Ukweli wasioupenda Watanganyika au Watanzania Bara

Ukweli wasioupenda Watanganyika au Watanzania Bara

aleesha kuna kitu kimoja unakisahau. Naona hili suala unalizungumzia pasipo kuwa na taarifa kamili nalo. Wazanzibar wanaoishi Tanganyika ni wengi kuliko idadi ya watanganyika wanaoishi Zanzibar.

Tunaishi na wazenji wengi sana kuanzia Dar es Salaam, Shinyanga, Arusha, Morogoro n.k Binafsi mtaa ninaoishi kuna wazenji wengi na si hilo tu! Bali wamenunua ardhi na mamlaka imewapimia na imewamilikisha.

Ardhi ndiyo kila kitu. Hivyo wameweka makazi na wamefanya uwekezaji mdogo na mkubwa. Wamenunua mashamba wanafanya kilimo. Laiti kama Tanganyika ikiamua kututumua misuli kama ninyi mnavyofanya mtakaopata athari ni ninyi.

Watanganyika wanaweza kutofautiana kiitikadi ya kisiasa. Watanganyika wanaweza kutofautiana kiitikadi ya imani za kidini. Watanganyika wanaweza wakatofautiana kwa tofauti za hapa na pale za kikabila (na ndogo mno). Lakini hauwezi ukawatenganisha Watanganyika linapokuja suala la kiutaifa kuhusiana na Utanganyika wao. Hapa wote kwa pamoja wataungana.

Na historia imethibitisha hili na kama haufahamu au kwa bahati mbaya umeghafilika waulize wenzako wa kipindi cha Bunge la Msekwa mlijaribu kufanya nini na Watanganyika walifanya nini katika Bunge lao. Ndani ya siku moja tu Zanzibar ilibadilisha sheria waliyoitunga wao wenyewe kuwahusu Watanganyika.
Wazanzibar wengi waliokua huko wanakuja na shughuli zao maalumu za kufanya, ila umemsikia mkuu wa wilaya hapo alivyowafurusha watanganyika hapo wengi mkija huku mnakuja kuleta tabia za kiajabuajaabu ambazo sio utamaduni wa huku
 
Waarabu na Wazanzibari ni ndugu wa damu na wa asili kabisa maana Waarabu ndio walioleta ukombizi kwa Taifa la Zanzibar.

Waarabu ndio watu walioweza kuishi kijamii pamoja na Wazanzibari kwa miaka mingi hadi kuchanganya damu na Wazanzibar walio wengi na kuishi km jamii moja tena kwa upendo kabisa.

Waarabu ndio walioipa Nchi ya Zanzibar hadhi na heshima kimataifa na kujulikana kama ni nchi, bila ya Waarabu hata hao Vibaraka CCM-ZANZIBAR wasingeweza kupata nyadhifa mbali mbali za utawala hapo Zanzibar badala yake wangekua tu ni watu dhalili kwenye mkoa wa Tanganyika.

Kwahiyo ni wazi kuwa Waarabu walikuja Zanzibar kwa ajili ya ukombizi na kuwasaidia Wazanzibari waweze kuwa watu wenye hadhi na kuheshimika dunianiani kote.

Mwarabu hivi sasa ndio anaeijenga Zanzibar sijamuona Mtanganyika akija kuekeza Zanzibar sekta muhimu kama bandari kujenga majumba viwanja vya ndege naona mikataba imetiwa na waarabu sijamuona hata mtanganyika mmoja au.

Tusisahau fadhila kwa Uchu wa Madaraka na Njaa. WENYE AKILI WAMESHANIELEWA!!

Na anaebisha Abishe kwa Hoja na sio Porojo
Nenda Twitter toka ingia jf toka insta na fb nikaujinga kasiko kamilisha shule
Na badhi ya nyingine nenda kale [emoji3055]
 
Mwarabu wa asili sio mweupe,mwarabu alitokea Afrika,waafrika ndio wa kwanza kuzunguka dunia,na waafrika ndio wakwanza kuanzisha Maandishi(hizo herufi za kiarabu,na kuanza kuhesabu,hizo namba 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9,)Na bara hili la Afrika ,kuitwa Afrika ni huyo mfalme wa kwanza,wa Afrika,aliyeanzisha safari za kuzunguka dunia.Ndio maana ukaona ziko nchi,nyingi tu,wanaishi machotara wa kiarabu(weusi) na wazungu,kama Tunisia,Libya,Misri,nk,ziko Afrika.Na zipo nchi za kiarabu bado wapo waarabu wa asili(weusi),kama Sudan,Mali,Ghana,Somalia,Ngazija nk.
Huyo mfalme anaitwa nani? Alikuwa wapi anazunguka dunia aisee
 
Wazanzibar wengi waliokua huko wanakuja na shughuli zao maalumu za kufanya, ila umemsikia mkuu wa wilaya hapo alivyowafurusha watanganyika hapo wengi mkija huku mnakuja kuleta tabia za kiajabuajaabu ambazo sio utamaduni wa huku
Haufahamu? Au huoni haya kuongopa? Au Uzanzibari umekujaa? Kama hivyo vyote huviogopi basi ogopa kuongopa! Uongo ukikithiri unapigwa chapa ya mhuri.

Wazanzibar ninaoishi nao na ninaofahamiana nao wote wamejenga huku na wana hati za umiliki wa ardhi. Na wengine majina ya mtaa ni ya kwao. Zunguka Tanganyika utajionea haya ninayokuambia. Ikiwa kama ndivyo mnavyopeana habari huko Zanjibar, basi mnapeana zisizo sahihi.

Tanganyika inaihitaji Zanjibar mkakati wa kiusalama wa kumiliki eneo kubwa la bahari na si vinginevyo.
 
Waarabu na Wazanzibari ni ndugu wa damu na wa asili kabisa maana Waarabu ndio walioleta ukombizi kwa Taifa la Zanzibar.

Waarabu ndio watu walioweza kuishi kijamii pamoja na Wazanzibari kwa miaka mingi hadi kuchanganya damu na Wazanzibar walio wengi na kuishi km jamii moja tena kwa upendo kabisa.

Waarabu ndio walioipa Nchi ya Zanzibar hadhi na heshima kimataifa na kujulikana kama ni nchi, bila ya Waarabu hata hao Vibaraka CCM-ZANZIBAR wasingeweza kupata nyadhifa mbali mbali za utawala hapo Zanzibar badala yake wangekua tu ni watu dhalili kwenye mkoa wa Tanganyika.

Kwahiyo ni wazi kuwa Waarabu walikuja Zanzibar kwa ajili ya ukombizi na kuwasaidia Wazanzibari waweze kuwa watu wenye hadhi na kuheshimika dunianiani kote.

Mwarabu hivi sasa ndio anaeijenga Zanzibar sijamuona Mtanganyika akija kuekeza Zanzibar sekta muhimu kama bandari kujenga majumba viwanja vya ndege naona mikataba imetiwa na waarabu sijamuona hata mtanganyika mmoja au.

Tusisahau fadhila kwa Uchu wa Madaraka na Njaa. WENYE AKILI WAMESHANIELEWA!!

Na anaebisha Abishe kwa Hoja na sio Porojo

Waarabu walikuwa colonizers kama colonizers wengine tu. Kumbuka, hata identity ya Tanganyika nayo ilitengenezwa na European colonizers.

Kama huelewi kwamba Waarabu walikuwa colonizers, soma historia. Hiyo itakusaidia pia kujua kiini cha Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar!

Ufadhili wa Waarabu wa miradi mbalimbali ya Zanzibar hauwapi Waarabu special place Zanzibar. Hata Tanzania Bara ipo miradi mingi iliyofadhiliwa na wageni, wakiwemo hao Waarabu, lakini hilo haliwafanyi watu wa Bara wawaone hao wageni kuwa ni wa maana zaidi ya ndugu zao wa Zanzibar!
 
Maendeleo hayana chama?!?! Kwanini sasa tunalazimika itikadi za kijamaa za chama cha ccm ndio ulazimishwe kwa watz wote.

Kwa hiyo tuendelee na itikadi hii ya kipagani wakati zaidi ya 95% ya watanzania wanaamini Mungu Mkuu.

Maana ya Maendeleo ni kuwa na Uhuru zaidi was makundi ya jamii kujiamulia mambo yao wenyewe ktk uchumi wao, utamaduni wao, na mambo ya kijamii.

Kwann ubani unakuumiza wakati wewe hulaziki kuutumia.

Tz ni kubwa sana utamaduni was watu wa simanjiro haufanani na wa mufindi na pia haufanani na wa Pemba.

Ktk jamii yenye mchanyiko wa makundi ya jamii zenye utofauti falsafa pekee itakayofaa ktk taifa hilo ni ile ya Diversity.

Kwa maana ya kuvuniliana na utamaduni za wenzenu na kuzijumuisha.

Ujanaa na usekula ni falsafa inayofaa kwa taifa lenye utamadini mmoja tena wenyewe jamii isiyoamini uwepo wa Mungu Kama china.

Ujamaa na usekula kwasaaa unaendelea nchi hazizidi tano Moja ya nchi hizo ni Tz.

Taifa hii linahitaji kutambua utamaduni zetu sawa na jamii husika na kuzistawisha. Kwa kila jamii hizo kupatiwa Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Wamasai wanaotaka kuvaa mavazi ya lubega wakiwa sehemu za kazi ktk ofisi za umma waheshimiwe. Wavaa mavazi ya hijab wakiwa sehemu za kazi ktk ofisi za umma waheshimiwe. Kwanini.

Mabanyani wapate nafasi za teuzi za umma wakitaka kuvaa mavazi yao tumbo likiwa nje wakiwa sehemu za kazi ktk ofisi za umma waheshimiwe.

Haki hizo hawapati watz ndani ya tz ktk taasisi kama majeshi yetu kama vile China na north Korea, Wakati UK, US zinaruhusu. Police Scotland uniform to include Muslim hijab

Tanzania ni kubwa sana. Kuendelea imani wa ujamaa unaolazimisha mfumo wa Serikali kuu umefeli. Tanzania inapaswa iwe na serikali za majimbo ili kila jimbo lipate Uhuru zaidi wa kuueneza utamaduni wao. Hii haina maana kuwa tz itajigawa vipande, Bali itaimarisha na kukuza maendeleo ya kijimbo. Utalii utaimarika. Wamasai wakitaka kuishi na simba ndio jadi yao, nk nk
Free ecemony and Diversity ndio suluhisho.

View attachment 2125312
Kuna mtu kakukataza kusali..au kupiga marufuku itikadi zako za dini?

Serikali niya waote wenye dini na wasio dini acha iwe neutral katika hili..na hii inafaa sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kuna mtu kakukataza kusali..au kupiga marufuku itikadi zako za dini?

Serikali niya waote wenye dini na wasio dini acha iwe neutral katika hili..na hii inafaa sana.

#MaendeleoHayanaChama
Moja ya ibada ktk uislam ni kwa wasichana kuvaa mavazi ya stara.

Kwann wasichana walio ktk majeshi yetu hawajawekewa utaratibu huo huku UK, Us wanewekawa. Ni kwasababu kule wanafata falsafa ya diversity.

Huku kwetu inakandamiza wenye dini na kuwaacha huru wapagani.

Matokeo yake kizazi kinakuwa ni mazuzu.

Akiamka hadi anapolala yeye na bongo flava. Akibadili atabishana Mpira. Hii ndio faida ya usekula, ujamaa.

Bila shaka wewe usiependa mabadiliko ni muathiriwa pia
 
Back
Top Bottom