DOKEZO Ukwepaji kodi kupitia EFD ni mkubwa kweli mpaka nimeona uchungu Kariakoo leo

DOKEZO Ukwepaji kodi kupitia EFD ni mkubwa kweli mpaka nimeona uchungu Kariakoo leo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hao watu kazi zao ni Nini?
Kwanini wasiingie mtaani kutafuta hayo maduka?
Sasa kama imetokea hivyo kwanini usingeripoti TRA, POLISI AU TAKUKURU? Hufahamu unapokaa kimya unashiriki kuhujumu uchumi?
 
KWA MTAZAMO WAKO, PESA ZOTE ZA MAKUSANYO ZINAZOENDA SERIKALINI ZINAFANYA MATUMIZI SAHIHI?
NCHI YENYEWE IMEOZA NA KUSHINDWA KUSIMAMIA PESA ZA WANANCHI, SERIKALI YENYEWE IMEKUWA IKISHUHUDIA KAMPUNI KUBWA ZENYE MAJINA WAKIKWEPA KODI KWA KUBADILI MAJINA.
KILA MTU ALE KWA KAMBA YAKE HATA UKIFANYA INVYOSTAHILI ITASAIDIA NINI.
NB: TOZO TUNAZOTOZWA ZINAENDA WAPI, NO TRANSIPARENCY LAZIMA MAMBO KAMA UKWEPAJI KODI YAENDELEEE MANA SERIKALI YENYEWE INASIRI ZA MATUMIZI YAKE
 
Biashara ambayo inahusisha wachaga kwa asilimia kubwa tegemea sarakasi za kutosha ndani yake.
TRA siku hizi hawakamati wale wabeba mizigo kwa maguta au mikokoteni kwasababu unakuta ana lundo la risiti kama za mil 30 anamuambia chagua mwenyewe risiti unayotaka
 
Kama zinaenda kupigwa kwann nao wasipige. Tena ripoti ya CAG ya mwaka ndo itakuwa hovyo zaidi kwa upigaji ukizingatia wapigaji wa mwaka uliopita awakuchukuliwa hatua.
watu wanalipa mikodi, mitozo, at the end of the day, wengine ndiyo wananunua ma V8 badala ya kujenga shule, na kuajiri madaktari!
 
Unanunua kitu cha laki tisa unapewa risiti ya laki 4 tena niyakusindikizia mzigo, unapofika home, unarudisha risiti maana kuna kijana unakuwa umepewa ili akaichukuwe.

Kwa maoni yangu mfumo wa zamani wa risiti urudishwe ispokuwa maduka yote Kariakoo nzima yafanyiwe sensa maalumu yajulikane, pili yote yapatiwe namba maalumu(unique) utambukisho wa mmiliki wa duka pamoja na kitambulisho chake uraia

Ikibidi GPS ya eneo la duka and then serekali urudishe utaratibu wa ukadiriaji kwa awamu 4 kwa mwaka, nikiwa naamini hakuna duka ambalo litakadiriwa chini ya million 6 kwa mwaka, it should be 6 ml, and above, infact to 20ml P.A Kwa akili za wafanyabiashara wa kariakoo ndilo litakuwa jibu sahihi unless otherwise ni shida they are so tricky!

Maduka haya yakishaingizwa kwenye database na faini zikawa nzito kwa mcheleweshaji zikiambatana na vifungo na kutafutwa na vyombo vya doll kwa watakaojaribu kukwepa itasaidia sana kwa mtazamo wangu kwa jinsi nilivyoiona hali halisi.

WASALAAM.
N. B, Mashine hizi ni nzuri sana lakini ni nzuri kwa jamii iliyostaarabika.
Niseme kidogo. Suala la kodi kwa wafanyabishara kariakoo ni changamoto ya muda mrefu na kibaya wanasiasa wetu huwa hawapendi kulisikia kabisa. Ningemshauri comrade Dkt Mwigulu atumie watu njia ya kupeleleza kupitia watu fulani wamkusanyie maoni, suluhisho laweza kupatikana kiasi kwamba serikali ikaondoa kabisa usumbufu both kwa serikali na wafanyabiashara.
 
Biashara ambayo inahusisha wachaga kwa asilimia kubwa tegemea sarakasi za kutosha ndani yake.
TRA siku hizi hawakamati wale wabeba mizigo kwa maguta au mikokoteni kwasababu unakuta ana lundo la risiti kama za mil 30 anamuambia chagua mwenyewe risiti unayotaka
Unakosea wachaga siyo wezi kabisa ila mifumo ya kodi haijakaa sawa kabisa
 
Uoni wangu ni kuwa maduka yafanyiwe sensa yajulikane yatambuliwe kwa categories zake, magodawn vilevile, wapewe namba za utambulisho maalumu zitakazoendana na kutambulisho cha NIDA, na pahala mfanyabiashara alipo, na GPS ya duka husika, wakadiriwe kodi kutoka kwenye records zao, itengenezwe alert signal database ili kufuatilia mienendo ya ulipaji na kurahisisha ufuatiliaji wafanyabiashara on specific point, na watu wawe huru kufanya biashara.
 
Hii ishu ya kodi Serikali iangalie vizuri kwanini watu hawataki kulipa?

Viongozi wanaishi maisha ya anasa kwa jasho la maskini nani atakuwa tayari kulipa kodi kwa ajili ya starehe za watu wengine?

Kwenye kodi bado ukusanyaji itakuwa shida sana labda viongozi wawe fair vinginevyo kila mmoja atapiga kwa nafasi yake na mwenye upenyo wa kukwepa kodi atakwepa tu
 
Niseme kidogo. Suala la kodi kwa wafanyabishara kariakoo ni changamoto ya muda mrefu na kibaya wanasiasa wetu huwa hawapendi kulisikia kabisa. Ningemshauri comrade Dkt Mwigulu atumie watu njia ya kupeleleza kupitia watu fulani wamkusanyie maoni, suluhisho laweza kupatikana kiasi kwamba serikali ikaondoa kabisa usumbufu both kwa serikali na wafanyabiashara.
Kwani ye analipa kodi au ana usafi gani hadi aanze kusafisha kwa majirani.
Kwani tozo na mikopo inafanya kazi gani.
 
Kabla ya ushauri wako kufanyiwa Kazi wawashughulikie kwanza wezi wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG iliyopita
Mla Mla leo mla jana kala nini, tusonge na mapya yajayo zaidi...!, tuiboreshe mbele yetu zaidi
 
Kodi ndo hizi zinazoenda tumika kuzurura hovyo
Eti mtu analalamika watu wachache
 
Unanunua kitu cha laki tisa unapewa risiti ya laki 4 tena niyakusindikizia mzigo, unapofika home, unarudisha risiti maana kuna kijana unakuwa umepewa ili akaichukuwe.

Kwa maoni yangu mfumo wa zamani wa risiti urudishwe ispokuwa maduka yote Kariakoo nzima yafanyiwe sensa maalumu yajulikane, pili yote yapatiwe namba maalumu(unique) utambukisho wa mmiliki wa duka pamoja na kitambulisho chake uraia

Ikibidi GPS ya eneo la duka and then serekali urudishe utaratibu wa ukadiriaji kwa awamu 4 kwa mwaka, nikiwa naamini hakuna duka ambalo litakadiriwa chini ya million 6 kwa mwaka, it should be 6 ml, and above, infact to 20ml P.A Kwa akili za wafanyabiashara wa kariakoo ndilo litakuwa jibu sahihi unless otherwise ni shida they are so tricky!

Maduka haya yakishaingizwa kwenye database na faini zikawa nzito kwa mcheleweshaji zikiambatana na vifungo na kutafutwa na vyombo vya doll kwa watakaojaribu kukwepa itasaidia sana kwa mtazamo wangu kwa jinsi nilivyoiona hali halisi.

WASALAAM.
N. B, Mashine hizi ni nzuri sana lakini ni nzuri kwa jamii iliyostaarabika.
Hata wezi TRA wameongezeka mara dufu serikali Awamu ya sita ndani ya awamu ya tano.
 
Back
Top Bottom