Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Mzee baba, kama unategemea biblia itakuambia ukweli kuhusu mungu, hauko sahihi. Biblia inamfanya mungu aonekane hana msimamo, anayetengua amri zake mwenyewe, anayewahukumu watu kwa makosa (mipango) aliyofanya/kuandaa yeye. Mungu yupo lakini si kama anavyoelezewa kwenye biblia.
Biblia imeandika vyema Wanaojiita wakristo ndio hupotosha ukweli na watu hujitoa ufahamu na kuwafata hawa wapotoshaji pasipo kujifunza wao wenyewe
 
Biblia imeandika vyema Wanaojiita wakristo ndio hupotosha ukweli na watu hujitoa ufahamu na kuwafata hawa wapotoshaji pasipo kujifunza wao wenyewe
Mungu aliyemwambia musa usiue ndiye yuleyule aliongoza waisraeli kuua wakati wakirudi katika nchi ya ahadi.
Mungu mbaguzi ambaye aliwachagua waisrseli na kuwafanya taifa lake teule na kuwaacha wengine japo waisraeli walikuwa wakimkosea lakini aliendelea kuwang:ang'ania.
Mungu aliyeamua kumpa moyo mgumu farao ili apate kiki kwa watoto wake "waisraeli" kwa kuwatesa wamisri.
Mungu ambaye aliwaumba malaika katika ukamilifu wao lakini kati yao ukamea uovu.
Mzee baba, mungu wa kwenye biblia hana tofauti na 'jiwe'.
 
Mungu aliyemwambia musa usiue ndiye yuleyule aliongoza waisraeli kuua wakati wakirudi katika nchi ya ahadi.
Mungu mbaguzi ambaye aliwachagua waisrseli na kuwafanya taifa lake teule na kuwaacha wengine japo waisraeli walikuwa wakimkosea lakini aliendelea kuwang:ang'ania.
Mungu aliyeamua kumpa moyo mgumu farao ili apate kiki kwa watoto wake "waisraeli" kwa kuwatesa wamisri.
Mungu ambaye aliwaumba malaika katika ukamilifu wao lakini kati yao ukamea uovu.
Mzee baba, mungu wa kwenye biblia hana tofauti na 'jiwe'.
Mkuu hapa kuna shida ya uelewa na ukifuata mtiririko utajifunza mengi na kung'amua vitu vingi ambavyo vitakusaidia kujenga hoja na kumuona Mungu kuwa katika neno lake kuna usawa.
Lakini unajua kwa nini vitabu vya mwanzo vinaitwa kumbukumbu la torati!? Ni kwamba vitabu vyote vilichomwa na watu waliokuwa wasomi wakabuni tena kuandika kwa hiyo huenda kuna makosa yalifanyika kibinadamu.
 
Mkuu hapa kuna shida ya uelewa na ukifuata mtiririko utajifunza mengi na kung'amua vitu vingi ambavyo vitakusaidia kujenga hoja na kumuona Mungu kuwa katika neno lake kuna usawa.
Lakini unajua kwa nini vitabu vya mwanzo vinaitwa kumbukumbu la torati!? Ni kwamba vitabu vyote vilichomwa na watu waliokuwa wasomi wakabuni tena kuandika kwa hiyo huenda kuna makosa yalifanyika kibinadamu.
Kwa nini sasa tuendelee kuamini kitu chenye makosa ya kibinadamu na tutegemee kwenda kwa mungu wa ukweli?
 
Kwa nini sasa tuendelee kuamini kitu chenye makosa ya kibinadamu na tutegemee kwenda kwa mungu wa ukweli?
Kumjua Mungu hakuhitaji PhD maisha yetu ni kielelezo tosha cha uwepo wa Mungu angalia mpangilio wa nyota angani utapata kujifunza mengi na kuujua ukweli wa Mungu muumba
 
Kumjua Mungu hakuhitaji PhD maisha yetu ni kielelezo tosha cha uwepo wa Mungu angalia mpangilio wa nyota angani utapata kujifunza mengi na kuujua ukweli wa Mungu muumba
Kwani nimekataa kuwa mungu yupo? Mimi ninachopinga ni jinsi ambavyo ameelezwa kwenye biblia. Ukitaka umfahamu mungu vizuri usisime kitabu chochote cha dini.
 
Kwani nimekataa kuwa mungu yupo? Mimi ninachopinga ni jinsi ambavyo ameelezwa kwenye biblia. Ukitaka umfahamu mungu vizuri usisime kitabu chochote cha dini.
Usiposoma vitabu vya dini hautamuelewa Mungu kama Muumba wa vyote utamuweka katika makundi mengi ya dhania ya kitu.
 
Mungu aliyemwambia musa usiue ndiye yuleyule aliongoza waisraeli kuua wakati wakirudi katika nchi ya ahadi.
Mungu mbaguzi ambaye aliwachagua waisrseli na kuwafanya taifa lake teule na kuwaacha wengine japo waisraeli walikuwa wakimkosea lakini aliendelea kuwang:ang'ania.
Mungu aliyeamua kumpa moyo mgumu farao ili apate kiki kwa watoto wake "waisraeli" kwa kuwatesa wamisri.
Mungu ambaye aliwaumba malaika katika ukamilifu wao lakini kati yao ukamea uovu.
Mzee baba, mungu wa kwenye biblia hana tofauti na 'jiwe'.
Kuna mkanganyiko sana katika biblia inahitaji fikra pana kumuelewa Mungu
 
Kama kweli mungu anaishi kwenye jua kabla hajaumba hilo jua alikua anaishi wapi?
Na Kama kweli yeye aliviumba vitu vyote vinavyo onekana na visiivyo onekana kwanini hivyo vitu vyake alivyo mwenyewe amevikimbia na kwenda kuishi kwenye jua kali sana.
hahaa
 
Kwa hiyo jua halina mwanzo wala mwisho ! Huyo Mungu anaekaa juani mda wote hajawa majivu? Hizo ni hadithi tu ukweli haujulikani , labda siku roho ikiacha mwili ukweli utajulikana.
 
Kauli ya kwamba Mungu anaishi katika mojawapo ya nyota za jua inaonesha dhahiri jinsi elimu yako ilivyo ndogo...narudia tena elimu yako ndogo na sijui hata Hiyo research umefanyaje mana sioni research Bali naona hypothesis with very weak proofs...naomba ukasome kwanza jua na nyota ni nini then uje upya kuleta mjadala wako...na usilitumie vibaya neno research..
 
Hongera Mkuu binafsi nimekuelewa ..... ......kuna watu wanapinga tu! Kwasababu ya hivi vitabu vyao wanavyoviabudu (Wanafikiri Mungu Anafungwa na Misingi ya Biblia na Quran)( Kumbe Mungu Mwenyezi Aweza Kujifunua Kwako kwa namna nyingne na kukujulisha mengine(Hongera Sana Mkuu)
 
Back
Top Bottom