Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Sasa kama Mungu anaishi ndani ya jua na ameshazoea moto wake,roho zinazoenda mbinguni alipo Mungu inakuaje?? Kama ni kweli hakuna mbingu, nani aende huko kwenye tanuru?? Basi shetani anaishi mahali pazuri kuliko Mungu