Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Hujaelewa kwamba suala si mimi kuelewa.

Suala ni uwezo wako wa kuwa na "attention to detail" basic kabisa ya kujua wapi pa kuweka "l" na wapi ni pa kuweka "r".

Hata hilo tu hujaelewa.

Nitegemee vipi kwamba utaelewa "non sequitur" ni nini na "circular argument" ni nini.

Mimi mtu akishindwa kujua wapi pa kuweka "l" na wapi pa kuweka "r" namuona "country bumpkin".

Sasa wewe "country bumpkin" unataka kuja kujadili high level philosophy of religion wapi na wapi?

Kajifunze Kiswahili cha msingi kwanza.
Kama unahitaji kujua Elimu yangu nitakuwekea

Mungu yupo na aliye mwamini Mungu ameongeza maarifa ndio maana mimi na wewe tupo tofauti kwa kuanzia hapa jifunze.

Mungu ni mwenye huruma atakufanya mwenye haki haujapotea sana.
 
Hujaelewa kwamba suala si mimi kuelewa.

Suala ni uwezo wako wa kuwa na "attention to detail" basic kabisa ya kujua wapi pa kuweka "l" na wapi ni pa kuweka "r".

Hata hilo tu hujaelewa.

Nitegemee vipi kwamba utaelewa "non sequitur" ni nini na "circular argument" ni nini.

Mimi mtu akishindwa kujua wapi pa kuweka "l" na wapi pa kuweka "r" namuona "country bumpkin".

Sasa wewe "country bumpkin" unataka kuja kujadili high level philosophy of religion wapi na wapi?

Kajifunze Kiswahili cha msingi kwanza.
Kama unahitaji kujua Elimu yangu nitakuwekea

Mungu yupo na aliye mwamini Mungu ameongeza maarifa ndio maana mimi na wewe tupo tofauti kwa kuanzia hapa jifunze.

Mungu ni mwenye huruma atakufanya mwenye haki haujapotea sana.
 
Hujaelewa kwamba suala si mimi kuelewa.

Suala ni uwezo wako wa kuwa na "attention to detail" basic kabisa ya kujua wapi pa kuweka "l" na wapi ni pa kuweka "r".

Hata hilo tu hujaelewa.

Nitegemee vipi kwamba utaelewa "non sequitur" ni nini na "circular argument" ni nini.

Mimi mtu akishindwa kujua wapi pa kuweka "l" na wapi pa kuweka "r" namuona "country bumpkin".

Sasa wewe "country bumpkin" unataka kuja kujadili high level philosophy of religion wapi na wapi?

Kajifunze Kiswahili cha msingi kwanza.
Kama unahitaji kujua Elimu yangu nitakuwekea

Mungu yupo na aliye mwamini Mungu ameongeza maarifa ndio maana mimi na wewe tupo tofauti kwa kuanzia hapa jifunze.

Mungu ni mwenye huruma atakufanya mwenye haki haujapotea sana.
 
Hujaelewa kwamba suala si mimi kuelewa.

Suala ni uwezo wako wa kuwa na "attention to detail" basic kabisa ya kujua wapi pa kuweka "l" na wapi ni pa kuweka "r".

Hata hilo tu hujaelewa.

Nitegemee vipi kwamba utaelewa "non sequitur" ni nini na "circular argument" ni nini.

Mimi mtu akishindwa kujua wapi pa kuweka "l" na wapi pa kuweka "r" namuona "country bumpkin".

Sasa wewe "country bumpkin" unataka kuja kujadili high level philosophy of religion wapi na wapi?

Kajifunze Kiswahili cha msingi kwanza.
Mkuu wewe ni sawa na kipofu unahitaji msaada wa kuvuka daraja usitumbukie ktk mto

Huwezi kuwa unaona usijue uwepo wa Mungu ulimwengu na vilivyomo ni Mali ya Mungu
 
Hujui hata unacho kiandika! tatizo Mimi si wa level yako niite boga na kila unacho jisikia.

Watu wengi walio shindwa kama wewe huamua kutumia jaziba kutafta jinsi aonekane ameshinda hata kama anaongea upuuzi.

Mimi ni mtanzania si msomi wa aina ya wasomi uchwara wengi wao mmeishia kujifunza uchwara na kuamini mambo yasiyofaa.

Mnaaminisha watu ujinga kuwa hakuna Mungu lakini mmebeba ajenda nyuma yenu.

Mungu yupo na Dunia uliyomo ni yake ulimwengu na vyote ni vyake yeye.

Mtu unaye amini bacteria wanaonekana kwa microscope kama microscope zisingekuwapo ukaambiwa kuna vijidudu (bacteria) Kwa akili yako bila kuona ungeamini?
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Au unahubiri tu?
 
Kama unahitaji kujua Elimu yangu nitakuwekea

Mungu yupo na aliye mwamini Mungu ameongeza maarifa ndio maana mimi na wewe tupo tofauti kwa kuanzia hapa jifunze.

Mungu ni mwenye huruma atakufanya mwenye haki haujapotea sana.
Jujathibitisha Mungu yupo.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
Mkuu wewe ni sawa na kipofu unahitaji msaada wa kuvuka daraja usitumbukie ktk mto

Huwezi kuwa unaona usijue uwepo wa Mungu ulimwengu na vilivyomo ni Mali ya Mungu
Hujathibitisha kwamba Mungu yupo.

Unajibu ambayo hujaulizwa, uliyoulizwa hujibu.

Kwa sababu huwezi kujibu.

Kwa sababu Mungu wako ni wa uongo. Hayupo.

Kama yupo thibitisha kwamba yupo.
 
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Au unahubiri tu?

Sihubiri ni ukweli,
Mungu yupo aliyeumba Ulimwengu na vilivyomo

Nini kinailinda Dunia yetu na majanga makubwa yasitupate mfano miale ya Jua ya sum inayojwa & vimondo vikubwa vinavyoweza kuigonga Dunia?

Nani alianzisha uhai hapa duniani?

Kwa uthibitisho unahitaji ushahidi upi tena
 
Hujathibitisha kwamba Mungu yupo.

Unajibu ambayo hujaulizwa, uliyoulizwa hujibu.

Kwa sababu huwezi kujibu.

Kwa sababu Mungu wako ni wa uongo. Hayupo.

Kama yupo thibitisha kwamba yupo.
Mungu yupo

Unavoona sayari na nyota na vyote vilivyomo katika anga vimepangiliwa sahihi kwa mpishano thabiti bila madhara basi fahamu kuna aliye Fanya au kuna chanzo na hicho chanzo ni Mungu
 
Sihubiri ni ukweli,
Mungu yupo aliyeumba Ulimwengu na vilivyomo

Nini kinailinda Dunia yetu na majanga makubwa yasitupate mfano miale ya Jua ya sum inayojwa & vimondo vikubwa vinavyoweza kuigonga Dunia?

Nani alianzisha uhai hapa duniani?

Kwa uthibitisho unahitaji ushahidi upi tena
Hujathibitisha Mungu yupo.

Kuuliza hayo maswali hakuthibitishi kwamba Mungu yupo au ndiye mhusika.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo na anahusika na hayo uliyoyauliza?
 
Mungu yupo

Unavoona sayari na nyota na vyote vilivyomo katika anga vimepangiliwa sahihi kwa mpishano thabiti bila madhara basi fahamu kuna aliye Fanya au kuna chanzo na hicho chanzo ni Mungu
Umejiridhishaje kwamba chanzo ni Mungu?

Unaweza kuthibitisha hatua kwa hatua?
 
Jujathibitisha Mungu yupo.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Wewe Unaamini kuwa Ulimwengu ulisababishwa kuwepo kilicho sababisha Ulimwengu na vyote Katika Ulimwengu ndie Mungu
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Kuuliza hayo maswali hakuthibitishi kwamba Mungu yupo au ndiye mhusika.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo na anahusika na hayo uliyoyauliza?
Kwa maulizo yako unaonekana kabisa Unaamini Ulimwengu ulisababishwa tatizo hautaki kuamini nini kilisababisha lakini anatokea mtu anakwambia kilicho sababisha bado hauamini.

Tafuta jina la nini kimesababisha Ulimwengu lakini bado itabaki kuwa ileile ni Mungu ndie chanzo cha vyote
 
Naomba kufahamishwa je jua nisayari ambayo Iko mbali kuliko sayari zote kama jibu nindio basi mungu anishi uko
 
Naomba kufahamishwa je jua nisayari ambayo Iko mbali kuliko sayari zote kama jibu nindio basi mungu anishi uko
Jua siyo sayari ni nyota, lakini katika mfumo wetu jua letu hili ni nyota iliyo karibu ina sayari zake 8 zina izunguka Jupiter, Saturn,Dunia(earth), Uranus, Zohar, Mass, mercury,

Inje ya mfumo wa nyota (Jua) letu kuna nyota nyingi kubwa zenye mfumo kama huu ila zipo mbali nyingine nyota (jua) ni hizi tunaona ktk anga yetu ni na nyota kama jua ni billions zisizo hesabika.

Na Dunia yetu inaelea angani pia jua lipo pembeni yetu si kama wengi wanavyodhani lipo juu yetu.

Na Dunia yetu ni ndogo sana ktk ukubwa wa jua ni 0.054 udogo wake ktk jua

Jua ni myeyungano wa ki nuclear unaungua halizunguki lipo zinazozunguka ni sayari na miezi (moon)
 
Umejiridhishaje kwamba chanzo ni Mungu?

Unaweza kuthibitisha hatua kwa hatua?

1:Uumbaji wa Ulimwengu na vilivyomo ktk Ulimwengu

2:Mpangilio thabiti wa vyote vilivyomo ktk Ulimwengu

3:Uhai wa viumbe kama alivyoona inafaa ktk maeneo baadhi kwa utashi wake

Tumia tafafakuri yakinifu utanielewa ila kama wewe ni mtu wa copy & paste hutanielewa utaendelea kulalama.

Muumbaji au kilicho sababisha Ulimwengu kipo wazi
 
1:Uumbaji wa Ulimwengu na vilivyomo ktk Ulimwengu

2:Mpangilio thabiti wa vyote vilivyomo ktk Ulimwengu

3:Uhai wa viumbe kama alivyoona inafaa ktk maeneo baadhi kwa utashi wake

Tumia tafafakuri yakinifu utanielewa ila kama wewe ni mtu wa copy & paste hutanielewa utaendelea kulalama.

Muumbaji au kilicho sababisha Ulimwengu kipo wazi

Hujathibitisha.Umeandika tu.

1. Hakuna ushahidi kwamba ulimwengu umeumbwa na Mungu.Ungeumbwa na Mungu wenu huyo mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, mabaya yasingewezekana. Kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao viumbe vyake vinapatwa na matetemeko ya ardhi, vita, njaa etc wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hayo yote hayawezekani kama wewe usivyoweza kurudi nyuma katika muda?


2. Vyote vilivyomo katika Ulimwengu havijapangwa kwa mpangilio thabiti. Ulimwengu ume waste space kubwa sana. 99% of the atom is empty space.

99.9999999999999999999999999999% of the observable universe is empty space. Such a waste.

3. Uhai wa viumbe hauthibitishi kuwepo kwa Mungu. Unathibitisha kutokuwepo kwa huyo Mungu wenu. Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao viumbe vinaweza kupata magonjwa na kufa wakati angeweza kuumba ulimwengu ambao viumbe hivi haviwezi kupata magonjwa na kufa?

Utasemaje aliyeumba ulimwengu huu unao waste space hivi amepanga vitu kwa mpangilio thabiti?

Hoja zako zote za kujaribu kuonesha kuna Mungu wenu huyo kiukweli zinazidi kuonesha kwamba huyo Mungu hayupo.
 
Hujathibitisha.Umeandika tu.

1. Hakuna ushahidi kwamba ulimwengu umeumbwa na Mungu.Ungeumbwa na Mungu wenu huyo mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, mabaya yasingewezekana. Kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao viumbe vyake vinapatwa na matetemeko ya ardhi, vita, njaa etc wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hayo yote hayawezekani kama wewe usivyoweza kurudi nyuma katika muda?


2. Vyote vilivyomo katika Ulimwengu havijapangwa kwa mpangilio thabiti. Ulimwengu ume waste space kubwa sana. 99% of the atom is empty space.

99.9999999999999999999999999999% of the observable universe is empty space. Such a waste.

3. Uhai wa viumbe hauthibitishi kuwepo kwa Mungu. Unathibitisha kutokuwepo kwa huyo Mungu wenu. Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao viumbe vinaweza kupata magonjwa na kufa wakati angeweza kuumba ulimwengu ambao viumbe hivi haviwezi kupata magonjwa na kufa?

Utasemaje aliyeumba ulimwengu huu unao waste space hivi amepanga vitu kwa mpangilio thabiti?

Hoja zako zote za kujaribu kuonesha kuna Mungu wenu huyo kiukweli zinazidi kuonesha kwamba huyo Mungu hayupo.

Pia Nina wasiwasi na wewe Kama hauamini dunia ilifanyika Unaamini uwepo wako wa Kuzaliwa,?
Unawafahamu wazazi wako baba, na mama !?

Labda nitajua kimekuathiri nini mpaka unamchukia Mungu wako ili tuanzie hapo,
 
Pia Nina wasiwasi na wewe Kama hauamini dunia ilifanyika Unaamini uwepo wako wa Kuzaliwa,?
Unawafahamu wazazi wako baba, na mama !?

Labda nitajua kimekuathiri nini mpaka unamchukia Mungu wako ili tuanzie hapo,
Nitamchukiaje Mungu ambaye hayupo na wala hujaweza kuthibitisha kwamba yupo?

Mimi nachukia uongo.

Nachukia kufanywa mjinga.

Mtu akiniambia "Kuna pembetatu duara ya ajabu, ukiikubali utapata uzima wa milele, ikubali" nitaona hizo ni porojo na kuzikataa.

Nikizikataa habari hizo za uongo wa kitu ambacho hakipo utasemaje kwamba nimeichukia hiyo pembetatu duara ambayo hata haipo?

Kabla ya kusema naichukia pembetatu duara, unaweza kuthibitisha kwamba ipo?

Kabla ya kusema namchukia Mungu, unaweza kuthibitisha kwamba yupo?

Na kama huwezi, nitamchukiaje Mungu ambaye huna hata uwezo wa kuthibitisha kwamba yupo?
 
Back
Top Bottom