Binafsi nilinunua bidhaa nikaomba risiti bidhaa ya laki3 akakomaa kunipa risiti ya laki na 60 nikagoma nae akagoma kuniuzia cha ajabu nikazunguka maduka zaidi ya kumi mchezo ni uleule risiti itofautiane na hela niliyolipa, nikajikuta nachoka kuzunguka ikabidi nikubali tu, ninachoshangaa hawa tra wanashindwa vipi kukamata wakati ishu ziko wazi zaidi ya nyeti za mbuzi?Kwanini ukubali kupewa risiti ya laki nne na umetoa laki tisa? Yaani uache kumdai mwenye duka kitu ambacho ni haki yako unakuja kulia JF? Why haki yako ya risiti uione ni fadhila? Watanzania mtakua watu wa hovyo mpaka lini?
Wrong informed ndg / elewa hivyo. Aliyenipa taarifa hakuwa mkweli, amini hivyo.Acha uzandiki broo, uliyoandika mwanzo ndio ukweli halisi tena ni tz nzima sio kariakoo pekee, unapata faida gani kutetea wakwepa kodi?
HapanaUnajitafutia kitengo nini mkuu
Umetishwa tayari😂Wrong informed ndg / elewa hivyo. Aliyenipa taarifa hakuwa mkweli, amini hivyo.
Sijatishwa nilikurupuka sikudadavua kwa kina, hatimaye nimegundua mtoa taarifa hakuwa mkweli na suala hili HALIPO. ILIKUWA FURAHISHA GENGE. (THIS IS A FAKE NEWS VOID)Umetishwa tayari😂
Na sisi tunaohitaji kuzurura na helicopter wanataka kuturudisha kwenye v8.Halafu mnataka maji,barabara,umeme na kadhalika bila kulipa kodi,we nawe mhujumu uchumi tuu.Umetoa laki 9 unapewa risiti ya laki 4 mmh
TANGAZO LITAWAFIKIA WATANZANIA WENGI KWELI KWA NJIA HII NDOGO KWELI YA AKILI MINGI,JUU YA SENSA.Ma GT naona mnapuyanga tu. Huyo lengo lake ni kuhamasisha SENSA ameamua kutumia heading ya kuvuta watu tu hapo.
Ukweli serikali inaibiwa sana kwenye kodi, muuza duka anakueleza nauza kwa hii ila kama unataka risiti bei yake na hii. Mara nyingi watu hependa ile bila risti eti kwa sababu ya bei chini ingawa tofauti si kubwa sana. Na sisi tunachangia kuibia serikali. Huenda ingepata pesa nyingi zaidi kwa maendeleo ya nchi yetuAm very sorry, I was misled the information written were not true, tuzipuuze kwani hazina ukweli wowote and am sorry endapo kama thread hii imepelekea kuleta usumbufu wowote, infact all that written here are not truly.
N. B, :TUJITAYARISHE KWA SENSA AMBAYO ITAFANYIKA TAREHE 23 MWEZI HUU WA NANE, AIDHA TUACHE KUMBUKUMBU NA VIELELEZO SAHIHI KWA AJILI YA SENSA,
Tarehe za watoto za kuzaliwa, idadi kamili na halisi ya wanafamilia.
THANK YOU ALL,
KUOMBANA RADHI NDIO UUNGWANA WA KITANZANIA.
Umuhimu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Umuhimu wa kipekee wa Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 ni pamoja na:-
"EWE MTANZANIA , JIANDAE KUHESABIWA"
- Kuisadia Serikali kupata taarifa za msingi zitakazosaidia mchakato wa utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya mwaka 2025, mageuzi ya masuala ya afya na jamii, pamoja na ufuatiliaji wa ajenda za maendeleo za kimataifa;
- Taarifa za idadi ya watu husaidia katika mamlaka za wilaya katika utekelezaji wa mipango ya maendeleo ambayo huakisi matakwa ya watu katika ngazi husika na kusaidia kwenye uwiano wa mgawanyo wa rasilimali;
- Taarifa za msingi za hali ya kidemografia, kijamii na kiuchumi za idadi ya watu na makazi za mipango katika ngazi zote;
- Kigawio katika kukokotoa viashiria vingine mfano Pato la mtu mmoja mmoja, Pato la Taifa, Ajira na ukosefu wa Ajira na kiwango cha uandikishaji wa wanafunzi;
- Taarifa itakayowezesha serikali kujua ongezeko la idadi ya watu, kwa mgawanyo na viashiria vingine, ambavyo ni muhimu kwa usimamizi wa mazingira; na
- Msingi wa utawala bora na ujumuishaji wa demokrasia. Takwimu sahihi za Sensa zinahitajika kwa ajili ya ugawaji wa majimbo ya uchaguzi kwa ufanisi, kurekebisha mipaka ya kiutawala katika serikali za mitaa.
Sio awamu ya Sasa awamu zote tu viongozi kodi zetu wamezitafunaKama kodi zinavyochezewa na viongozi wa awamu ya sasa.Na wafanyabiashara nao wanahaki ya kukwepa kodi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ripoti matukio ya aina hii haraka sana ndugu, tuwe wazalendo, ingawa lengo la uzi huu ilikuwa ku spin watu Waone umuhimu wa sansa kwa taifa letu.Ukweli serikali inaibiwa sana kwenye kodi, muuza duka anakueleza nauza kwa hii ila kama unataka risiti bei yake na hii. Mara nyingi watu hependa ile bila risti eti kwa sababu ya bei chini ingawa tofauti si kubwa sana. Na sisi tunachangia kuibia serikali. Huenda ingepata pesa nyingi zaidi kwa maendeleo ya nchi yetu
[emoji3] [emoji3] Nishawai kukaza hivo kariakoo kuwa pesa iandikiwe yote mbona nili Sanda kila duka wanasema kama ndo hivo basi kanunue sehemu nyingine... Wafanyabiashara wa kariakoo ni manunda na wanakujibu kana kwamba Hawana hata haja na hiyo hela yakoAta ww unaekubali upewe risiti ya laki 4 ni MZEMBE ...mm huwa nakomaa nawaamniagankabisa risiti isome pesa niliyo lipa na huwa sirudishigi mm ... Huwa nakuwaga bandidu kweli kweli
Abee