Ukweli wabainika ,Babu Tale ana pesa chafu kuliko Diamond

Ukweli wabainika ,Babu Tale ana pesa chafu kuliko Diamond

Na hiki ndicho kinachofanya diamond asipige hatua za hapo , inabidi achukue maaamuzi magumu ya kuachana na tale bila hivyo itakula kwake kama vile Tip Top connection ilivyokula kwao

Mlishauri juma nature akimbie kwa mkubwa fella, sasa yuko wapi?
Acheni stori za bange hizo
 
Naona Diamond yupo kwenye zoezi la kupunguza mdomo kwa kuulamba
 
hapana siombi kazi ,ila ni shabiki wa kutupwa wa diamond hivyo naona kama ananywonywa vile na mimi kama shabiki kukaa kimyaa siwezi
KUMBE UNAASSUME!
SASA KUTUHANGAISHA KOTE HUKU WENZIO MPK PAGE YA TISA,kweli nia mere assumptions!
UWAGE NA HURUMA SA ZINGINE!
 
Una mada za ajabu ndio maana kila siku unakula BAN na kurudi na ID mpya, ulitaka awe meneja wa TUNDA?
 
Unatamani zari ungekuwa wewe bila tale huyo dogo angekuwa wapi punguza povu subiri posa
 
Back
Top Bottom