pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Utakuwa mwanga,
Na ukizeeka utakuwa mchawi
Na ukizeeka utakuwa mchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanunua kitu cha laki tisa unapewa risiti ya laki 4 tena niyakusindikizia mzigo, unapofika home, unarudisha risiti maana kuna kijana unakuwa umepewa ili akaichukuwe.
Kwa maoni yangu mfumo wa zamani wa risiti urudishwe ispokuwa maduka yote Kariakoo nzima yafanyiwe sensa maalumu yajulikane, pili yote yapatiwe namba maalumu(unique) utambukisho wa mmiliki wa duka pamoja na kitambulisho chake uraia
Ikibidi GPS ya eneo la duka and then serekali urudishe utaratibu wa ukadiriaji kwa awamu 4 kwa mwaka, nikiwa naamini hakuna duka ambalo litakadiriwa chini ya million 6 kwa mwaka, it should be 6 ml, and above, infact to 20ml P.A Kwa akili za wafanyabiashara wa kariakoo ndilo litakuwa jibu sahihi unless otherwise ni shida they are so tricky!
Maduka haya yakishaingizwa kwenye database na faini zikawa nzito kwa mcheleweshaji zikiambatana na vifungo na kutafutwa na vyombo vya doll kwa watakaojaribu kukwepa itasaidia sana kwa mtazamo wangu kwa jinsi nilivyoiona hali halisi.
WASALAAM.
N. B, Mashine hizi ni nzuri sana lakini ni nzuri kwa jamii iliyostaarabika.
Mimi ni mmoja katika 5 millions purchasers, nilichotaka kueleza hapa ni njia nzuri na Bora ya kusaidia nchi yetu kwa ujumla wake maana kuna na godawn humohumo ambayo yanauza as if ni maduka and so many #shits undergoes!..Tuanze na wewe unayepewa risiti ya laki 4 badala ya laki 9, na tena unairudisha akapewe mwingine kusindikizia mzigo wake..!!! Kwanini usitoe taarifa panapohusika?
Hapana ndugu ndio maana nimetoa na mapendekezo ya ukadiriaji yarudishwe yenye fiscal addressee!, GPS na CODE NUMBER.Utakuwa mwanga,
Na ukizeeka utakuwa mchawi
Kwanini ukubali kupewa risiti ya laki nne na umetoa laki tisa? Yaani uache kumdai mwenye duka kitu ambacho ni haki yako unakuja kulia JF? Why haki yako ya risiti uione ni fadhila? Watanzania mtakua watu wa hovyo mpaka lini?Unanunua kitu cha laki tisa unapewa risiti ya laki 4 tena niyakusindikizia mzigo, unapofika home, unarudisha risiti maana kuna kijana unakuwa umepewa ili akaichukuwe.
Kwa maoni yangu mfumo wa zamani wa risiti urudishwe ispokuwa maduka yote Kariakoo nzima yafanyiwe sensa maalumu yajulikane, pili yote yapatiwe namba maalumu(unique) utambukisho wa mmiliki wa duka pamoja na kitambulisho chake uraia
Ikibidi GPS ya eneo la duka and then serekali urudishe utaratibu wa ukadiriaji kwa awamu 4 kwa mwaka, nikiwa naamini hakuna duka ambalo litakadiriwa chini ya million 6 kwa mwaka, it should be 6 ml, and above, infact to 20ml P.A Kwa akili za wafanyabiashara wa kariakoo ndilo litakuwa jibu sahihi unless otherwise ni shida they are so tricky!
Maduka haya yakishaingizwa kwenye database na faini zikawa nzito kwa mcheleweshaji zikiambatana na vifungo na kutafutwa na vyombo vya doll kwa watakaojaribu kukwepa itasaidia sana kwa mtazamo wangu kwa jinsi nilivyoiona hali halisi.
WASALAAM.
N. B, Mashine hizi ni nzuri sana lakini ni nzuri kwa jamii iliyostaarabika.
Investigative issues, that's why has been here for general solutions, am one in a millions, businessmen always intend on getting highly beyond.Kwanini ukubali kupewa risiti ya laki nne na umetoa laki tisa? Yaani uache kumdai mwenye duka kitu ambacho ni haki yako unakuja kulia JF? Why haki yako ya risiti uione ni fadhila? Watanzania mtakua watu wa hovyo mpaka lini?
Huna lolote.Investigative issues, that's why has been here for general solutions, am one in a millions, businessmen always intend on getting highly beyond.
Kumbe hujawahi kufanya biashara? Pamoja na kupewa/ kuwa na EFD ukadiriaji na malipo ya robo ya kila mwaka upo pale pale. EFD itatumika kujua mauzo yako kama yamezidi makadirio uongeze kilichopungua. Na ikipungua makadirio 'hurudishiwi'Unanunua kitu cha laki tisa unapewa risiti ya laki 4 tena niyakusindikizia mzigo, unapofika home, unarudisha risiti maana kuna kijana unakuwa umepewa ili akaichukuwe.
Kwa maoni yangu mfumo wa zamani wa risiti urudishwe ispokuwa maduka yote Kariakoo nzima yafanyiwe sensa maalumu yajulikane, pili yote yapatiwe namba maalumu(unique) utambukisho wa mmiliki wa duka pamoja na kitambulisho chake uraia
Ikibidi GPS ya eneo la duka and then serekali urudishe utaratibu wa ukadiriaji kwa awamu 4 kwa mwaka, nikiwa naamini hakuna duka ambalo litakadiriwa chini ya million 6 kwa mwaka, it should be 6 ml, and above, infact to 20ml P.A Kwa akili za wafanyabiashara wa kariakoo ndilo litakuwa jibu sahihi unless otherwise ni shida they are so tricky!
Maduka haya yakishaingizwa kwenye database na faini zikawa nzito kwa mcheleweshaji zikiambatana na vifungo na kutafutwa na vyombo vya doll kwa watakaojaribu kukwepa itasaidia sana kwa mtazamo wangu kwa jinsi nilivyoiona hali halisi.
WASALAAM.
N. B, Mashine hizi ni nzuri sana lakini ni nzuri kwa jamii iliyostaarabika.
Kwenye umasikini Hakuna uzalendoHiii ndiyo maana halisi ya neno uzalendo.
Huwezi control KILA kitu vingine ni vya kuacha vitajibalance vyenyewe kwenye mzunguko wa uchumi.Anaweza akauza kama godown then kodi akaja kulipa kwenye aina nyingine ya mzungukoMimi ni mmoja katika 5 millions purchasers, nilichotaka kueleza hapa ni njia nzuri na Bora ya kusaidia nchi yetu kwa ujumla wake maana kuna na godawn humohumo ambayo yanauza as if ni maduka and so many #shits undergoes!..
Pia amesahau wakati vinaingia bandarini vilisha lipiwa kodi.Ushauri mzuri,ila tatizo unagusa maslahi ya watu...
Wewe ndio umekwepa kodi, hadi unapewa kijana wa kurudi na risiti ulilazimishwa kununua bidhaa hilo duka?Unanunua kitu cha laki tisa unapewa risiti ya laki 4 tena niyakusindikizia mzigo, unapofika home, unarudisha risiti maana kuna kijana unakuwa umepewa ili akaichukuwe.
Kwa maoni yangu mfumo wa zamani wa risiti urudishwe ispokuwa maduka yote Kariakoo nzima yafanyiwe sensa maalumu yajulikane, pili yote yapatiwe namba maalumu(unique) utambukisho wa mmiliki wa duka pamoja na kitambulisho chake uraia
Ikibidi GPS ya eneo la duka and then serekali urudishe utaratibu wa ukadiriaji kwa awamu 4 kwa mwaka, nikiwa naamini hakuna duka ambalo litakadiriwa chini ya million 6 kwa mwaka, it should be 6 ml, and above, infact to 20ml P.A Kwa akili za wafanyabiashara wa kariakoo ndilo litakuwa jibu sahihi unless otherwise ni shida they are so tricky!
Maduka haya yakishaingizwa kwenye database na faini zikawa nzito kwa mcheleweshaji zikiambatana na vifungo na kutafutwa na vyombo vya doll kwa watakaojaribu kukwepa itasaidia sana kwa mtazamo wangu kwa jinsi nilivyoiona hali halisi.
WASALAAM.
N. B, Mashine hizi ni nzuri sana lakini ni nzuri kwa jamii iliyostaarabika.
Hizi Mashine za EFD zinaweza fanya kazi yake inayokusudiwa 100%. Na kuleta matokeo Chanya yanayotakiwa na Serikali yetu. Ila Kuna System inatakiwa Serikali hiifanye kwa wafanya biashara wote nchi nzima kama walivyofanya South Africa na India ! Uza kitu cha 1M toa risit ya Laki mbili au ata Bure System inadai kodi ya 1M sale Value.TRA awana washauri wazuri wa IT wanaoweza kuja na mwarobaini wa hili, japo Solution ipo miaka mingi tuUnanunua kitu cha laki tisa unapewa risiti ya laki 4 tena niyakusindikizia mzigo, unapofika home, unarudisha risiti maana kuna kijana unakuwa umepewa ili akaichukuwe.
Kwa maoni yangu mfumo wa zamani wa risiti urudishwe ispokuwa maduka yote Kariakoo nzima yafanyiwe sensa maalumu yajulikane, pili yote yapatiwe namba maalumu(unique) utambukisho wa mmiliki wa duka pamoja na kitambulisho chake uraia
Ikibidi GPS ya eneo la duka and then serekali urudishe utaratibu wa ukadiriaji kwa awamu 4 kwa mwaka, nikiwa naamini hakuna duka ambalo litakadiriwa chini ya million 6 kwa mwaka, it should be 6 ml, and above, infact to 20ml P.A Kwa akili za wafanyabiashara wa kariakoo ndilo litakuwa jibu sahihi unless otherwise ni shida they are so tricky!
Maduka haya yakishaingizwa kwenye database na faini zikawa nzito kwa mcheleweshaji zikiambatana na vifungo na kutafutwa na vyombo vya doll kwa watakaojaribu kukwepa itasaidia sana kwa mtazamo wangu kwa jinsi nilivyoiona hali halisi.
WASALAAM.
N. B, Mashine hizi ni nzuri sana lakini ni nzuri kwa jamii iliyostaarabika.
Jiulize wewe ungekuwa mTRA alafu ukakomalia mzigo kumbe ni WA wale waarabu partiners wake na Msoga gang au maCCM wengine, unajua Nini kitatokea kwenye kibarua chako? Utamuhadithia hadi mama mkweTRA waweke doria kwenye malango ya kuingilia na kutokea Kariakoo na waende kwenye vijiwe vya kupakilia mizigo hasa kidongo chekundu...waache kula AC watoke ofisini. Nchi inajengwa kwa kodi mbona wafanyikazi wanalipa kodi
Kama wewe unavyoshangilia nchi yetu kupewa misaada ya kujengewa vyoo na maboksi ya kondom huku mapato yetu yanatosha kununua vitu hivyo!Utakuwa mwanga,
Na ukizeeka utakuwa mchawi