Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,333
- 7,879
Mungu yupo hili halihitaji ushahidi! Katika moja ya post zako unaandika kwanini kisiwepo kingine kilichosababisha uhai je hicho unachokifikili wewe ndio Mungu mwenyewe muumbaji.
Makusudi mengine ya yeye kutuumba kuweka majanga mbali mbali Vita, njaa,umasikini, magonjwa,kifo,utajiri, yeye mwenyewe anajua kusudio lake.
Nyota na sayari katika anga na vilivyomo anajua yeye kusudio lake
To God be the encomium.
Hilo swali ulilomuuliza kwenye paragraph ya kwanza lina uzito sana na halihitaji jibu jepesi jepesi tu, linahitaji jibu lenye ushawishi wa hali ya juu ambalo nadhani litakuwa ni kitu kipya kabisa kwa wengine hapa.
Ila kama kawaida yake ameskip swali hilo na kukupeleka kwenye comfort zone yake na kukuchanganyia na maahrage na bamia ndani ya bakuli moja yaani kauliza maswali mengine kabisa ambae yeye kwake ndio mtindo uliochagua kujibu kila anapouliza swali.
Angalia hapa alichokujibu... sasa hapo kuna uhusiano kweli na swali hilo ulilomuuliza!?
Hujathibitisha Mungu yupo.
Unahubiri tu.
Nimekuuliza kwa nini Mungu kaumba hivi, hakuumba vile, umesema hujui.
Kama hujui hata huyo Mungu wako anafanya vitu vipi, una hakika gani kwamba Imani yako kwamba yupo ni sahihi?
Humuelewi huyo Mungu. Huwezi kumuelezea kwa ufasaha.
Kwa nini unafikiri yupo wakati hata kumuelezea huwezi?
Kiranga uache kujibu swali kwa kuuliza maswali badala yake ujibu kwanza swali uliloulizwa kwanza ndio wewe uulize swali lako..!! kwa style hiyo unanifanya nione kumbe bado huo uatheist wako haujakomaa na hauna strong back up zaidi ya blaah... blaah hizo chache ulizonazo!!
Unakumbuka kuna siku niliwahi kukuuliza hizo deliverence zinavyofanywa na watu kama kina TB Joshua wanatumia magic power ambayo chanzo chake ni nini!!? ukanijibu hivi "unajuaje kama kuna chanzo chake ni Mungu na sio kitu kingine?".... na mimi nikakwambia uniambie hicho chanzo kingine ni kipi!! haukujibu swali hili.
Na leo Impongo kakuuliza swali lile ulilokimbia siku ile..!!
Asee i'm in doubt with your atheism.