thesym
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 3,843
- 4,796
M
mbingu ya kwanza IPO sehemu gani?ndo maana nakwambia utafiti wako uchwara.mbingu zipo saba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbingu ya kwanza IPO sehemu gani?ndo maana nakwambia utafiti wako uchwara.mbingu zipo saba
ww ni dini gani?M
mbingu ya kwanza IPO sehemu gani?
Naitaji kuelimishwa kuna chapisho LA mwanasayansi mmoja anaitwa Raleigh na model yake ya Raleigh scattering kwamba rangi ya blue kwenye anga inasababishwa na reflection ya miale mifupi ya mwanga wa jua kwa sababu mwanzoni sikuwa na hili wazo halafu wanadai kwamba space ni infinity. Sasa hapa ndo nilipoona unazungumzia mbingu nikajua utakuwa na ufahamu kuhusu hill swala.ww ni dini gani?
Hata huyo mungu mwenyewe ni utata tu maana haonekani wala kumuhisi amekuwa wa kufikirika tu,Mara anakaa mbinguni mara anakaa kwenye jua...!!Mkuu hayo ni mawazo yako ya kidini lakini ukweli ndio huu Ukiangalia mfumo wa ulimwengu wetu kuna mambo mengi ambayo ni tata lakini utata unaisha hapa Mungu siku zote alionekana kwaa njia ya moto ina maana anaishi katika moto na moto upo katika nyota za JUA au MAJUA.
Mungu haonekani kwa macho ni Nafsi Tukufu iliyo hai ndiyo maana Musa aliongea na Moto kwa niaba ya Mungu.Hata huyo mungu mwenyewe ni utata tu maana haonekani wala kumuhisi amekuwa wa kufikirika tu,Mara anakaa mbinguni mara anakaa kwenye jua...!!
hata mwanzo wake haujulikani.. tuamini kipi sasa..?
Mkuu kama anakaa kila sehemu kwa nini Musa alipo kalibia kichaka kinachowaka moto aliambiwa Avue Viatu Mungu ni Utukufu usioweza kukalibiwa na kitu kichafu kama binadamu? Ndiyo maana nasisitiza mungu yupo katika Jua ambapo hapawezi kukalibiwa na chochote.Mungu yupo kila mahali hana mahali pekee imani gani uliyonayo kwa. Mungu
hakuna anayejua mbingu ni nini.si bati si turubai.mungu mwenyewe ndo anajua kiukweli hakuna aliyewah kujfikia hyo mbingu ya kwanza.hakuna .na hata kuwepo.na hzo mbingu zipo saba.mbingu ya kwanza kuna nafasi hvyo hyo mpaka mbingu ya saba.juu kabisa huko ndo anapokaa mwenyez munguNaitaji kuelimishwa kuna chapisho LA mwanasayansi mmoja anaitwa Raleigh na model yake ya Raleigh scattering kwamba rangi ya blue kwenye anga inasababishwa na reflection ya miale mifupi ya mwanga wa jua kwa sababu mwanzoni sikuwa na hili wazo halafu wanadai kwamba space ni infinity. Sasa hapa ndo nilipoona unazungumzia mbingu nikajua utakuwa na ufahamu kuhusu hill swala.
Itabidi niamini hivhivi.thanks in advancehakuna anayejua mbingu ni nini.si bati si turubai.mungu mwenyewe ndo anajua kiukweli hakuna aliyewah kujfikia hyo mbingu ya kwanza.hakuna .na hata kuwepo.na hzo mbingu zipo saba.mbingu ya kwanza kuna nafasi hvyo hyo mpaka mbingu ya saba.juu kabisa huko ndo anapokaa mwenyez mungu
kijana mungu yupo acha ubishi.jiangalie ww umetokana na nini.na nani aliyefanya kazi ya kukujenga tumbon mwa mama yako?haya tunayoyaona hayajatokea tu kibahati bahatiHata huyo mungu mwenyewe ni utata tu maana haonekani wala kumuhisi amekuwa wa kufikirika tu,Mara anakaa mbinguni mara anakaa kwenye jua...!!
hata mwanzo wake haujulikani.. tuamini kipi sasa..?
unadhani hvyo vitu.vitakuwa vimejengwa kwenye nyota?Ndiyo naamini
ebu pitia quran utapata elimu kubwa sana.ushabiki wa udini weka pembeni.ingia playstore download quran kiswahiliItabidi niamini hivhivi.thanks in advance
ulishawahi kumuona..?kijana mungu yupo acha ubishi.jiangalie ww umetokana na nini.na nani aliyefanya kazi ya kukujenga tumbon mwa mama yako?haya tunayoyaona hayajatokea tu kibahati bahati
weww unafikir hii dunia na vyote vilivyo. vimejitengeneza vyenyewe?ulishawahi kumuona..?
hapa duniani kuna mungu wengi yupi mungu wa kweli..?
kwa mujibu wa maelezo yako binadamu tumeumbwa na mungu na mungu kaumbwa na nani..?
kama alijiumba mwenyewe alianzaje ktk sehemu isiyokuwa na kitu(tupu)..?
ungenijibu hayo maswali kwanza huenda ningepata mwangaza ya kwamba kuna munguweww unafikir hii dunia na vyote vilivyo. vimejitengeneza vyenyewe?