Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Mungu hakuna ndio maana kuna imani nyingi sana duniani,kila dini unayoiona ww hapa duniani ujue inawakilisha utamaduni wa eneo lao

Mfano uislam asili yao wao waarabu ukristo mchanganyiko wa wazungu na waebrania hindus kwa wahindi

Kama mungu yupo kweli na yeye mmoja kwann kuna dini nyingi na mbona kila mtu akiomba kwa dini yake anafanikiwa?
Dini ni utashi wa watu kujitaftia ridhiki endelea kujifunza ukiwa huru utaujua ukweli wa uwepo wa Mungu kikubwa usiruhusu kushikwa akili hapo kweli hautoijua
 
Mkuu sawa nimetumia Majua kwa muktadha wa kufahamisha asiyejua kuwa Jua ni Nyota.


Nimekuelewa.
Mkuu Mungu hana makazi. Mungu yupo pote wakati wote. Mungu akiwa na makazi italeta ukakasi kidogo kwani unaweza Kufikiri mambo mengi zaidi. Moja, unaweza kufikiri kwamba Kumbe Mungu naye anamuda ambapo kutoka mbinguni(mahali anapoishi) mpaka hapa itamchukua muda gani jambo ambalo litapunguza uungu wake. Mungu yupo pote kwa wakati wote.

Utaungana nami endapo utajiuliza, Kabla ya Mungu kuumba mbingu na ardhi alikuwa anaishi wapi?
 
Nimekuelewa.
Mkuu Mungu hana makazi. Mungu yupo pote wakati wote. Mungu akiwa na makazi italeta ukakasi kidogo kwani unaweza Kufikiri mambo mengi zaidi. Moja, unaweza kufikiri kwamba Kumbe Mungu naye anamuda ambapo kutoka mbinguni(mahali anapoishi) mpaka hapa itamchukua muda gani jambo ambalo litapunguza uungu wake. Mungu yupo pote kwa wakati wote.

Utaungana nami endapo utajiuliza, Kabla ya Mungu kuumba mbingu na ardhi alikuwa anaishi wapi?
Wamwabuduo Mungu humwabudu kwa roho na kweli kabla Mungu hajaumba dunia alikuwa sehemu yote ya ulimwengu ila naamini alipo umba Dunia alioondoa utukufu wake na kuiacha dunia iutafte utukufu kwa kumcha yeye.

Soma

14 Musa akatelemka mlimani akawaendea watu akawatakasa, nao wakafua nguo zao.
Kutoka 19 :14

15 Akawaambia watu; Mwe tayari siku ya tatu; msimkaribie mwanamke.
Kutoka 19 :15

16 Ikawa siku ya tatu, wakati wa asubuhi, palikuwa na ngurumo na umeme, na wingu zito juu ya mlima, na sauti ya baragumu iliyolia sana. Watu wote waliokuwa kituoni wakatetemeka.
Kutoka 19 :16

17 Musa akawatoa hao watu katika kituo, akawaleta ili waonane na Mungu; wakasimama pande za chini za kile kilima.
Kutoka 19 :17

18 Mlima wa Sinai wote pia ukatoa moshi, kwa sababu Bwana alishuka katika moto; na ule moshi wake ukapanda juu kama moshi wa tanuu, mlima wote ukatetemeka sana.
Kutoka 19 :18

19 Na hapo sauti ya baragumu ilipozidi kulia sana, Musa akanena, naye Mungu akamwitikia kwa sauti.
Kutoka 19 :19

20 Bwana akaushukia mlima, juu ya kilele cha mlima; Bwana akamwita Musa aende hata kilele cha mlima; Musa akapanda juu.
Kutoka 19 :20
 
Wamwabuduo Mungu humwabudu kwa roho na kweli kabla Mungu hajaumba dunia alikuwa sehemu yote ya ulimwengu ila naamini alipo umba Dunia alioondoa utukufu wake na kuiacha dunia iutafte utukufu kwa kumcha yeye.

Soma

14 Musa akatelemka mlimani akawaendea watu akawatakasa, nao wakafua nguo zao.
Kutoka 19 :14

15 Akawaambia watu; Mwe tayari siku ya tatu; msimkaribie mwanamke.
Kutoka 19 :15

16 Ikawa siku ya tatu, wakati wa asubuhi, palikuwa na ngurumo na umeme, na wingu zito juu ya mlima, na sauti ya baragumu iliyolia sana. Watu wote waliokuwa kituoni wakatetemeka.
Kutoka 19 :16

17 Musa akawatoa hao watu katika kituo, akawaleta ili waonane na Mungu; wakasimama pande za chini za kile kilima.
Kutoka 19 :17

18 Mlima wa Sinai wote pia ukatoa moshi, kwa sababu Bwana alishuka katika moto; na ule moshi wake ukapanda juu kama moshi wa tanuu, mlima wote ukatetemeka sana.
Kutoka 19 :18

19 Na hapo sauti ya baragumu ilipozidi kulia sana, Musa akanena, naye Mungu akamwitikia kwa sauti.
Kutoka 19 :19

20 Bwana akaushukia mlima, juu ya kilele cha mlima; Bwana akamwita Musa aende hata kilele cha mlima; Musa akapanda juu.
Kutoka 19 :20

Shukrani Mkuu. Mungu halimitiwi na chochote. Mungu yupo pote kwa wakati wote
 
Hakika ulie leta mada hii uko vizuri sana.kunawakati lazima tujifunze mambo magumu ndio kuna uwepo mungu je pasinge kuwepo vitabu mungu tungemujua?je tungemujuaje na je tungemujua kwa jina gani?wanao weza kutafakari haya ni wachache kati ya wengi mambumbu,ni vema ukajiuliza ni vema ukatafakari kuhusu uwepo wa mungu na kazi zake kuona nyota na jua na vingine vingi haisaidii sana.mfano mtu akisema mungu hayupo utaanza kubisha so atakuuliza ulimuona utasema vitabu vinasema sawa we2 ulimuona utasikia hapana.hivyo mungu tunamsoma ktk vitabu kumbuka vitabu waliandika mitume na manabii hivyo walikua watu kama mimi na we2 swali je hawakukosea?mi2 na we2 hatujui ila biblia zinatofautiana tuendelee kujifunza ndugu zangu
 
Ametokana na nanii. Mungu ametokana na nini?
اللَّهُ نُورُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۚ مَثَلُ نُورِهِ كَمِشْكَاةٍ فِيهَا مِصْبَاحٌ ۖ الْمِصْبَاحُ فِي زُجَاجَةٍ ۖ الزُّجَاجَةُ كَأَنَّهَا كَوْكَبٌ دُرِّيٌّ يُوقَدُ مِن شَجَرَةٍ مُّبَارَكَةٍ زَيْتُونَةٍ لَّا شَرْقِيَّةٍ وَلَا غَرْبِيَّةٍ يَكَادُ زَيْتُهَا يُضِيءُ وَلَوْ لَمْ تَمْسَسْهُ نَارٌ ۚ نُّورٌ عَلَىٰ نُورٍ ۗ يَهْدِي اللَّهُ لِنُورِهِ مَن يَشَاءُ ۚ وَيَضْرِبُ اللَّهُ الْأَمْثَالَ لِلنَّاسِ ۗ وَاللَّهُ بِكُلِّ شَيْءٍ عَلِيمٌ )

النور (35) An-Noor

Mwenyezi Mungu ni Nuru ya Mbingu na Ardhi. Mfano wa Nuru yake ni kama shubaka lenye kuwekwa ndani yake taa. Taa ile imo katika tungi. Tungi lile ni kama nyota inayo meremeta, inayo washwa kwa mafuta yanayo toka katika mti ulio barikiwa, mzaituni. Si wa mashariki wala magharibi. Yanakaribia mafuta yake kung'aa wenyewe ingawa moto haujayagusa - Nuru juu ya Nuru. Mwenyezi Mungu humwongoa kwenye Nuru yake amtakaye. Na Mwenyezi Mungu huwapigia watu mifano. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua kila kitu.
 
اللَّهُ نُورُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۚ مَثَلُ نُورِهِ كَمِشْكَاةٍ فِيهَا مِصْبَاحٌ ۖ الْمِصْبَاحُ فِي زُجَاجَةٍ ۖ الزُّجَاجَةُ كَأَنَّهَا كَوْكَبٌ دُرِّيٌّ يُوقَدُ مِن شَجَرَةٍ مُّبَارَكَةٍ زَيْتُونَةٍ لَّا شَرْقِيَّةٍ وَلَا غَرْبِيَّةٍ يَكَادُ زَيْتُهَا يُضِيءُ وَلَوْ لَمْ تَمْسَسْهُ نَارٌ ۚ نُّورٌ عَلَىٰ نُورٍ ۗ يَهْدِي اللَّهُ لِنُورِهِ مَن يَشَاءُ ۚ وَيَضْرِبُ اللَّهُ الْأَمْثَالَ لِلنَّاسِ ۗ وَاللَّهُ بِكُلِّ شَيْءٍ عَلِيمٌ )

النور (35) An-Noor

Mwenyezi Mungu ni Nuru ya Mbingu na Ardhi. Mfano wa Nuru yake ni kama shubaka lenye kuwekwa ndani yake taa. Taa ile imo katika tungi. Tungi lile ni kama nyota inayo meremeta, inayo washwa kwa mafuta yanayo toka katika mti ulio barikiwa, mzaituni. Si wa mashariki wala magharibi. Yanakaribia mafuta yake kung'aa wenyewe ingawa moto haujayagusa - Nuru juu ya Nuru. Mwenyezi Mungu humwongoa kwenye Nuru yake amtakaye. Na Mwenyezi Mungu huwapigia watu mifano. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua kila kitu.
Sijakuelewa kaka
 
Dini ni utashi wa watu kujitaftia ridhiki endelea kujifunza ukiwa huru utaujua ukweli wa uwepo wa Mungu kikubwa usiruhusu kushikwa akili hapo kweli hautoijua

Tatizo ni moja kwann huyo mungu mwenyewe hakutaka sisi tumjue?

Kwanini nasema mungu hakutaka sisi tumjue?

Jibu uislam umekuja kati ya karne 13 au 14 kupitia waarabu walivyokuja kufanya biashara East Afrika wakati ukristo umekuja kati ya karne 18 baada ya industrial revolution ulaya

Swali langu ni

Kama mungu alikuwa anataka tumjue kwanini muhammad katokea mwaka 570 lakini uislam umekuja karne 13 miaka mingapi imepita hapo mpaka waarabu walipokuja kufanya biashara wakaamua kueneza na uislam kwa maneno mengine lengo lao kubwa waarabu lilikuwa biashara na si kueneza dini kama ingekuwa dini wangekuja miaka ya 610 wakati muhamad yupo hai

Na Yesu katokea miaka ya 1 C.E lakini wazungu wameleta ukristo karne 18 imepita miaka karibu elfu kwann miaka hiyo yote wasije kueneza dini mpaka kulipotokea mapinduzi ya viwanda ulaya ndio wao wakaja na colonial agents wakiwemo missionary inamaana lengo lao kubwa lilikuwa kutafuta mali ghafi sio kueneza dini

Kwanini mungu wa uislam na ukristo wamekuja kwa dizain kama hizo?
 
Tatizo ni moja kwann huyo mungu mwenyewe hakutaka sisi tumjue?

Kwanini nasema mungu hakutaka sisi tumjue?

Jibu uislam umekuja kati ya karne 13 au 14 kupitia waarabu walivyokuja kufanya biashara East Afrika wakati ukristo umekuja kati ya karne 18 baada ya industrial revolution ulaya

Swali langu ni

Kama mungu alikuwa anataka tumjue kwanini muhammad katokea mwaka 570 lakini uislam umekuja karne 13 miaka mingapi imepita hapo mpaka waarabu walipokuja kufanya biashara wakaamua kueneza na uislam kwa maneno mengine lengo lao kubwa waarabu lilikuwa biashara na si kueneza dini kama ingekuwa dini wangekuja miaka ya 610 wakati muhamad yupo hai

Na Yesu katokea miaka ya 1 C.E lakini wazungu wameleta ukristo karne 18 imepita miaka karibu elfu kwann miaka hiyo yote wasije kueneza dini mpaka kulipotokea mapinduzi ya viwanda ulaya ndio wao wakaja na colonial agents wakiwemo missionary inamaana lengo lao kubwa lilikuwa kutafuta mali ghafi sio kueneza dini

Kwanini mungu wa uislam na ukristo wamekuja kwa dizain kama hizo?
You have a point kaka... nikitafakari haya huwa nabaki na mashaka na nakuwa mgumu sana kutekeleza yanayodaiwa ni maagizo ya Mungu....napata ukakasi sana linapokuja swala la practising... najiuliza kama mimi nafanya kosa kufanya ibada.. je babu na bibi zangu nao walikuwa na makosa???.. . Waliishi bila kutegemea kufanya haya ya miaka hii.
 
Mkuu nipo huru milembe nipelekwe kufanya nini kosa langu lipo wapi nipinge kwa hoja siyo unitusi
Ningetaka kukupinga kwa hoja ningekuwa tayari nimewela hoja zangu hapa,
Pia sijakutusi, ila nilichoandika awali nisahihi kabisaaa,

Pia akili yako tayari umeiwekea mipaka, juu ya ufahamu ulioufahamu tayari so nivigumu kwa mtu anayejielewa anaweza kuleta hapa hoja zake nakupingana nawewe.
Naanisha akili yako umeiweka kiujuaji haujaiweka kwa kujifunza umejiblock wewe mwenyewe nilazima utoke kwanza hapo maana wewe ni mtu mzima unayejielewa ili uweze kukaa mahali ambapo unaweza kusaidiwa.
pia biblia haina kitabu kimoja tu cha Kutoka ambacho ndio kimekupa majibu ya utafiti wako, kina vitabu zaidi ya 60 jaribu kupitia na vitabu vingine ujifunze juu ya makazi ya Mungu itakusaidia kuweka sawa utafiti wako

Uzi huu uwekee kama ni mkusanyo wa data zako tu kwahiyo utaendela na uchanganuzi mbeleni
Kwa ushauri jaribu kuanzisha uzi mwingine na ukiwa na hoja yakutaka kujua makazi halisi ya Mungu.

Labda kwa nyongeza naweza kukupa mawazo kama haya hapa,
Soma vizuri na kufuatilia katika biblia kama ambavyo umefuatilia, utajifunza yakuwa mahali anakoishi Mungu ni wapi
utapata kabisa picha halisi ya kifikra namna biblia itakavyokueleza mali Mungu anakoishi.
Pia utaelewa jua nini tabia zake na nini hasa kazi zake.
 
Back
Top Bottom