KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Asipokuwepo kwani itakuwaje..?Sababu Alikuwepo ni lazima AWEPO NDIYO SABABU YA YEYE KUWEPO.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asipokuwepo kwani itakuwaje..?Sababu Alikuwepo ni lazima AWEPO NDIYO SABABU YA YEYE KUWEPO.
hakuna utafiti wowote wa kujua mungu anapoishi ila kwenye vitabu vyake.zaburi.taurati.injili na quran.hauwez kutumia akili zako ukafanikiwa.mzungu mwenyewe ameshindwa kujua ataweza yeye?think bigHahah hizi imani hizi sasa mwenzio kaja na nadharia na wewe umekuja na nadharia ,hakuna kati ya haya yameshathibitishwa au kushuhudiwa na mwanadamu yeyote ,credibility ya kuita utafiti wake uchwara unaupata wapi ??
Sijui kama umenielewa ,na sijui ni wapi nimesema tafiti za hao wawili hapo juu kwamba ni sahihi au sio sahihi ,nisome tena utanielewa ,aliye kuletea hiyo quran ni mwarabu na aliyewaletea biblia ni mzungu ,sasa sijui unataka kuniaminisha ninihakuna utafiti wowote wa kujua mungu anapoishi ila kwenye vitabu vyake.zaburi.taurati.injili na quran.hauwez kutumia akili zako ukafanikiwa.mzungu mwenyewe ameshindwa kujua ataweza yeye?think big
ndo mana nikakwambia hauwez kumjua mungu kwa kutumia akili zako.na hapo ndo nikauita utafiti wake uchwara.akasome kitabu cha dini yake atajua kumuhusu mungu.sio kutumia akili zake anatudanganyaSijui kama umenielewa ,na sijui ni wapi nimesema tafiti za hao wawili hapo juu kwamba ni sahihi au sio sahihi ,nisome tena utanielewa ,aliye kuletea hiyo quran ni mwarabu na aliyewaletea biblia ni mzungu ,sasa sijui unataka kuniaminisha nini
Fikiria kidogo tu
ndo mana nikakwambia hauwez kumjua mungu kwa kutumia akili zako.na hapo ndo nikauita utafiti wake uchwara.akasome kitabu cha dini yake atajua kumuhusu mungu.sio kutumia akili zake anatudanganya
Mkuu utafiti wangu unaendelea kama ntakuwa Hai naamini nitapata hitimisho ya haya kabla ya kufika 2033Mmmmh?... ndugu impongo ninashukuru sana kwa utafiti wako wa miaka 16+
najua kwa upande wako haikuwa kazi rahisi mpaka kufikia hapo, ila naomba kama utaweza ujaribu tena kutumia dakika 16+ kutathimini utafiti wako huu.
Mkuu hii sio dini ni tafiti ya kisayansi vilevile imeshilikisha vitabu vya dini soma vizuri Je musa hakuongea na Mungu na Mungu akiwa katika hali ya moto. Musa anakuta kichaka kinawaka bila kuteketea anakisogelea na kuambiwa HAPA NI MAHALI PATAKATIFU VUA VIATU , JE kwa akili yako moto ni takatifu? Mkuu huyo mungu ni moto na anaishi katika moto MOJAWAPO YA NYOTA ZA JUA NDIMO ULIMO UZIMA WA MUUMBA WETU.
Sasa we huoni vibaya miaka yote hiyo uliyopoteza kwa utafiti usio na kichwa wala miguu?
Mkuu sina maana kila nyota ina waka moto kama Jua ndio maana nimesema NYOTA ya jua kwa sabababu nyota ya JJua ndio inayo ungua muda wote[/QUOTEunajua mbingu ziko ngapi?
unajua mbingu ziko ngapi?Mkuu sina maana kila nyota ina waka moto kama Jua ndio maana nimesema NYOTA ya jua kwa sabababu nyota ya JJua ndio inayo ungua muda wote
ndo maana nakwambia utafiti wako uchwara.mbingu zipo sabaSijui naomba uniambie ziko ngapi maana mimi naona moja
Mkuu samahani kwani mbingu IPO samahani gani?Sijui naomba uniambie ziko ngapi maana mimi naona moja