Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Dini ni utashi wa watu kujitaftia ridhiki endelea kujifunza ukiwa huru utaujua ukweli wa uwepo wa Mungu kikubwa usiruhusu kushikwa akili hapo kweli hautoijua
Unapinga dini ambazo zinaeleza habari za kuhusu Mungu kwa kuona zimetungwa tu na watu,ila ajabu na wewe unakuja na habari za kuhusu Mungu. Hivi watu watakao kubali haya unayoyaeleza nao watakuwa huru au nao pia watakuwa watumwa wa maelezo yako kama ilivyo katika dini?
 
Tatizo ni moja kwann huyo mungu mwenyewe hakutaka sisi tumjue?

Kwanini nasema mungu hakutaka sisi tumjue?

Jibu uislam umekuja kati ya karne 13 au 14 kupitia waarabu walivyokuja kufanya biashara East Afrika wakati ukristo umekuja kati ya karne 18 baada ya industrial revolution ulaya

Swali langu ni

Kama mungu alikuwa anataka tumjue kwanini muhammad katokea mwaka 570 lakini uislam umekuja karne 13 miaka mingapi imepita hapo mpaka waarabu walipokuja kufanya biashara wakaamua kueneza na uislam kwa maneno mengine lengo lao kubwa waarabu lilikuwa biashara na si kueneza dini kama ingekuwa dini wangekuja miaka ya 610 wakati muhamad yupo hai

Na Yesu katokea miaka ya 1 C.E lakini wazungu wameleta ukristo karne 18 imepita miaka karibu elfu kwann miaka hiyo yote wasije kueneza dini mpaka kulipotokea mapinduzi ya viwanda ulaya ndio wao wakaja na colonial agents wakiwemo missionary inamaana lengo lao kubwa lilikuwa kutafuta mali ghafi sio kueneza dini

Kwanini mungu wa uislam na ukristo wamekuja kwa dizain kama hizo?
Kabla ya ujio wa Yesu tayari suala la kuhusu Mungu lilikuwepo,kwa maana kulikuwa na wale waliyokuwa wakifanya kazi ya kueleza yenye kumuhusu Mungu. Hivyo Yesu hakuja kama ndio wa kwanza kuwaambia watu kwamba kuna Mungu na kwa maana ni hivyo hivyo kwa Muhammad pia.
 
You have a point kaka... nikitafakari haya huwa nabaki na mashaka na nakuwa mgumu sana kutekeleza yanayodaiwa ni maagizo ya Mungu....napata ukakasi sana linapokuja swala la practising... najiuliza kama mimi nafanya kosa kufanya ibada.. je babu na bibi zangu nao walikuwa na makosa???.. . Waliishi bila kutegemea kufanya haya ya miaka hii.
Kwanini unajiuliza kuhusu bibi na babu zako huko wakati hata sasa kuna watu hawajafikiwa na dini,je unapata jibu gani kwa hawa nao?
 
Kwanini unajiuliza kuhusu bibi na babu zako huko wakati hata sasa kuna watu hawajafikiwa na dini,je unapata jibu gani kwa hawa nao?
Kwa vile hao ndio reference nzuri kwa kuwa they have gone for good..
 
Biblia inasema hivi
Mungu alimuumba binadamu kwa mfano wake inamaana mungu naye ni binadamu
Kama sisi
Swali linakuja je huyo binadamu aliye uumba huu ylimwengu alivipata wapi vitu vya kuumbia huu Ulimwengu wote na wakati huo inaonyesha nayeye aliumbwa?
Mungu ni kisababishi kisicho sababishwa,
kuna maswali mengi sana kuhusu uwepo wa Munga
Lakini pia yako mengi zaidi kuhusu kutikiwepo kwa Mungu
Kabla ya kujiuliza nani alimuunba Mungu, Jiuliza uumbaji ulitokea wapi
utagundua kuwepo kwa "concept of something from Nothing"
 
Sijui vimetengenezwa na nani.
sasa na kama vimetengenezwa huyo alievitengeneza na yeye ametengenezwa na nani..?
Katika vitabu kadha wa kadha, yamefunuliwa mambo machache sana
Kwa mfano Biblia, ameonyesha kuwa yeye ndiye muunbaji wa Ulimwengu,
Lakini haijafunuliwa ameiumbaje from Nothing
 
Mimi nimesema Hakuna Mungu

Sasa wewe ndiye unayepaswa kunikosoa mimi,kwa kuleta Ushaidi unaothibitisha Uwepo wa Mungu.

Kitu ambacho mimi nitafanya ni kuonyesha contradiction zinazomuhusu huyo Mungu.

Mkuu,wewe ni muumini wa dini gani,tuanzie hapo?
Ukitaka kupata ukweli wa Mungu usitumie dini
Kwa sababu dini itayawekea ukomo mawazo yako
Mtafute Mungu nje ya dini kwa kutumia Vitabu vya dini na vyazi vingine vya kisayansi
 
Y

Yupo kwa sababu na wewe upo, pamoja na vilivyokuzunguka
tumalize kwa kusema Mungu yupo kwasababu sisi tupo,hivyo anatutegemea na kwakuwa anatutegemea basi hapaswi kuitwa Mungu!.. kwasababu hawezi kuwepo bila sisi kuwepo.
 
Katika vitabu kadha wa kadha, yamefunuliwa mambo machache sana
Kwa mfano Biblia, ameonyesha kuwa yeye ndiye muunbaji wa Ulimwengu,
Lakini haijafunuliwa ameiumbaje from Nothing
Utapimaje kitu usichokijua chote..?
umeandika kuwa yamefunuliwa machache sana.. ili uweze kujua kuwa ni machache inakupasa ujue utoshelezi/ujumla wa kitu husika ili hata kikimegwa ujue kiasi kilichomegwa..

hicho kitabu cha biblia kwanza kinamapungufu maana kuna vitu vinaonyesha vilikuwepo kabla ya huyo Mungu.. maji,giza,space.
 
You have a point kaka... nikitafakari haya huwa nabaki na mashaka na nakuwa mgumu sana kutekeleza yanayodaiwa ni maagizo ya Mungu....napata ukakasi sana linapokuja swala la practising... najiuliza kama mimi nafanya kosa kufanya ibada.. je babu na bibi zangu nao walikuwa na makosa???.. . Waliishi bila kutegemea kufanya haya ya miaka hii.


Kweli kabisa mababub zetu mbona hawakuwa dini na waliishi vzr
 
Back
Top Bottom