Anikajema
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 644
- 558
Barikiwa Sana.Ni kweli mambo mengi dini zinatudanganya kwa ajiri ya maslahi yao binafsi ila ukijifunza ukaujua ukweli inasidia kumjua Mungu si kama wafia dini wanavyotufundisha njia zinazolenga sadaka kwa maslahi yao na family zao