Mungu ndio kakuambia kuna ozone layer??? How do u know??Itakuchukua mda kuelewa lakini jiulize kwanini Dunia inalindwa na ozone lay kuzuia miale ya sum inayotemwa na Jua kuleta madhara dunianini nini kinatulinda?
Is every complexity designed?Itakuchukua mda kuelewa lakini jiulize kwanini Dunia inalindwa na ozone lay kuzuia miale ya sum inayotemwa na Jua kuleta madhara dunianini nini kinatulinda?
Is every complexity designed?
Is every complexity designed?
Hujajibu swali langu.Kila kilichopo au kimeumbwa ni utashi wa Mungu haijalishi kiubinadam kina utata ndio maana kila wakati nimesisitiza ni muumba wa vyote.
Hujui kila chenye utata kwanini kimekuwepo?
Kwanini usiamini vimekuwapo sababu ni Mungu?
Mkuu ni lazima utumie busara za wenye hekima waliokuzidi hekima kama Mimi.
Kila kitu kimekuwapo kwa Mungu.
Umejuaje kama kuna ozone layer??? Sijauona uchawi siwezi kuamini kwa kuadithiwa... siwezisema kama upo au la.Mkuu hakuhitaji kusoma ili kumjua Mungu ndie muumba wa vyote hata mazingira katika Dunia ni kielelezo tosha cha kuwepo aliye umba vyote.
Unaamini uwepo wa uchawi?
Hujajibu swali langu.
Ama hujalielewa, ama umelielewa unalikimbia tu.
Is every complexity designed?
Hujajibu swali langu.Mkuu kila kitu katika Ulimwengu huu kimeumbwa na Mungu.
Hata unachofikiri kina utata ktk uwepo wake jibu ni Mungu.
Wewe hauna jibu ktk jinsi yoyote ya uwepo wa viumbwa tata lazima uamini Mungu haupaswi kuuliza maswali rahisi yasiyo na Mantiki huku ukiamini aliyeumba ni Mungu.
Nimejua kuna hewa ya ukanda kwa kujifunza na kufanya utafiti.Umejuaje kama kuna ozone layer??? Sijauona uchawi siwezi kuamini kwa kuadithiwa... siwezisema kama upo au la.
Mimi kwa wewe hauna uwezo wa kunifundisha jambo... wewe umefanya utafiti lini na kujua kuna O3... umejifunza kwa nani because i know very well haujafanya utafiti instead U read other people research. Ask God if he will tell u all of that...Nimejua kuna hewa ya ukanda kwa kujifunza na kufanya utafiti.
Uchawi Hakuna haja kuamini labda ikitokea ukakupata utaujua.
Mungu ndie aliyeumba kila kitu vinavyoonekana na visivyo onekana.
Lazima uamini wenye hekima kwa kuwa wanakufunza kwa hekima kwa kuwa hata madogo huyajui jifunze kwa wenye hekima ujue mengi.
Kama hujui kiwambo cha hewa ya ukanda bado hauwezi kujifunza mambo makubwa.
Jifunze madogo yanayolingana na uelewa wako utamjua Mungu kwa uthibitisho wa baadhi ya vitu vidogo tu vilivyomo ktk Dunia yetu kwa ustadi na mipangilio maalum.
Mungu hapingwi... bali mnamzungumzia as if mnamjua kiundani. Yaani mnamzungumzia mtasema mnamzungumzia athumani....Wapinga Mungu, ni dalili ya mwisho wa dunia
Kama umeamini hivi ndivyo umeamn ni ngumu kukubadirisha,Mimi kwa wewe hauna uwezo wa kunifundisha jambo... wewe umefanya utafiti lini na kujua kuna O3... umejifunza kwa nani because i know very well haujafanya utafiti instead U read other people research. Ask God if he will tell u all of that...
Nikiamini na nisipoamini what is the difference???Kama umeamini hivi ndivyo umeamn ni ngumu kukubadirisha,
Unaamini Dunia imeumbwa ?
Sio kila kitu ni cha mungu...Ni kila chenye utata kimeundwa na kila kitu ktk ulimwengu huu ni kazi ya Mungu.
Tofauti ni iliyopo ni kwamba ukiamini kitu hupelekea usiwe na uhakika kama hicho kitu kipo au hakipo.Nikiamini na nisipoamini what is the difference???