Ukweli wasioupenda Watanganyika au Watanzania Bara

Ukweli wasioupenda Watanganyika au Watanzania Bara

Shukran kiongozi kwa ukumbusho.


Pamoja na ccm kuukana ujamaa na kubariki ubepari hata hivyo ktk dhana zote mbili kuna nidhamu moja wamefafana.

Nidhamu hiyo ni Secularism.

Usekula kwasasa una maana tofauti, lkn asili yake ni ile ile kukanusha kuwepo kwa mungu na hivyo dini kwayo haina maana yyt.

Kwa historia mifumo yote ya utawala ilishikwa na viongozi was dini. Lkn baada ya viongozi was dini kuvimbiwa na madaraka, uongozi ukawa si ule wa kumtegemea mungu. Na baada ya dhiki na mateso ndipo wakajitokeza watu kupinga utawala huo unaitwa unamtangaluza mungu. Ndio ikaja hoja ya usekula.

Kwa uoni wangu historia mpya ya uongozi inapaswa kujengwa uongozi utakao mtanguliza mungu na usekula.

Nadharia hiyo kwa lugha nyepesi huitwa ya Diversity au Serikali jumuishi.

Kwani kwa uhalisia pamoja na tz kujipambanua hadi Leo kuwa haichanganyi mambo ya mungu na siasa. Hata hivyo huchanganywa. Hivyo Usecular umebaki kuwa ni jinamizi la kuwanyima haki baadhi ya dini nchini.

Waznz kwa mfano 98% ni waislam lkn mabinti walio jeshini wananyimwa haki ya kuvaa mavazi ya stara sawa na dini yao. Vazi la stara ni moja ya ibada kwa waislam.

Lkn hizi kwa mznzr mwenyewe haoni shida. Kwasasabu ingawa ni waislam lkn wameathiriwa na ujamaa. Na matokeo yake wanaleta siasa za ubaguzi kama ujamaa wenyewe ulivyo.

Nilikuuliza umeusoma ujamaa wa Ki marx , hujanijibu , nikakuambia CCM Haifuati kabisa umarxism Na umejibu kuwa wanashabihiana. Sasa niambie wanashabihiana katika nini ?

Halafu unaleta mambo ya ZNZ Na wanawake , kwani huelewi Kuwa ZNZ ilivamiwa Na Tanganyika kuanzia 1964. Na Tanganyika imeweka majeshi yake kila kipembe.
Ubaguzi uko wapi zaidi ya kudai Nchi yetu kutoka kwa mvamizi ? Na nyinyi ndio mnaotuulia ndugu zetu kuanzia nyinyi waislamu Ma Alhaaji Mahita , Mwinyi Na wengine

Yaani mapenzi yenu kwetu ni kutuuwa, kuwanajisi mama Na dada zetu , kututia vilema Na kutuwekea vibaraka viongozi Tu halafu unalalamika tunawabagua?
 
Sio kweli,hizi ni habari zilizoandikwa na watu wenye chuki na wengine.Mwarabu,asili take ni mtu mweusi,ni baada ya kuoana na wazungu,wa mashariki ya ulaya, ndio kukapatikana hao weupe,mnawaita waraabu,hao weupe ni machotara wa mwarabu mweusi(wa Rangi ya asili) na Mwanamke mzungu wa ulaya ya mashariki.Na waarabu wa asili(weusi)ambayo mbabu zao,hawakuoana na wazungu wa mashariki ya ulaya,wapo,tena wengi na Wana miji yao.Kwa hiyo mwarabu(wa asili aliye mweusi)na ndio mwarabu mwenyewe,hawezi kufanya hayo uliyoyaandika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi kama ni hivyo hao weusi wenzetu ndio walitutesa vilivyo
 
Nilikuuliza umeusoma ujamaa wa Ki marx , hujanijibu , nikakuambia CCM Haifuati kabisa umarxism Na umejibu kuwa wanashabihiana. Sasa niambie wanashabihiana katika nini ?

Halafu unaleta mambo ya ZNZ Na wanawake , kwani huelewi Kuwa ZNZ ilivamiwa Na Tanganyika kuanzia 1964. Na Tanganyika imeweka majeshi yake kila kipembe.
Ubaguzi uko wapi zaidi ya kudai Nchi yetu kutoka kwa mvamizi ? Na nyinyi ndio mnaotuulia ndugu zetu kuanzia nyinyi waislamu Ma Alhaaji Mahita , Mwinyi Na wengine

Yaani mapenzi yenu kwetu ni kutuuwa, kuwanajisi mama Na dada zetu , kututia vilema Na kutuwekea vibaraka viongozi Tu halafu unalalamika tunawabagua?
Ndugu yangu.

Kama nilivyotangulia kufafanua kabla. Ujamaa ni imani.

Kwa lugha ingini Ujamaa ni imani ya upagani ambayo siku kuu ya kwanza ni kutoamini uwepo wa Mungu.

Hivyo wanahamasisha zaidi mambo ya ushetani na kudidimiza masuala ya Mungu/dini.

Kwa urusi ya miaka hivyo ukristo ndio uliokandamizwa. Kwakuwa ndio uliokuwa unatawala.

Kwa tz jamii zinazolalamika kukandamizwa na ujamaa ni wahindi na waislam.

Ujamaa ni upagani nani ukafiri uliojipambanua.

Waznzr wanawake wanajeshi ambao kimsingi ni waislam kutokuwa na code ya mavazi maalum yenye stara na sawa na Uhuru wao wa kuabudu ni kwa kuwa Tz ni haichanganyi dini ktk kughuli zake za serikali.

Lkn ukifanya utafiti utagundua Luna ubaguzi na ukandamiza Fulani upo Tanzania uliojificha ktk dhana hii.

Kama nilivyosema kabla ktk tafiti zilizofanywa na taasisi zenye kutambuliwa; zinatanabahisha kuwa nchi nyingi kama si zote inazojipambanua hazina dini; zinapendelea dini moja na kukandamiza dini nyengine.

Kwa kuandamiza nguvu na thamani ya baadhi ya jamii zisikuwe na kuenea.

Ndio maana mikoa yenye waislam wengi imedumaa,

Si kwakuwa walishiriki kufanya uchafuzi znz kama ulivyochotwa na kutengenezwa akili yako.

Ccm iliamua kutumia jinamizi hili na Ujamaa na usekula ili kufififsha baadhi ya jamii.

Na msingi ya kutokuwa na dini kwakuwa Tz imetokama nadhania ya Ujamaa/Marxist kupitia Azimio la Arusha.

Huu ndio uhusiana wa ujamaa na umax/ukomunist.

UK ambayo inajipambanua kwa dhana ya Serikali jumuishi (diversity state) inaruhusu askari kutoka jamii za waislam, singasinga, wayahudi kuvaa mavazi au alama sawa na ibada za dini zao. Kwann tz iwe tatizo.

Sasa kutokana na athari ya ujamaa hata wewe ndugu yangu unashindwa kutambua adui yako aliyesababisha madhila kwa baadhi jamii zinazounda taifa la tz.

Madhila yenu hayajatokana na watanganyika. Kwa maana kuwa mtanganyika hakusababishi kumdhulumu mznz.

Bali madhila yenu yanatokana na mfumo na itikadi ya ujamaa ambayo kimsingi haiamini Mungu wala dini.

Ni itikadi inayofatwa na CCM na ACT kwa sasa.

Ni mfumo wa ubaguzi. Ambapo jamii moja (washiraz kwa mfano) wanaweza kubaguana kwasababu tu wamelishwa ujamaa.


Wajamaa hawajaathiri waznz pekee, wajamaa walilenga kuwaathiri jamii za waislam, waarabu na waasia.

Huku bara wamedhulumu majumba yanayofahamika Leo kama majumba ya msajilo, wamedhulumu mashule ambayo mengi yalikuwa ni ya waasia.

Miaka ya 90 ulitokea mgogoro mkubwa huku bara pale waislam waliposhinikiza wanafunzi wa kike waislam wavae hijab. Kwakuwa katiba inaruhusu Uhuru wa kuabudu. Serikali kwanza i ilipinga kuwa haiwezekani kutekeleza takwa hilo la kikatiba kwa kuwa tz haina dini.

OIC kule znz nayo ilipingwa si kwakuwa znz inatawaliwa na watnganyika, Bali kwa kuwa tz kuna jinamizi la kuwa haina dini.

Mifano iko mingi na sababu kuu kuna jinamizi linalolitwa tz haina dini.

Iliyotokana na nadharia na itikadi ya ujamaa/ usekula ambapo msingi wake ni ukomonist/Marxism.

Usiponielewa hapa ndugu ukaendela na msimamo wako Wewe utakuwa ni mjamaa halisi unaependa ubaguzi na matendo ya wapagani, mashetani kuliko undugu wa kiislam na watanganyika wengine walio wema
 
Ndugu yangu.

Kama nilivyotangulia kufafanua kabla. Ujamaa ni imani.

Kwa lugha ingini Ujamaa ni imani ya upagani ambayo siku kuu ya kwanza ni kutoamini uwepo wa Mungu.

Hivyo wanahamasisha zaidi mambo ya ushetani na kudidimiza masuala ya Mungu/dini.

Kwa urusi ya miaka hivyo ukristo ndio uliokandamizwa. Kwakuwa ndio uliokuwa unatawala.

Kwa tz jamii zinazolalamika kukandamizwa na ujamaa ni wahindi na waislam.

Ujamaa ni upagani nani ukafiri uliojipambanua.

Waznzr wanawake wanajeshi ambao kimsingi ni waislam kutokuwa na code ya mavazi maalum yenye stara na sawa na Uhuru wao wa kuabudu ni kwa kuwa Tz ni haichanganyi dini ktk kughuli zake za serikali.

Lkn ukifanya utafiti utagundua Luna ubaguzi na ukandamiza Fulani upo Tanzania uliojificha ktk dhana hii.

Kama nilivyosema kabla ktk tafiti zilizofanywa na taasisi zenye kutambuliwa; zinatanabahisha kuwa nchi nyingi kama si zote inazojipambanua hazina dini; zinapendelea dini moja na kukandamiza dini nyengine.

Kwa kuandamiza nguvu na thamani ya baadhi ya jamii zisikuwe na kuenea.

Ndio maana mikoa yenye waislam wengi imedumaa,

Si kwakuwa walishiriki kufanya uchafuzi znz kama ulivyochotwa na kutengenezwa akili yako.

Ccm iliamua kutumia jinamizi hili na Ujamaa na usekula ili kufififsha baadhi ya jamii.

Na msingi ya kutokuwa na dini kwakuwa Tz imetokama nadhania ya Ujamaa/Marxist kupitia Azimio la Arusha.

Huu ndio uhusiana wa ujamaa na umax/ukomunist.

UK ambayo inajipambanua kwa dhana ya Serikali jumuishi (diversity state) inaruhusu askari kutoka jamii za waislam, singasinga, wayahudi kuvaa mavazi au alama sawa na ibada za dini zao. Kwann tz iwe tatizo.

Sasa kutokana na athari ya ujamaa hata wewe ndugu yangu unashindwa kutambua adui yako aliyesababisha madhila kwa baadhi jamii zinazounda taifa la tz.

Madhila yenu hayajatokana na watanganyika. Kwa maana kuwa mtanganyika hakusababishi kumdhulumu mznz.

Bali madhila yenu yanatokana na mfumo na itikadi ya ujamaa ambayo kimsingi haiamini Mungu wala dini.

Ni itikadi inayofatwa na CCM na ACT kwa sasa.

Ni mfumo wa ubaguzi. Ambapo jamii moja (washiraz kwa mfano) wanaweza kubaguana kwasababu tu wamelishwa ujamaa.


Wajamaa hawajaathiri waznz pekee, wajamaa walilenga kuwaathiri jamii za waislam, waarabu na waasia.

Huku bara wamedhulumu majumba yanayofahamika Leo kama majumba ya msajilo, wamedhulumu mashule ambayo mengi yalikuwa ni ya waasia.

Miaka ya 90 ulitokea mgogoro mkubwa huku bara pale waislam waliposhinikiza wanafunzi wa kike waislam wavae hijab. Kwakuwa katiba inaruhusu Uhuru wa kuabudu. Serikali kwanza i ilipinga kuwa haiwezekani kutekeleza takwa hilo la kikatiba kwa kuwa tz haina dini.

OIC kule znz nayo ilipingwa si kwakuwa znz inatawaliwa na watnganyika, Bali kwa kuwa tz kuna jinamizi la kuwa haina dini.

Mifano iko mingi na sababu kuu kuna jinamizi linalolitwa tz haina dini.

Iliyotokana na nadharia na itikadi ya ujamaa/ usekula ambapo msingi wake ni ukomonist/Marxism.

Usiponielewa hapa ndugu ukaendela na msimamo wako Wewe utakuwa ni mjamaa halisi unaependa ubaguzi na matendo ya wapagani, mashetani kuliko undugu wa kiislam na watanganyika wengine walio wema

Ujamaa ni imani maneno hayo Si uliyasikia kwa Nyerere? Ndiyo nikakuuliza Ulisoma u Marx hujajibu bado ,
Nyerere ndiye kaanzisha u Marx ?

Huo u secular unajua ni kitu gani ? Ulisoma chuo gani ?
Undugu wa Kiislamu ndio huu wa kutuwekea majeshi huku Zanzibar kila kipembe Na ulifika uchaguzi kuja kutuuwa ?
Hujajibu hata moja?

Hao vibaraka mliowaweka Si ndio hujifanya kutaka IOC wapate kudanganya watu. Na wengine Si hawa Ma Alhaaji Mahita Na Kina Mwinyi wanaoua watu baadaye kujifanya kuingia misikitini ??
 
Ujamaa ni imani maneno hayo Si uliyasikia kwa Nyerere? Ndiyo nikakuuliza Ulisoma u Marx hujajibu bado ,
Nyerere ndiye kaanzisha u Marx ?

Huo u secular unajua ni kitu gani ? Ulisoma chuo gani ?
Undugu wa Kiislamu ndio huu wa kutuwekea majeshi huku Zanzibar kila kipembe Na ulifika uchaguzi kuja kutuuwa ?
Hujajibu hata moja?

Hao vibaraka mliowaweka Si ndio hujifanya kutaka IOC wapate kudanganya watu. Na wengine Si hawa Ma Alhaaji Mahita Na Kina Mwinyi wanaoua watu baadaye kujifanya kuingia misikitini ??
Nimesoma umarx ndugu, sijakurupuka.

Nyerere ameuleta ujamaa kwa kuucopy ukomonist kutoka urusi na China.

Usekula nimeufanyia tafiti na naendelea. Tunaweza kutofautiana kwa kuwa kwass dhana ya usekula ina maana mpya. Lkn original yake ni kukataa uwepo wa Mungu.

Niliandika kabla, tawala zote ulaya na arabuni ziliongozwa kwa misingi ya dini. Lkn kwa ulaya mambo yalibadilika sana. Maisha yaliwawia magumu huku viongozi wakiishi kwa starehe kupindukia. ndipo wakaanza kujiuliza huyu Mungu anawaona viongozi tu sisi hatuoni. ?!?? Matatizo yote hawa huyo Mungu kama yupo hayaoni.

Mwisho wakajitokoza kina lina Lenin, Marx na wengine kukanusha. Wakasema hatuhitaji tena serikali za kidini Bali wataanzisha serikali za kisekula. Kwa ufupi hii ndio historia ya usekula.

Nb: kwa kuifanyia utafiti dhana ya Usekula nina azma ya kufungua shauri mahakamani kwa kesi ya kikatiba. hoja ikiwa ni kuwa dhana kuwa taifa hili ni la kisekula linakinzana na sheria nyengine. Ile inatoyoa Uhuru wa watu kuabudu.

Na kwa kutumia jinamizi hili la usekula, watu wanakosa Uhuru wa kuabudu. Mfano hao dadazetu wa kiislam walioko jeshini.
 
Nimesoma umarx ndugu, sijakurupuka.

Nyerere ameuleta ujamaa kwa kuucopy ukomonist kutoka urusi na China.

Usekula nimeufanyia tafiti na naendelea. Tunaweza kutofautiana kwa kuwa kwass dhana ya usekula ina maana mpya. Lkn original yake ni kukataa uwepo wa Mungu.

Niliandika kabla, tawala zote ulaya na arabuni ziliongozwa kwa misingi ya dini. Lkn kwa ulaya mambo yalibadilika sana. Maisha yaliwawia magumu huku viongozi wakiishi kwa starehe kupindukia. ndipo wakaanza kujiuliza huyu Mungu anawaona viongozi tu sisi hatuoni. ?!?? Matatizo yote hawa huyo Mungu kama yupo hayaoni.

Mwisho wakajitokoza kina lina Lenin, Marx na wengine kukanusha. Wakasema hatuhitaji tena serikali za kidini Bali wataanzisha serikali za kisekula. Kwa ufupi hii ndio historia ya usekula.

Nb: kwa kuifanyia utafiti dhana ya Usekula nina azma ya kufungua shauri mahakamani kwa kesi ya kikatiba. hoja ikiwa ni kuwa dhana kuwa taifa hili ni la kisekula linakinzana na sheria nyengine. Ile inatoyoa Uhuru wa watu kuabudu.

Na kwa kutumia jinamizi hili la usekula, watu wanakosa Uhuru wa kuabudu. Mfano hao dadazetu wa kiislam walioko jeshini.

Umeusoma wapi umarx ? Jee a uliwahi kuishi nchi yoyote inayofuata u Marx nje ya Afrika ?

Umetuambia Nyerere amekopi umarx kutoka China Jee ni wapi alitamka au aliandika maneno hayo ??
Tafdhali lete ushahidi

Pia lete ushahidi wa usecular kupinga uwepo wa Mungu
Kwa maandishi ya kitabu kipi ??

Historia yako ya usecular umeitoa kitabu kipi ??
 
Kwa uvivu wenu wa kutokufanya kazi Yani nyie shukuruni sana Tanganyika mgekua Kama komoro tu mnashindia boflo
Samahani sijakulia sana mtaani una maanisha nini?

Ni mimi Mtanganyika mwenzako.
 
Elimu hata mleta mada anayo. Kibaya zaidi Ni Elimu ya dini.

Happ anachotafuta Ni kuwasafisha WAARABU ionekane walikuwa watu wema sana
Hawa mimi huwa nawashangaa sana! Ukiwakuta wapemba weupe ndiyo wanajiona waarabu kabisa. Hata ukiingia Msikitini utakuta wanajitenga wanakaa na waarabu ikiwa kama huo Msikiti una waarabu.

Walikuwa wananikera sana! Nikasema hawa manina hawanijui kama wanaringia weupe mimi mwenyewe nina rangi kama ya kwao niliwalia buyu mpaka wengine walisema najisikia.

Kama mmoja nilitamka karibu yake nikawaambia mnanikera sana. Hususani hawa waarabu koko.
 
Nafikiri kuna haja ya kuvunja muungano,
Hivi inamana wazanzibar akili zao ziko hivi???.
 
Umeusoma wapi umarx ? Jee a uliwahi kuishi nchi yoyote inayofuata u Marx nje ya Afrika ?

Umetuambia Nyerere amekopi umarx kutoka China Jee ni wapi alitamka au aliandika maneno hayo ??
Tafdhali lete ushahidi

Pia lete ushahidi wa usecular kupinga uwepo wa Mungu
Kwa maandishi ya kitabu kipi ??

Historia yako ya usecular umeitoa kitabu kipi ??
Napenda watu anaopenda kutafuta usahihi. Hata Mimi nipo ktk ulimwengu huo.

Nipo huru kusahihishwa pia kwa hoja ya nguvu.

Hata hivyo nitajieleza kujibu suali la tatu kwasasa. Kwani kutaka ushahidi iwapo mzee nyerere kabuni yeye mwenyewe mfumo wa ujamaa au alikocopy. Hilo sitokujibu. Kwakuwa huenda umezaliwa kipindi cha mwinyi au mkapa hivyo hats wazee mtaani kwako watakujibu. Waulize tu kwann znz kuna masalia wa wachina.
Kwann kuna uwanja wa Mao.
Kwann tz ktk vita baridi ilikuwa upande wa mashariki kwa vitendo.

Jibu la suali la tatu.
Ili (concept) iweze kukuingia ni muhimu kwanza ufahamu uhusiano kati ya dini na Mungu. Na kwamba kukataliwa kimoja wapo manake kingine pia hukataliwa.

dini ni imani ya kuwepo nguvu kuu. Anaekataa dini manake anakataa uwepo wa nguvu kuu.

Je Usecular unapinga uwepo wa Mungu?!?




 
Umeusoma wapi umarx ? Jee a uliwahi kuishi nchi yoyote inayofuata u Marx nje ya Afrika ?
Umarx nimeusoma.

Professional yangu nimesoma about Religion.

Sio Islamic religion but religion.

Hivyo so haba nafahamu misingi ya baadhi ya dini as a way of life.

Nimesoma pia njia za uchumi kwa mujibu wa Maxirst na Islam.

Ktk somo la political science. Lkn pia naendelea kusoma kupitia mitandao.

 
Hadi leo unyanyasaji unaendelea huko uarabuni.

Kuna watu wanajidai eti wana dini moja na waarabu hivyo wanapeleka mabinti zao kufanya kazi za ndani uarabuni.
Kinachowakuta huko Mungu ndiye anajua.Mmoja majuzi hapo alitolewa figo wakasingizia amekufa kwa ajali.
Wengi nanaingiliwa bila ridhaa zao na akipata ujauzito anauwawa kimya kimya,huku ndugu zake huku Afrika wakijua binti yao bado yu hai.
Ila tunavyojipendekeza kwa hawa viumbe,kwa kweli inasikitisha.
Ukiachana na historia ya kwenye vitabu, nimepata bahati ya kufika Zanzibar na kutembelea Soko la zamani la watumwa. . .niliyojifunza pale hakika nilisikitika, ndipo nilipoamini Waarabu (wa zama hizo) hawakuwa na utu kabisa, kuanzia kuwachukua watumwa bara na kisha kuwaleta Zanzibar,(enzi hizo bandari ipo Mangapwani) kuwafunga kwenye mti na kuwachapa mijeledi na mtumwa ambae halii ndio anaonekana mkakamavu...

kisha wanapelekwa mpaka sehemu ya kutunzia watumwa (ipo mpaka leo) ambako wanafungiwa kwa siku 3 bila chakula wala maji!!!,(kumbuka minyororo mizito bado mmefungiwa nayo mikononi, miguuni na shingoni) kisha ndio mnatolewa ambao atakutwa amekufa anatupwa na waliobaki wanaenda kuuzwa.

Ikitokea katika kundi la watumwa wa kike wanaouzwa tajiri akitaka “kuonja" alikuwa anachagua mmoja na kumfanyia hiko kitendo hapo hapo hadharani. (kama ambavyo mnafahamu wanaume tulivyo , mwenzako akifanya kitu nawe unataka kufanya, mfano katika kundi mmojà akisogea pembeni na kufungua zipu ili achimbe dawa utakuta wawili watatu wanaungana naye kufanya hivyo, hata walipokuwa wanatwaa mtumwa mmoja wa kike na kumfanyia ushenzi, basi wengine nao waliungana kufanya ufedhuli huo kwa wengine kwenye kundi hilo)

Watumwa waliteswa sana, sana , sana!!! na hao waarabu ambao leo hii watoto wao tunaishi nao kwa amani.

Cha kusikitisha zaidi ni kitendo cha kuwahasi watumwa kiume waliosafirishwa kwenda Arabuni( walienda maelfu lakini mpaka leo hii jiulize kwanini hakuna masalia ya weusi kama sio ukatili wa waarabu ambao waliwahasi bila taratibu za kitabibu, yaani wanakata hizo gololi kisha unapakwa chumvi nyingi, na kutokana na kuvuja damu nyingi wengi walikufa, wachache waliobahatika kupona waliuzwa arabuni kwa hela nyingi, walivyoona wakubwa wanakufa sana basi wakawa wanawahasi watoto).

Bado ambao walikataa utumwa na kuleta uasi njiani waligeuzwa na kuf**lwa mbele ya watoto na wanawake, ili kuwafanya wajisikie majuto, na hata walivyokuwa wanasafiri na majahazi ilikuwa ni desturi ya waarabu kuwachukua watumwa wa kiume na kuwageuza ili kukidhi haja zao.

hivi vyote vilifanyika na historia ipo fika Zanzibar au hata Bagamoyo soko la watumwa uone historia, picha na vithibitisho vingine kuhusu ufedhuli huo waliofanyiwa mababu zetu (leo hii tunacheka nao hakika mababu zetu wakifufuka watasikitika sana).

Dini hizi hizi tulizoletewa tunafundishwa kusamehe waliotukosea, ilhali waliotuletea hizo dini walitufanyia ukatili huku tukishuhudia nasi tunachekelea kama mazombi. Tuishi kwa amani, tupendane na tusonge mbele tukitaka kuleta habari za historia na tuzibebe chuki za mababu zetu basi tutachukiana daima na tutauana.

Japo Muingereza alikomesha utumwa wa waarabu lakini naye alitesa manamba mashambani, Mbelgiji aliua watu wengi kongo, na mkaburu aliangamiza vizazi Afrika kusini, Huu ushenzi tuliofanyiwa waafrika ni mkubwa lakini tumesamehe na tuishi kwa amani bila kubaguana ila!!, nasisitiza tena ila tusisahau na tuwaeleze vizazi vilivyopo na vijavyo namna ambavyo mababu zao walipitia mateso makubwa ya wadhalimu waliokuja ili kutimiza haja za nafsi zao.
 
Kuf.rw na kubadilishwa jina kipi nafuu
Kwa akili yako unadhani Biashara ya utumwa Duniani ilifanywa na waarabu pekee?
Wale watumwa black Americans kutoka West Africa kwenda America walipelekwa na waarabu?
Tena wazungu walivyowadharau waafrika mpaka walikuwa wakiwabadilisha surnames zao kuwa za kwao mpaka wamepoteza uasili na majina yao ya kiafrika. Unakuta mtu anaitwa Lebron James, Michael Jackson, Chris Curter, Mike Tyson.. etc ila ni Pure African..!
 
Ukiachana na historia ya kwenye vitabu, nimepata bahati ya kufika Zanzibar na kutembelea Soko la zamani la watumwa. . .niliyojifunza pale hakika nilisikitika, ndipo nilipoamini Waarabu (wa zama hizo) hawakuwa na utu kabisa, kuanzia kuwachukua watumwa bara na kisha kuwaleta Zanzibar,(enzi hizo bandari ipo Mangapwani) kuwafunga kwenye mti na kuwachapa mijeledi na mtumwa ambae halii ndio anaonekana mkakamavu...

kisha wanapelekwa mpaka sehemu ya kutunzia watumwa (ipo mpaka leo) ambako wanafungiwa kwa siku 3 bila chakula wala maji!!!,(kumbuka minyororo mizito bado mmefungiwa nayo mikononi, miguuni na shingoni) kisha ndio mnatolewa ambao atakutwa amekufa anatupwa na waliobaki wanaenda kuuzwa.

Ikitokea katika kundi la watumwa wa kike wanaouzwa tajiri akitaka “kuonja" alikuwa anachagua mmoja na kumfanyia hiko kitendo hapo hapo hadharani. (kama ambavyo mnafahamu wanaume tulivyo , mwenzako akifanya kitu nawe unataka kufanya, mfano katika kundi mmojà akisogea pembeni na kufungua zipu ili achimbe dawa utakuta wawili watatu wanaungana naye kufanya hivyo, hata walipokuwa wanatwaa mtumwa mmoja wa kike na kumfanyia ushenzi, basi wengine nao waliungana kufanya ufedhuli huo kwa wengine kwenye kundi hilo)

Watumwa waliteswa sana, sana , sana!!! na hao waarabu ambao leo hii watoto wao tunaishi nao kwa amani.

Cha kusikitisha zaidi ni kitendo cha kuwahasi watumwa kiume waliosafirishwa kwenda Arabuni( walienda maelfu lakini mpaka leo hii jiulize kwanini hakuna masalia ya weusi kama sio ukatili wa waarabu ambao waliwahasi bila taratibu za kitabibu, yaani wanakata hizo gololi kisha unapakwa chumvi nyingi, na kutokana na kuvuja damu nyingi wengi walikufa, wachache waliobahatika kupona waliuzwa arabuni kwa hela nyingi, walivyoona wakubwa wanakufa sana basi wakawa wanawahasi watoto).

Bado ambao walikataa utumwa na kuleta uasi njiani waligeuzwa na kuf**lwa mbele ya watoto na wanawake, ili kuwafanya wajisikie majuto, na hata walivyokuwa wanasafiri na majahazi ilikuwa ni desturi ya waarabu kuwachukua watumwa wa kiume na kuwageuza ili kukidhi haja zao.

hivi vyote vilifanyika na historia ipo fika Zanzibar au hata Bagamoyo soko la watumwa uone historia, picha na vithibitisho vingine kuhusu ufedhuli huo waliofanyiwa mababu zetu (leo hii tunacheka nao hakika mababu zetu wakifufuka watasikitika sana).

Dini hizi hizi tulizoletewa tunafundishwa kusamehe waliotukosea, ilhali waliotuletea hizo dini walitufanyia ukatili huku tukishuhudia nasi tunachekelea kama mazombi. Tuishi kwa amani, tupendane na tusonge mbele tukitaka kuleta habari za historia na tuzibebe chuki za mababu zetu basi tutachukiana daima na tutauana.

Japo Muingereza alikomesha utumwa wa waarabu lakini naye alitesa manamba mashambani, Mbelgiji aliua watu wengi kongo, na mkaburu aliangamiza vizazi Afrika kusini, Huu ushenzi tuliofanyiwa waafrika ni mkubwa lakini tumesamehe na tuishi kwa amani bila kubaguana ila!!, nasisitiza tena ila tusisahau na tuwaeleze vizazi vilivyopo na vijavyo namna ambavyo mababu zao walipitia mateso makubwa ya wadhalimu waliokuja ili kutimiza haja za nafsi zao.
Sasa hivi tuna Mwarabu mweusi anaitwa CCM.
 
Iraq sio waarabu.
Na historia ya Iraq mtu wa kwanza kujenga ufame mkubwa alikuwa mtu mweusi maarufu kama Nimrod.

Waarabu wako uarabuni.
Aliyekudanganya uarabuni hakuna masalia wa kiafrika ni nani? Umewahi kufika Iraq?
 
Back
Top Bottom