Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Th

Thibitisha.

Mimi nimesema Hakuna Mungu

Sasa wewe ndiye unayepaswa kunikosoa mimi,kwa kuleta Ushaidi unaothibitisha Uwepo wa Mungu.

Kitu ambacho mimi nitafanya ni kuonyesha contradiction zinazomuhusu huyo Mungu.

Mkuu,wewe ni muumini wa dini gani,tuanzie hapo?
 
Acheni mchecheto vijana.
Muda ukifika mtajua kama yupo au lah.
Vuteni subra kidogo tu waungwana.
 
HAKUNA MUNGU?NGOJA NIKUPE ZOEZ MOJA.FUNGA MDOMO NA PUA KWA DAKIKA 1 YAAN USIPUMUE.UKIWEZA KWELI MUNGU HAYUPO.
hakuna anayejua mungu ametoka wap.hyo ni siri yake yeye.wewe hauwez kujua.tangu adam mpaka kiumbe cha mwisho hakuna anayejua.ila hyo sio sabab ya kusema mungu hayupo.maana alama za uwepo wake zipo.
mungu aliumbwa na nani..?
kama hakuumbwa alijiumbaje au alianzaje mahali pasi na kitu/tupu..?
kwanini yupo..?
jibu hayo kwanza
 
kuna kitu kizuri sana unachokieleza.hope adi mwisho utakuja na conlusion.nzuri.
 
HAKUNA MUNGU?NGOJA NIKUPE ZOEZ MOJA.FUNGA MDOMO NA PUA KWA DAKIKA 1 YAAN USIPUMUE.UKIWEZA KWELI MUNGU HAYUPO.

Mkuu,moja kati ya JF's members wenye ID's zinazoendana na contents zao ni wewe
Hongera kwa hilo.

Nimefanikiwa kwenye zoezi lako.
Mwanadamu hafi kwa kukosa pumzi ndani ya Dakika moja

Zoezi lako linahitaji Modification kama siyo Abandonment!
Maana halina mahusiano hata na kile unachotaka kuthibitisha.

Unaweza kunipa tafsiri ya neno Mungu?
 
mungu aliumbwa na nani..?
kama hakuumbwa alijiumbaje au alianzaje mahali pasi na kitu/tupu..?
kwanini yupo..?
jibu hayo kwanza

Kabla ya kuwa hivyo ulivyo sasa je,uliwahi kuwa muumini wa dini? Na kama haukuwa muumini wa dini yeyote je,ulishawahi kwenda kutafuta majibu ya maswali yako kwenye vitabu vyenye kueleza mambo ya mungu?
 
mungu aliumbwa na nani..?
kama hakuumbwa alijiumbaje au alianzaje mahali pasi na kitu/tupu..?
kwanini yupo..?
jibu hayo kwanza
Kipi cha msingi chenye kukufanya uulize hayo maswali uliyouliza?
 
Mimi nimesema Hakuna Mungu

Sasa wewe ndiye unayepaswa kunikosoa mimi,kwa kuleta Ushaidi unaothibitisha Uwepo wa Mungu.

Kitu ambacho mimi nitafanya ni kuonyesha contradiction zinazomuhusu huyo Mungu.

Mkuu,wewe ni muumini wa dini gani,tuanzie hapo?

Kwa mtu asiyeamini dini wala vitabu vya dini lakini ana amini uwepo wa mungu,je ni kipi utatumia kumuelezea kuwa hakuna mungu?
 
Mkuu,moja kati ya JF's members wenye ID's zinazoendana na contents zao ni wewe
Hongera kwa hilo.

Nimefanikiwa kwenye zoezi lako.
Mwanadamu hafi kwa kukosa pumzi ndani ya Dakika moja

Zoezi lako linahitaji Modification kama siyo Abandonment!
Maana halina mahusiano hata na kile unachotaka kuthibitisha.

Unaweza kunipa tafsiri ya neno Mungu?
nimekwambia hvyo ni kukuonesha kuwa.mungu yupo.maana unaishi anavyotaka yeye.kuwa utapumua.utakula.utalala.utaendakunya.utaumwa.n.k.mungu ndiye muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake.SI RAHS UZALIWE UIKUTE DUNIA NA KILA KITU KILICHOMO ALAFU USEME HAKUNA MWENYEWE.UTAKUWA ZAID YA CHIZI.MUNGU NDO MMILIKI WA VYOTE HVYO.NA IPO SIKU UTAKUFA.UTAZIKWA UTAENDA KUHUKUMIWA NA HUYO UNAE .MKATAA.
 
Kipi cha msingi chenye kukufanya uulize hayo maswali uliyouliza?
nataka kujua kama kuna mungu kama yupo nataka kujua yupi ni wakweli maana hapa duniani kuna miungu wengi mno na kila mtu anakwambia kwamba mungu wake ndo wakweli.
 
mjingamimi said:
nimekwambia hvyo ni kukuonesha kuwa.mungu yupo
Nimeomba tafsiri ya neno Mungu hujanipa.
Toa kwanza maana ya neno Mungu kwa mujibu wa Imani yako.

Maana duniani kuna Imani nyingi,na kila imani inatafsiri yake ya neno Mungu.

maana unaishi anavyotaka yeye.kuwa utapumua.utakula.utalala.utaendakunya.utaumwa.n.k
Una uhakika gani kuwa Mimi ninaishi kama Mungu anavyotaka?

Kama ninaishi anavyotaka basi mimi na wewe,hatuna tofauti na Ma-robots.
mungu ndiye muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake.
Lete ushaidi,otherwise huna haki ya kuweka sweeping conclusion kama hiyo.
SI RAHS UZALIWE UIKUTE DUNIA NA KILA KITU KILICHOMO ALAFU USEME HAKUNA MWENYEWE.UTAKUWA ZAID YA CHIZI.MUNGU NDO MMILIKI WA VYOTE HVYO.

Una maana kila kitu unachokikuta Lazima kiwe na mmiliki,siyo?
Mungu umemkuta,nae ana mmiliki pia?
KUNA SIKU UTAZIKWA NA UTAENDA KUHUKUMIWA NA HUYO UNAYEMKATAA
Death is final act!
 
Akijisibitisha dhahili naweza kuamini kuwa yupo.

Nachotaka kujua kutoka kwako ni kwamba kwanini wewe unaona hakuna cha ajabu chenye kufanya hadi kuhisiwe kuwa kuna muumbaji?
 
Nimeomba tafsiri ya neno Mungu hujanipa.
Toa kwanza maana ya neno Mungu kwa mujibu wa Imani yako.

Maana duniani kuna Imani nyingi,na kila imani inatafsiri yake ya neno Mungu.


Una uhakika gani kuwa Mimi ninaishi kama Mungu anavyotaka?

Kama ninaishi anavyotaka basi mimi na wewe,hatuna tofauti na Ma-robots.

Lete ushaidi,otherwise huna haki ya kuweka sweeping conclusion kama hiyo.


Una maana kila kitu unachokikuta Lazima kiwe na mmiliki,siyo?
Mungu umemkuta,nae ana mmiliki pia?

Death is final act!
NGOJA NIKUACHE NA IMANI YAKO.ILA KUPINGA KWAKO HAKUSAIDII KITU.MUNGU YUPO NA ATAENDELEA KUWEPO NA KWAKE UTARUDI.ENDELEA KUPINGA MWISHO WAKO UPO
 
NGOJA NIKUACHE NA IMANI YAKO.ILA KUPINGA KWAKO HAKUSAIDII KITU.MUNGU YUPO NA ATAENDELEA KUWEPO NA KWAKE UTARUDI.ENDELEA KUPINGA MWISHO WAKO UPO

Umeshindwa kujibu maswali niliyokuuliza.
Hujui hata tafsiri ya neno Mungu.

Hujui hata unachokiamini.Pole sana.
 
NGOJA NIKUACHE NA IMANI YAKO.ILA KUPINGA KWAKO HAKUSAIDII KITU.MUNGU YUPO NA ATAENDELEA KUWEPO NA KWAKE UTARUDI.ENDELEA KUPINGA MWISHO WAKO UPO
Kwa jinsi ulivyojieleza , tone yako tu inaonyesha kuwa unamuabudu Mungu wako kwa uoga kitu ambacho sidhani kama ni cha manufaaa sana kwako
unatakiwa kumfahamu sana Mungu unayemuabudu , umjue sana ili upate Amani ya moyo wako rafiki ,
ili hata unapokutana na maswali kama ya hawa ndugu zetu kina Einstein na team yake uwe na uwezo ya kuyajibu kulingana na imani yako kwa Mungu wako, na sio kujibu kwa uoga wa kuogopa kiyama
Soma Ayubu 22:21 kama hua unapitia hayo maandiko
 
Umeshindwa kujibu maswali niliyokuuliza.
Hujui hata tafsiri ya neno Mungu.

Hujui hata unachokiamini.Pole sana.
We mwenye kujua kipi cha maana umeleta hapa zaidi ya maswali ya kitoto?
Unauliza mtu mwenye busara maswali ya kindergartens? We una busara kweli?

Kuna mstari kwenye Andiko unasema "usimjimbu mpumbavu atakavyo yeye au na wewe utakuwa mpumbavu"

Huyo Jamaa ana haki ya kukupuuza.
As always. Huna jipya.
 
Back
Top Bottom