Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Kabla ya ujio wa Yesu tayari suala la kuhusu Mungu lilikuwepo,kwa maana kulikuwa na wale waliyokuwa wakifanya kazi ya kueleza yenye kumuhusu Mungu. Hivyo Yesu hakuja kama ndio wa kwanza kuwaambia watu kwamba kuna Mungu na kwa maana ni hivyo hivyo kwa Muhammad pia.

Tatizo huyo mungu hakutaka cc tumjue uoni atakuwa si muungwana kuna haja gani ya mm kutaka kumjua yeye wakati yeye mwenyewe huyo mungu hakutaka mm nimjue?
 
Tatizo huyo mungu hakutaka cc tumjue uoni atakuwa si muungwana kuna haja gani ya mm kutaka kumjua yeye wakati yeye mwenyewe huyo mungu hakutaka mm nimjue?
Ingekuwa Mungu hataki umjue basi hata usingesikia chochote kuhusu Mungu,ila ajabu wewe unayepinga kuwa hakuna Mungu ndiyo et unasema Mungu hakutaka umjue.
 
Ingekuwa Mungu hataki umjue basi hata usingesikia chochote kuhusu Mungu,ila ajabu wewe unayepinga kuwa hakuna Mungu ndiyo et unasema Mungu hakutaka umjue.

KULIL HAQQA WAIKAANA MURRA sihaangaiki kumtafuta mungu kwakuwa najua hayupo

Ila nimeonyesha dini zilizosema mungu mmoja zote zimekuja kwa biashara wala si kuwasaidia watu wamjue mungu
 
Mungu ana nafsi tatu.Yuko kila Mahali.Anaona kila kitu, Ni Alpha na Omega.Wanasayansi kwa sasa wamefikia hatua ya kutaka kutuma chombo kikakanyage Jua.Mungu ni zaidi ya Jua ,Nyota na Dunia
 
KULIL HAQQA WAIKAANA MURRA sihaangaiki kumtafuta mungu kwakuwa najua hayupo

Ila nimeonyesha dini zilizosema mungu mmoja zote zimekuja kwa biashara wala si kuwasaidia watu wamjue mungu
Mbona unabadili badili kauli? mara Mungu hakutaka umjue mara tena umezigeukia dini!

Siku zote misingi ya hoja zenu ndio tatizo,huwa mnaongea tu mambo ili kupinga tu na kushinda mabishano.

Kila jambo lina sababu hivyo kama biashara ndiyo iliyokuwa sababu ya kufikiwa na dini huku basi hakuna la kushangaza.
 
Mbona unabadili badili kauli? mara Mungu hakutaka umjue mara tena umezigeukia dini!

Siku zote misingi ya hoja zenu ndio tatizo,huwa mnaongea tu mambo ili kupinga tu na kushinda mabishano.

Kila jambo lina sababu hivyo kama biashara ndiyo iliyokuwa sababu ya kufikiwa na dini huku basi hakuna la kushangaza.


Kama wamefata biashara hapo inaonyesha lengo lao ni biashara

INNAMAL AMALU BI NIYYATI Hakika kila tendo kwa nia hao warabu na wazungu lengo la kuja afrika lilikuwa ni biashara na mungu gani huyo anatafutwa ktk biashara kwanini wasingekuja kuwafundisha watu mambo ya mungu mbali na biashara?
 
Kama wamefata biashara hapo inaonyesha lengo lao ni biashara

INNAMAL AMALU BI NIYYATI Hakika kila tendo kwa nia hao warabu na wazungu lengo la kuja afrika lilikuwa ni biashara na mungu gani huyo anatafutwa ktk biashara kwanini wasingekuja kuwafundisha watu mambo ya mungu mbali na biashara?
Nimekwambia kila jambo lina sababu,hata sielewi hoja yako hasa ni ipi? Iwe kwa biashara,wahamiaji au hata kwa kutumia nguvu hiyo bado ni sababu.
 
Nimekwambia kila jambo lina sababu,hata sielewi hoja yako hasa ni ipi? Iwe kwa biashara,wahamiaji au hata kwa kutumia nguvu hiyo bado ni sababu.

Nia ndio kila kitu waarabu na wazungu nia yao ilikuwa si kueneza habari za mungu lengo lao kubwa ilikuwa ni biashra mbona huelewi hili jambo?

Ndio maana tuaambiwa "INNAMAL AMAALU BI NIYYAT WAINNAMAA LIKKULI MRIIM MAA NAWAA" hakika kila tendo kwa nia na mtu unuwia anachokifanya

Wakati wa muhammad watu walihama maka kwenda madina kwaajili ya mambo ya kidunia na si kumfata mungu na mtume wengi walihama kwa kutafuta wanawake wa kuoa ndio muhammad akawaambia kama muna hama kwa ajili ya dunia mtaipata na kama kwaajili ya mungu mtampata pia

Waarabu na wazungu nia yao kubwa kuja afrika ilikuwa ni biashara na si kueneza dini kama wangetaka watu wamjue mungu ukristo ungekuja miaka ile ya yesu alivyokuwa hai na uislam ungekuja miaka ya ile muhammad alipokuwa hai wote wamekufa ikapita miaka karibia elfu a mia 5 ndio anakuja mtu kusema kuna mungu IT IS JOKES nakuambia ITTAQ LLAH HAYITHUMAA KUNTA
 
Nia ndio kila kitu waarabu na wazungu nia yao ilikuwa si kueneza habari za mungu lengo lao kubwa ilikuwa ni biashra mbona huelewi hili jambo?

Ndio maana tuaambiwa "INNAMAL AMAALU BI NIYYAT WAINNAMAA LIKKULI MRIIM MAA NAWAA" hakika kila tendo kwa nia na mtu unuwia anachokifanya

Wakati wa muhammad watu walihama maka kwenda madina kwaajili ya mambo ya kidunia na si kumfata mungu na mtume wengi walihama kwa kutafuta wanawake wa kuoa ndio muhammad akawaambia kama muna hama kwa ajili ya dunia mtaipata na kama kwaajili ya mungu mtampata pia

Waarabu na wazungu nia yao ni biashara ilikuwa na kueneza dini kama wangetaka watu wamjue mungu ukristo ungekuja miaka ile ya yesu alivyokuwa hai na uislam ungekuja miaka ya ile muhammad alipokuwa hai wote wamekufa ikapita miaka karibia elfu a mia 5 ndio anakuja mtu kusema kuna mungu IT IS JOKES nakuambia ITTAQ LLAH HAYITHUMAA KUNTA
Ndio maana nakwambia hoja yako hasa ni ipi maana haueleweki.

Unawazungumzia wazungu kama vile huo ukristo wenyewe umeanzia huko kumbe nao wameletewa,hao waarabu ndio hao hao mnaosema wameeneza dini kwa upanga.
 
Ndio maana nakwambia hoja yako hasa ni ipi maana haueleweki.

Unawazungumzia wazungu kama vile huo ukristo wenyewe umeanzia huko kumbe nao wameletewa,hao waarabu ndio hao hao mnaosema wameeneza dini kwa upanga.

Nawazungumzia walioleta uislam na ukristo,hakuna mungu katika mungu wa kweli katika sehemu hapo kuna biashara ktk watu hao

Ukiwa ww mislam utalizimishwa ukatalii saudia arabia nyinyi mnasema hijja wakati huo ni biashara ya utalii na ukiwa mkristo utalazimishwa uende jerusalem utalii pia huo
 
Nawazungumzia walioleta uislam na ukristo,hakuna mungu katika mungu wa kweli katika sehemu hapo kuna biashara ktk watu hao

Ukiwa ww mislam utalizimishwa ukatalii saudia arabia nyinyi mnasema hijja wakati huo ni biashara ya utalii na ukiwa mkristo utalazimishwa uende jerusalem utalii pia huo
Unaelewa maana ya Utalii au umeandika tu.
Huko Saudia umewahi kuskia kuna sehemu za watalii?
We pinga uwepo wa Mungu lkn usiropoke kwenye masuala usioyajua.
Kaburini utaingia peke yako.
Lkn usiwaite waumini watalii. Bibi yako hakukufunza Nidhamu ya kujadili na kaka zako?
 
Nawazungumzia walioleta uislam na ukristo,hakuna mungu katika mungu wa kweli katika sehemu hapo kuna biashara ktk watu hao

Ukiwa ww mislam utalizimishwa ukatalii saudia arabia nyinyi mnasema hijja wakati huo ni biashara ya utalii na ukiwa mkristo utalazimishwa uende jerusalem utalii pia huo
Unaweza kueleza huko mwanzoni mwa hizo dini walioanzisha walikuwa wanafanyaje hiyo biashara?
 
Sayansi inatanuka Roho ya mwanadamu ni Mungu tosha na inatosha kabisa kuleta majibu ya kila jambo huko unakosema hakufikiki patafikika tu kama pameshagundulika ni swala la muda tu
Safi sana nilitaka sema hivi umeniwahi, Kama Biblia ni kitabu cha kweli kutoka kwa Mungu. Kuna watu km mimi ni Mungu kwa sababu tumetokana na Mungu mwenyewe hasa, kwa kupulizia uhai wake ndani yangu, MUngu alimwambia Musa ''Tazama nakufanya km Mungu mbele ya Pharaoh''

Yesu alipotaka kupigwa Mawe na wayahudi kwa madai ya kuwa alikuwa anakufuru kujiita mwana wa Mungu, aliwakumbusha hao walio taka kumpa kisago namnukuu ''si imeandikwa kwa sheria zenu kuwa nyie ni Mungu kunakosa gani mimi kujjita mwana wa Mungu? wakaduwaa!!

lkn katika hawa hawa binadamu tunaoishi nao leo hata kutoka familia moja kuna watoto waliotoka kwa shetani hasa wa kwanza wa kiume km Cain, Esau nk, vizazi hivo vipo mpaka leo ndiyo vinasumbua, hakuna sehemu imeandikwa kuwa waliteketezwa vizazi vyoote!! la hasha!! kizazi cha nyoka kinajitahidi kumjua Mungu lkn wapi!! mara Mungu sijui ni nani, hayupo!! '' kwanini ,kwanini kibao''!

Kwa mujibu wa Biblia Mwanamke ni Mama wa viumbe vyote'' fikiri kwa nini Mungu alisema hivo? watoto wake Mungu watazaliwa na mwanamke, na wa shetani watazaliwa na mwanamke huyohuyo! kma waedom, wayebusi nk, kumbuka kila penye mkono wa Mungu shetani ana plan B'' yake. ili kuleta confusion ila kwa Yesu mnazareth alishindwa vibaya kwa aibu.

Kwa Muktadha huu Mleta Mada uko sahihi kabisa wala hatukupungi huyo ni mungu wako unaemjua na una muabudu, na suala la miungu kuishi limekuwepo tangu zama za Biblia na wametajwa kabisaa mfano mungu Baal, aliwasaida wafilisti kumuweka mnadhili wa Mungu Samson kwa kupitia Delila na kweli walimshukuru na kumtolea Sadaka ya shukrani
 
Huu Uzi nilisoma muda sana, ngoja ntafute nafasi nzuri. Nikitulia niiurudie
 
Something 99.9% we don’t know is that "life is a school for the souls” SHALOM🤞🏽
 
Kiukweli Kuna unusiano mkubwa lakini shida kidogo nnayo Iona nikwamba Kuna majua mengi Sasa kidogo Ina leta utata kwamba mungu atakuwa Ana kaa kwenye jua lipi mkuu

Naomba uendelee na utafiti huenda tukalijua na Hilo mkuu 🙏🙏
 
Hoja hujibiwa Kwa hoja,utafiti hujibiwa Kwa utafiti.kunawatu wanabeza mawazo ya wenzao leta Yako tulinganishe Naya wenzako.mtu anajibu eti mzungu kashindwa yeye ni nani?akili za panzi hizi Kwani mzungu ni mungu ,yeye ninani kwetu?
 
Duh saivi mmeshampeleka kwenye jua tena, tutafika tu ili tukimkosa mtuambie kwingine
 
Back
Top Bottom