Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Wewe hufahamu tofauti ya "lahisi" na "rahisi".

Utaweza vipi kufuatilia mabishano ya falsafa ya juu ya dini na mantiki ya kuwapo na kutokuwapo kwa Mungu muweza yote, mwenye uwezo wote na upendo wote?
Kwa kuwa umeelewa ni Mungu muweza wa yote sina shaka endelea kujifunza Mungu ni mwema atakusaidia utayajua mengi
 
Binafsi naona umetupa miaka yako yote kumi na tano kwa kufanya utafiti usio na kichwa wala miguu na usio na tija yeyote kwa maisha ya binadamu.
Mathalani tuchukulie upo sahihi kuwa Mungu anaishi Juani:So what?
Binadamu atafaidika vipi na huu ugunduzi wako?
Utafiti lazima uwe na rationale.
Faida ya utafiti ni kusaidia kufaham njia mbadara kujikinga au kuongeza tija ktk namna yoyote itakayofaa.

Utafiti wangu unawavumbua watu kama wewe msio amini uwepo wa Mungu natumai nikiwa hai miaka 3 ijayo kinywa chako kitamkiri Mungu.

UTAYAFAHAMU MENGI
 
Kwa kuwa umeelewa ni Mungu muweza wa yote sina shaka endelea kujifunza Mungu ni mwema atakusaidia utayajua mengi
Hata nilichoandika hujaelewa, utaweza vipi kufuatilia mjadala?
 
Faida ya utafiti ni kusaidia kufaham njia mbadara kujikinga au kuongeza tija ktk namna yoyote itakayofaa.

Utafiti wangu unawavumbua watu kama wewe msio amini uwepo wa Mungu natumai nikiwa hai miaka 3 ijayo kinywa chako kitamkiri Mungu.

UTAYAFAHAMU MENGI
Masuala ya uwepo wa mungu ni ya imani.
Hakuna anayetaka kujua Mungu anakaa wapi.
Mungu hachunguzwi.Mungu anaaminiwa.

Kwa kifupi ulichokifanya sio utafiti bali ni utunzi wa riwaya.Hujaongeza ufahamu wowote wa mwanadamu.
Nashauri utumiye miaka yako iliyobaki vizuri.

Kama wewe ni mkristo jaribu kusoma biblia.Katika agano la kale tunaambiwa wanadamu walijaribu kujenga mnara wa babeli ili wafike aliko Mungu.Mungu akakasirika akawafanya waongee lugha mbali mbali wakashindwa kuelewana , wakaacha kujenga mnara wa babeli.Wewe kujaribu kutafuta makazi ya Mungu ni kujaribu tena kujenga mnara wa babeli.

Soma pia agano jipya Mathayo 25 kuhusu Mfano wa Yesu juu ya talanta.Bwana alitaka kusafiri akawaitwa watumwa wake watatu.Akampa wa kwanza talanta tano, wa pili talanta 2 na watatu talanta moja.Yule wa kwanza akazalisha zaidi akapata talanta kumi.Yule wa pili akajituma akapata talanta nne.Yule wa tatu alaifukia talanta.Bwana wao alivyorudi alikasirisha sana na yule aliyeifukia talanta na akashindwa kuzalisha.Wewe kujikita katika utafiti hewa wa miaka 16 ni kufukia talanta uliyopewa na Mungu..
Amka ndugu.Achana na hayo mambo.
 
Ulizo la kitoto ni sawa na kuulizwa mama ako alipo kutunga mimba ulikuwepo utajibu vipi?
Lakini kuna evidence kwamba ulizaliwa na huyo mama yako kwa sababu kuna watu walishuhudia! Kwa hiyo kinachotakiwa ni evidence/Ushahidi, siyo maneno tu!
 
Ni sawa na kumwambia mtu aliyopo kwenye land lock area kwamba bahari inaexist alafu unataka aamini ni kweli.... asipoamini anapata dhambi.
 
Hata nilichoandika hujaelewa, utaweza vipi kufuatilia mjadala?
Nimekuelewa umeshindwa labda umeshindwa kutendua unachoamini, Mungu yupo ndio maana unajikanganya njia ya mwongo ni fupi?
 
Lakini kuna evidence kwamba ulizaliwa na huyo mama yako kwa sababu kuna watu walishuhudia! Kwa hiyo kinachotakiwa ni evidence/Ushahidi, siyo maneno tu!
Ushahidi nilio nao si wa maneno Mungu ameumba Ulimwengu na vyote kama haukubari leta ushahidi nini kimesababisha uhai na vyote kuwepo?
 
Nimekuelewa umeshindwa labda umeshindwa kutendua unachoamini, Mungu yupo ndio maana unajikanganya njia ya mwongo ni fupi?
Wewe hujui hata kama unaandika statement au unauliza.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
Ni sawa na kumwambia mtu aliyopo kwenye land lock area kwamba bahari inaexist alafu unataka aamini ni kweli.... asipoamini anapata dhambi.
Kumfundisha mwanaadam inachukua mda ujinga wake ni vile asipo elewa haina haja kumsumbukia
 
Masuala ya uwepo wa mungu ni ya imani.
Hakuna aliyetaka kujua Mungu abakaa wapi.
Mungu hachunguzwi.Mungu anaaminiwa.

Kwa kifupi ulichokifanya sio utafiti bali ni utunzi wa riwaya.Hujaongeza ufahamu wowote wa mwanadamu.
Nashauri utumiye miaka yako iliyobaki vizuri.

Kama wewe ni mkristo jaribu kusoma biblia.Katika agano la kale tunaambiwa wanadamu walijaribu kujenga mnara wa babeli ili wafike aliko Mungu.Mungu akakasirika akawafanya waongee lugha mbali mbali wakashindwa kuelewana , wakaacha kujenga mnara wa babeli.Wewe kujaribu kutafuta makazi ya Mungu ni kujaribu tena kujenga mnara wa babeli.

Soma pia agano jipya Mathayo 25 kuhusu Mfano wa Yesu juu ya talanta.Bwana alitaka kusafiri akawaitwa watumwa wake watatu.Akampa wa kwanza talanta tano, wa pili talanta 2 na watatu talanta moja.Yule wa kwanza akazalisha zaidi akapata talanta kumi.Yule wa pili akajituma akapata talanta nne.Yule wa tatu alaifukia talanta.Bwana wao alivyorudi alikasirisha sana na yule aliyeifukia talanta na akashindwa kuzalisha.Wewe kujikita katika utafiti hewa wa miaka 16 ni kufikia talanta uliyopewa na Mungu.
Amka ndugu.Achana na hayo mambo.
Inawezekana napata kula kwa hili
 
Aisee Hi hatari!

Unawezaje kutumia miaka 16 tu kukamilisha Extraordinary research kama hiyo?

NASA wana taarifa yako?

Scientific research ndiyo,Methodology ipi uliyotumia?

Kifaa kipi ulichotumia kuchunguza hiyo nyota?Hubble space telescope?

"Nina hakika mwenyezi Mungu anaishi katika mojawapo ya Nyota za Jua"

'Nyota za Jua' ndiyo kitu gani kaka yangu?

Mkuu,Mungu hachunguziki.
Cjui kama atakujibu
 
Metaphysics moja ya branch ya philosophy ndio inaongelea jambo kama hilo kwahiyo jamaa kapitia tu vitabu vya philosophy anajidai kafanya utafiti. Shida tunayo kama watafiti ndio wa dizaini hii waliopo
 
Bibie huku sio size yako hakuna Ccm vs Ukawa wala mmu

Utaumiza kichwa bure huku hapakufai

Achana na upunguani wa "huku na kule", its all in your head, kila kitu kipo mbele yako na kwenye fingertips zako.

Nisome tena kisha jibu hoja yangu; Utafiti unaosema Watanzania laki nne wana ugonjwa wa akili mimi nnaupinga, nnaamini Watanzania wenye matatizo ya akili ni wengi tena wengi sana.
 
Back
Top Bottom