kwasababu leo hii watu wanauana na kubaguana kwaajili ya hizi dini kabla hizi dini hazijaja watu walikua wanaishi vizuri kwa upendo.

Mkuu hivi unataka kusema hata hizi vita kuu mbili za dunia ni kutokana na uwepo wa hizi dini? Na huu ubaguzi wa rangi uliyopo pia ni kutokana na hizi dini?

Tatizo la watu ni kwamba wanapogundua utata kwenye imani zao basi wao huzidi kutafuta hizo kasoro na kuacha kabisa kuutafuta ukweli. Na hivyo ndivyo watu wanapojikuta wameangukia kuwa atheists na wengineyo.
 
ulishawahi kumuona..?
hapa duniani kuna mungu wengi yupi mungu wa kweli..?
kwa mujibu wa maelezo yako binadamu tumeumbwa na mungu na mungu kaumbwa na nani..?
kama alijiumba mwenyewe alianzaje ktk sehemu isiyokuwa na kitu(tupu)..?

Hivi kwanini watu wanaamini mungu japo wewe unaona kuna utata? Yani katika mambo yanayofanya hadi watu waamini mungu je,wewe unayo majibu ambayo yatatoa ufafanuzi kwa hayo mambo yenye kuwafanya watu hadi waamini mungu ili huu utata usiwepo?


Kwa sababu kuuliza aina ya maswali hayo unayouliza haijawahi kusaidia kuonesha hakuna mungu.
 
ulishawahi kumuona..?
hapa duniani kuna mungu wengi yupi mungu wa kweli..?
kwa mujibu wa maelezo yako binadamu tumeumbwa na mungu na mungu kaumbwa na nani..?
kama alijiumba mwenyewe alianzaje ktk sehemu isiyokuwa na kitu(tupu)..?

Hivi kwanini watu wanaamini mungu japo wewe unaona kuna utata? Yani katika mambo yanayofanya hadi watu waamini mungu je,wewe unayo majibu ambayo yatatoa ufafanuzi kwa hayo mambo yenye kuwafanya watu hadi waamini mungu ili huu utata usiwepo?


Kwa sababu kuuliza aina ya maswali hayo unayouliza haijawahi kusaidia kuonesha hakuna mungu.
 
MIMI naamini biblia takatifu,...
Mungu hachunguziki,...
huwa napinga wanaotoa tafiti za kuchallenge uwepo wa Mungu,...
Mungu yupo na Mungu ni roho,..na wamwubuduo halisi na kumtukuza humwabudu katika roho na kweli,..from bible,.
all days shetani halali akitafuta mbinu za kwenda na wanadamu jehanamu,..
na shetani hutumia binaadamu kushawishi binadamu wadhaifu kupata wafuasi,..
na huwa pia anatumia watu tofauti,kwa gharama yoyote,.yaani wasomi,matajili,wasanii na watu wa kila namna
lengo kubwa ni kutafuta watu atakaokwenda nao jehanamu,..tena anataka wengiiii.,.
tuwe makini binadamu jiokoe na nafsi yakoo,..huu wakati ni wahatari
shetani halaliiiii,..
MUNGU NI ROHO,..
1KORINTHO 2:11,..
mambo ya Mungu hakuna afahamuye ila roho wa wa MUNGU,.
ambaye pia yupo ndani yetu,..tuliokoka
 
MUNGU ni UFAHAMU, UFAHAMU ni energy, Hakuna kitu kingekuwepo bila ufahamu, sisi binadamu ni sehemu ya huu UFAHAMU. Yaani
mfano MUNGU ni bahari halafu nafsi ya binadamu ni tone katika hiyo bahari. Sisi ni sehemu ya uungu sema tupo tu kwenye hii miili kukamilisha kanuni fulani za asili za mzunguko katika ulimwengu huu zilizowekwa na UFAHAMU Mkuu. mtoa mada na wachangiaji wote ni kama matone ktk bahari halafu tunajaribu kujaji bahari tunasahau kua we are party of it. Hahahah.
UFAHAMU /energy ambayo inaitwa kwa majina mengi likiwemo jina la mungu ipo kila mahali kusema ipo mbinguni ni kama upotoshaji tu! UFAHAMU mkuu(MUNGU) upo kila mahali. Ofcoz yupo pia Hapa JF anafuatilia mjadala.
 
Hivi kwanini watu wanaamini mungu japo wewe unaona kuna utata? Yani katika mambo yanayofanya hadi watu waamini mungu je,wewe unayo majibu ambayo yatatoa ufafanuzi kwa hayo mambo yenye kuwafanya watu hadi waamini mungu ili huu utata usiwepo?


Kwa sababu kuuliza aina ya maswali hayo unayouliza haijawahi kusaidia kuonesha hakuna mungu.
binadamu ni kiumbe mwenye ufahamu kupitia ufahamu huo tukiangalia mazingira tunayoishi tunaona vitu tofauti mf;wanyama,mimea,jua,mwezi n.k
kwahiyo vitu hivyo vinatufanya tuwe na maswali ya kujiuliza je ni nani aliyevifanya hivi vitu..?
je ni nani kaniumba..?

sasa kwa maswali kama haya mtu huanza kuhisi/kuzani kwamba kuna kiumbe ambacho kimetengeneza/kuumba hivyo vitu kiumbe huyo ndo huitwa mungu.
utata wangu ulipo ni juu ya hili swala je huyo mungu yeye katokea wapi..?
kwanini tunawaza hivi vitu tunavyoviona vimetengenezwa/kuumbwa na kiumbe fulani..?
Binafsi haiotoshi kwa kujiangalia nilivyo alaf ndo niseme kuna mungu
 
binadamu ni kiumbe mwenye ufahamu kupitia ufahamu huo tukiangalia mazingira tunayoishi tunaona vitu tofauti mf;wanyama,mimea,jua,mwezi n.k
kwahiyo vitu hivyo vinatufanya tuwe na maswali ya kujiuliza je ni nani aliyevifanya hivi vitu..?
je ni nani kaniumba..?

sasa kwa maswali kama haya mtu huanza kuhisi/kuzani kwamba kuna kiumbe ambacho kimetengeneza/kuumba hivyo vitu kiumbe huyo ndo huitwa mungu.
utata wangu ulipo ni juu ya hili swala je huyo mungu yeye katokea wapi..?
kwanini tunawaza hivi vitu tunavyoviona vimetengenezwa/kuumbwa na kiumbe fulani..?
Binafsi haiotoshi kwa kujiangalia nilivyo alaf ndo niseme kuna mungu


Sasa wewe majibu yako ni yapi kwa hayo maswali?
 
Back
Top Bottom