Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia ina mengi Mungu ametupa akili tuzitumieMungu anakaa kwenye jua! Mwanafalsa wa kale (ancient philosophy) sikumbuki jina alisema ukweli upo kwenye moto, lakini alishindwa kujieleza. Yote hayo ni maoni kwani jibu la uwepo wa Mungu kila mtu na maoni yake. Mimi nafikiria hivi, nimetoka kwa wazazi wangu, nao walitoka kwa wazazi wao, ukiendelea huna mwisho, basi kuna chanzo chake, ni kipi? Basi kila kitu kina mwanzo wake na kuna mwanzo wa vyote, ndio Mungu. Anakaa wapi? Hakuna jibu. Basi shughulika Na vinavyoonekana, vingine unapoteza mda. Hakuna utafiti mbele na Muumba
Sawa wewe uliye mjanja endelea kupoteza muda kufanya utafiti ambao utaambulia sifuri ya mafanikioHakuna cha wazungu na hatupaswi kujishusha huu ni utafiti lengo nikuelezea bayana kwa lugha yetu adhimu ya kiswahili ili walau kila mtu ajifunze tatizo wengi mmeshikwa akili hamfikirriii inje ya box
Mkuu visivyokaribiwa angani ni billions hasa nyota zenye joto kali.Ni kweli ktk universe Kuna ma bilioni ya galaxy na katika kila galaxy kuna billion ya nyota (jua) na ktk nyota (jua) kuna Sayari na ktk sayari kuna miezi ([emoji287] moon) .
Kuhusu supernova nyota hufa baada ya mda wake kuisha na nyota ikifa sayari zake na miezi hufa, lakini maelezo yangu yanahusu uwepo wa MAKAZI YA MUNGU KTK MOJA WAPO YA NYOTA (JUA) hili linatanabahishwa ki Bible na scientific Rejea
Bible, Kutoka 19,20 Mungu ameshuka ktk moto.
Science, Katika nyota (Majua) ndio penye uthibitisho hapawezi kukaribiwa na chochote kwa sababu ya moto mkali wa myeyungano waki nuclear
Rejea 1Timotheo 6:16 Mungu huishi pasipo karibiwa ktk Nuru ya mbali.
Mkuu kama haujanielewa niulize tu
Ngoja tumsubiri atatujibu nini...Sayansi hiyo hiyo inasema, capacity ya Jua ku-bear life katika Dunia yetu hii ni miaka 11bn, na sasa we are almost halfway...so after that, Mungu atahamia kweye nyota nyingine au ataenda wapi ?
Mkuu nyota yetu ya Jua ni ndogo lakini kuna mizinga ya nyota ni mikubwa ambayo hayana hesabu inayoelezeka kibinadamMkuu visivyokaribiwa angani ni billions hasa nyota zenye joto kali.
Sasa kwa nini usadiki ni jua ndiko makazi ya mungu?
Je makazi ya mungu yana mwisho?kwa maana tafiti zinainesha jua ni nyota na nyota ina life span yake ndio maana hulipuka wakati fulani.
Sasa mkuu kama jua likiisha kwisha ina maana maskani ya mungu pameharibika.
Kwa hiyo mungu atahama?
Ahsante
Mkuu nimeona nikujibu kutumia Bible naamini ndio kitabu kitakatifu unachotumiaNgoja tumsubiri atatujibu nini...
Kwa maana nasa na bajeti yao na vyombo walivyonavyo pia kuna watu wana akili sana kule wanafanya kazi usiku na mchana na wanapiga picha kwa kutumia telescopes za teknolojia za juu sijawahi kusikia hata wakisadiki mungu aliko zaidi ya kusema jua lina life span.
Ila huyu ndugu yetu ni mawazo yake binafsi yamemtuma hajawahi hata kwenda mwezini.
mnasifia hadi mnapoteza maana ya mafundisho yenyeweKivipi..?