SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Kumekuwepo na madai kuwa ulaji wa ugali hudumaza akili. Madai haya yana ukweli kiasi gani?

02692B18-05FE-4851-857F-7A5DA6E174CD.jpeg
 
Tunachokijua
Ugali ni chakula kinachotumika sana Kusini mwa Jangwa la Sahara. Kwa mujibu wa utafiti wa Onu Okpa et al (2019), “Sub-Saharan African Maize-Based Foods - Processing Practices, Challenges and Opportunities” mahindi huchangia 30% ya nishati za vyakula wanavyotumia watu wa ukanda huu kila siku.

Kwa mujibu wa utafiti huu, kila mtu anayepatikana Kusini mwa Jangwa la Sahara hutumia wastani wa kati ya gramu 52-450 za mahindi kwa siku. Ni chanzo kikuu cha ugali unaotumika kila siku kwenye nchi hizi. Kwa Tanzania, 64% ya wananchi wake hula chakula hiki walau mara 5-7 kwa wiki.

Takwimu hizi zinaonesha kuwa ugali ni chakula kinachotumika sana, pengine kuliko aina nyingine za vyakula. Baadhi ya watu huutengeneza kwa kutumia unga wa mhogo, mtama, ulezi pamoja na aina zingine za nafaka.

Bila kujali tofauti ndogo za mgawanyiko wa virutubisho, nafaka zote husifika kwa kuwa na kiasi kikubwa cha nishati na wanga, pia kiasi kidogo cha madini na vitamini muhimu kwa afya.

Kuhusishwa na udumavu wa akili
Kitaalamu, udumavu wa akili husababishwa mambo mengi ikiwemo baadhi ya changamoto za kijenetiki mfano Down’s syndrome, kukosa hewa ya kutosha wakati wa kuzaliwa, maambukizi makali ya homa ya uti wa mgongo, utapiamlo, matumizi ya baadhi ya madawa na pombe wakati wa ujauzito pamoja na sababu zingine siziso wazi sana.

Kwa kurejea mgawanyiko wa virutubusho vinavyopatikana kwenye nafaka zinazotumika kutengenezea ugali, hakuna uhusiano wa moja kwa moja unaoweza kutajwa, au pia kuhusishwa na kusababisha udumavu wa akili kwa watu. Virutubisho na madini yake havina athari hasi kwenye afya ya ubongo.

Pia, JamiiForums imezungumza na wataalamu wa lishe ambao wamethibitisha kuwa chakula hiki ni salama, hakiwezi kusababisha madhara tajwa.

Hivyo, JamiiForums imebaini kuwa madai haya hayana ukweli uliojengwa kwa hoja za kisayansi. Ni uzushi usio na uthibitisho wa tafiti au takwimu.
Tatizo ni umaskini..kipato cha Tanzania ni dola moja kwa siku.Utaigawa kwa menu ya aina gani kila siku.
 
Unaweza kukuta mtoa mada anayaandika haya huku amejaza ugali kwenye sahani na maharage
Huwaga ni hivyo na hiyo ndiyo kanuni.

Yeyote anayelikemea jambo lolote, anzisha uchunguzi wa kina dhidi yake, utakuja kugundua huyo mtu ndiye mraibu wa jambo hilo hilo analolikemea.

Sasa sijaelewa kisaikolojia ni nini kinasababisha.

Maana unamkuta mwizi anakemea wizi na kuua wezi.

Mzinzi akikamata ugoni anaua!

Mpenda rushwa anamfunga mla rushwa!

Huyo aliyeandika haya ni mla ugali mbwa, ila kwa siku ya leo kazibahatisha sehemu, kala hiyo barger na mitaka taka gani sijui, sasa anaona wala ugali wote ni mashudu!
 
Kumekuwepo na madai kuwa ulaji wa ugali hudumaza akili. Madai haya yana ukweli kiasi gani?

Inategemea huo ugali unakula na mboga gani au kwa mchanganyiko gani wa mboga maana ugali ni kama kula tu mahindi ya kuchemsha au kuchoma kinacho jaji hapo ni mboga unazo tumia..
Wewe unategemea nini unapo kula au kuwa lisha watoto wako ugali na maharage kama ya jela au ya shule za boarding kila siku ...unategemea akili zao zitakuwa stable kweli maana akili inaweza kualibiwa na chakula kibaya chenye kutesa nafsi ya mlaji kimwili na kisaikolojia.


Bila kusahau ccm na saa 100 ni [emoji117][emoji90][emoji90]tu
 
Inategemea huo ugali unakula na mboga gani au kwa mchanganyiko gani wa mboga maana ugali ni kama kula tu mahindi ya kuchemsha au kuchoma kinacho jaji hapo ni mboga unazo tumia..
Wewe unategemea nini unapo kula au kuwa lisha watoto wako ugali na maharage kama ya jela au ya shule za boarding kila siku ...unategemea akili zao zitakuwa stable kweli maana akili inaweza kualibiwa na chakula kibaya chenye kutesa nafsi ya mlaji kimwili na kisaikolojia.


Bila kusahau ccm na saa 100 ni [emoji117][emoji90][emoji90]tu


ugali ni kama kula tu mahindi ya kuchemsha
iu


unategemea akili zao zitakuwa stable kweli maana akili inaweza kualibiwa na chakula kibaya chenye kutesa nafsi ya mlaji kimwili na kisaikolojia.
iu



ugali ni kama kula tu mahindi ya kuchemsha
Hoja yako ni ipi haswa?
 
Ugali Chakula pekee chaki Africa kilichokuwa recognized na UNESCO

"In 2017, the dish was added to the UNESCO Representative List of the Intangible Cultural Heritage of Humanity, one of a few foods in the list"

Kinapatikana nchi nyingi za Africa kwa majina mbali mbali kama

Agidi – Igbo, Nigeria
Akple – Ewe, Akumè – Mina – Togo
Aseeda – Sudan
Busuma [Bukusu] – Kenya
Bando – Soga, Uganda
Bidia – DR Congo[4]
Bogobe/Phaletšhe – Botswana, South Africa
Bugali – Burundi, DR Congo, Sudan, South Sudan Rwanda
Buhobe – Lozi[5]
Buru – Kenya, Luo
Busima – Bagisu, Uganda
Chenge – Kenya, Luo
Chima – Mozambique
Couscous de Cameroon – Cameroon
Dona
Fitah – Sudan, South Sudan, Congo
Foutou – Ivory Coast
Fufu – Sierra Leone, Nigeria
Funge de milho – Angola (northern)
Sadza – Kalanga, Botswana and Zimbabwe
Isitshwala – Botswana, Zimbabwean Ndebele
Isishwala – South Africa, Bhaca people
Kawunga – Ganda, Uganda
Kimnyet – Kalenjin, Kenya
Kuon – Kenya, Luo
Kwen wunga – Alur, Uganda
Lipalishi – Eswatini
Mdoko – Zulu, South Africa
Mieliepap – Lesotho,[4] South Africa[4][6]
Mogo – Kenya, Luo
Moteke – DR Congo[4]
Mutuku – South Africa[4]
Nfundi – Congo[4]
Ngima – Kamba, Kikuyu, Embu, Kenya
Nkima – Kenya, Meru
Nshima – DR Congo Kasai region
Nsima – Malawi,[4] Zambia[4]
Obokima – Kenya, Kisii
Obusuma – Kenya, Nyole tribe[7]
Eko – Nigeria, Yoruba
Oshifima – Namibia Ovambo
Paliche - Botswana (Setswana)
Pap – Namibia, South Africa[8]
Papa/Bogobe – Lesotho,[4] South Africa[4]
Pâte [French] – Togo, Benin
Phuthu/phalishi – Zulu people, South Africa[9]
Pirão – Angola (southern)
Posho – Uganda[10]
Saab – Ghana, Kusasi
Sadza – Shona[4][11]
Sakora – Nigeria
Sakoro – Ghana
Sembe – Tanzania, Kenya slang
Shadza – Kalanga, Botswana
Shima
Shishima – Zambia
Sima – Kenya, Chewa,[12] Tumbuka, and Ngoni[5]
Soor – Somalia,[4] Zambia[4]
Tuozafi (or T.Z.) – Ghana
Tuwo – Hausa, Nigeria
Ubugali – Rwanda
Ubwali – Bemba[5]
Ugali – Kenya,[4] Malawi, Mozambique, Tanzania,[4] Uganda,[4] Yao, Swahili
Um'ratha – Ndebele people, South Africa
Upswa – Mozambique[4]
Bohobe – Sotho, South Africa, Lesotho
Vhuswa – Venda people, South Africa
Vuswa – Tsonga people, South Africa
Wari – Mijikenda tribes, Kenyan Coast
Xima – Mozambique[4]

ALafu unadharau ugali subiri utoke kwa dada ako ukione
 
ugali ni kama kula tu mahindi ya kuchemsha
iu


unategemea akili zao zitakuwa stable kweli maana akili inaweza kualibiwa na chakula kibaya chenye kutesa nafsi ya mlaji kimwili na kisaikolojia.
iu




Hoja yako ni ipi haswa?
Hoja yangu ni kwamba ugali siyo tatizo
 
Watu wengi wanaamini ugali ndio chakula pekee cha kuupa mwili nguvu na afya njema lakini si kweli

Ugali ni mlo hatari ni kama sumu ndio maana hata wanyama wachoyo kama mbwa, nguruwe, paka, nk. Hawana akili lakini katu huwakuti wakila ugali maana ni chakula kisicho na nutrients zozote mwilini.

Hapa Tanzania jamii na makabila makabila makubwa hatupendelei ugali mfano sisi watu wa mkoa wa Kagera, Moshi(wachaga) na Mbeya hawali ugali lakini Tanzama mikoa duni kama Dodoma, Singida, Lindi, na watu wa Pwani wala ugali

Wenzetu wamataifa mengine wana afya afya na wala hawajui ugali ni nini Tazama wenzetu kutoka west Africa hawali maugali kama Watanganyika wana body zimejengeka.

Waganda, Wakenya, Wanyarwandwa hawali ugali. Mtu ukila ugali kwanza unalewa kama umepiga jibapa la Konyagi masaa mawili, ukila ugali wa Mara digestion ni ngumu mwilini chakula hakushuki hupati choo siku mbili, sasa hicho chakula au uchafu tu.

Wazungu na warabu wako vizuri kiafya wala hawayajui maugali ni nini wao wanajilia ngano, wali, nyama na maziwa, sisi Watanganyika kutwa usiku tunakula maugali na milenda kama tumerogwa

Madhara ya ugali kwa watu wetu, tumekosa washiriki wazuri kwenye michezo yani leo umpeleke Kibwana amkabe Sadio Mane AFCON haiwezekani.

Watoto hawana akili mashuleni wapo tu wamechoka yaani wamelewa chakali shuleni hawaewi kisa kula maugali.

Miili kama midogo kama digidigi unakuta mwanaume Dar anavamiwa na panya road anajificha kisa kula maugali

Sipendi ugali nakushauri usije ukala haya sumu ya akili na mwili ugali ni sumu kali

Nikiwa Rais nitapiga marufuku ugali

#kataa ugali Mtanganyika
Ugali kaanza kula babu na mababu zako wa karne na karne leo hii unaanza kuleta kichaa chako kuwa haufai

Mwanafalsafa mmoja ( Socrates ) aliwahi kusema "I know that I am intelligent, because I know that I know nothing."

Huna unalolifahamu nguvu ya kuzungumza unaitoa wapi?

Tafiti gani umefanya au ilifanyika na mwingine kuthibitisha ugali ni sumu ?
Wakati watu wameishi kwa ugali tangu watoto hadi uzee

Acha upotoshaji, uwezo wako ndio umeishia hapo na hatuwezi kuamini mawazo yako
 
Ugali Chakula pekee chaki Africa kilichokuwa recognized na UNESCO

"In 2017, the dish was added to the UNESCO Representative List of the Intangible Cultural Heritage of Humanity, one of a few foods in the list"

Kinapatikana nchi nyingi za Africa kwa majina mbali mbali kama

Agidi – Igbo, Nigeria
Akple – Ewe, Akumè – Mina – Togo
Aseeda – Sudan
Busuma [Bukusu] – Kenya
Bando – Soga, Uganda
Bidia – DR Congo[4]
Bogobe/Phaletšhe – Botswana, South Africa
Bugali – Burundi, DR Congo, Sudan, South Sudan Rwanda
Buhobe – Lozi[5]
Buru – Kenya, Luo
Busima – Bagisu, Uganda
Chenge – Kenya, Luo
Chima – Mozambique
Couscous de Cameroon – Cameroon
Dona
Fitah – Sudan, South Sudan, Congo
Foutou – Ivory Coast
Fufu – Sierra Leone, Nigeria
Funge de milho – Angola (northern)
Sadza – Kalanga, Botswana and Zimbabwe
Isitshwala – Botswana, Zimbabwean Ndebele
Isishwala – South Africa, Bhaca people
Kawunga – Ganda, Uganda
Kimnyet – Kalenjin, Kenya
Kuon – Kenya, Luo
Kwen wunga – Alur, Uganda
Lipalishi – Eswatini
Mdoko – Zulu, South Africa
Mieliepap – Lesotho,[4] South Africa[4][6]
Mogo – Kenya, Luo
Moteke – DR Congo[4]
Mutuku – South Africa[4]
Nfundi – Congo[4]
Ngima – Kamba, Kikuyu, Embu, Kenya
Nkima – Kenya, Meru
Nshima – DR Congo Kasai region
Nsima – Malawi,[4] Zambia[4]
Obokima – Kenya, Kisii
Obusuma – Kenya, Nyole tribe[7]
Eko – Nigeria, Yoruba
Oshifima – Namibia Ovambo
Paliche - Botswana (Setswana)
Pap – Namibia, South Africa[8]
Papa/Bogobe – Lesotho,[4] South Africa[4]
Pâte [French] – Togo, Benin
Phuthu/phalishi – Zulu people, South Africa[9]
Pirão – Angola (southern)
Posho – Uganda[10]
Saab – Ghana, Kusasi
Sadza – Shona[4][11]
Sakora – Nigeria
Sakoro – Ghana
Sembe – Tanzania, Kenya slang
Shadza – Kalanga, Botswana
Shima
Shishima – Zambia
Sima – Kenya, Chewa,[12] Tumbuka, and Ngoni[5]
Soor – Somalia,[4] Zambia[4]
Tuozafi (or T.Z.) – Ghana
Tuwo – Hausa, Nigeria
Ubugali – Rwanda
Ubwali – Bemba[5]
Ugali – Kenya,[4] Malawi, Mozambique, Tanzania,[4] Uganda,[4] Yao, Swahili
Um'ratha – Ndebele people, South Africa
Upswa – Mozambique[4]
Bohobe – Sotho, South Africa, Lesotho
Vhuswa – Venda people, South Africa
Vuswa – Tsonga people, South Africa
Wari – Mijikenda tribes, Kenyan Coast
Xima – Mozambique[4]

ALafu unadharau ugali subiri utoke kwa dada ako ukione
Binafsi huwa najiuliza kwanini iwe afrika tu! Kwanini nchi zilizo endelea asilimia zaidi ya 70% walishie wanyama? Hata hiyo 30% inayobaki bado itatumika kwa matumizi mengine, asilimia kidogo sana inatumika kwa binadamu na sio kama mlo mkuu. Ukiingia Google vizuri utaona matumizi ya binadamu ni mwisho kabisa katika jedwali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi huwa najiuliza kwanini iwe afrika tu! Kwanini nchi zilizo endelea asilimia zaidi ya 70% walishie wanyama? Hata hiyo 30% inayobaki bado itatumika kwa matumizi mengine, asilimia kidogo sana inatumika kwa binadamu na sio kama mlo mkuu. Ukiingia Google vizuri utaona matumizi ya binadamu ni mwisho kabisa katika jedwali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vyakula vinaendana na ukanda...ni sawa nakushangaa ulaji wa wali na Tambi nchi za Asia, au mikate uarabuni, ila haimanishi ugali ni mlo hatari, kama mtu anaona ugali mbaya ni kukosa Mboga nzuri, Pole yake.
 
Watu wengi wanaamini ugali ndio chakula pekee cha kuupa mwili nguvu na afya njema lakini si kweli

Ugali ni mlo hatari ni kama sumu ndio maana hata wanyama wachoyo kama mbwa, nguruwe, paka, nk. Hawana akili lakini katu huwakuti wakila ugali maana ni chakula kisicho na nutrients zozote mwilini.

Hapa Tanzania jamii na makabila makabila makubwa hatupendelei ugali mfano sisi watu wa mkoa wa Kagera, Moshi(wachaga) na Mbeya hawali ugali lakini Tanzama mikoa duni kama Dodoma, Singida, Lindi, na watu wa Pwani wala ugali

Wenzetu wamataifa mengine wana afya afya na wala hawajui ugali ni nini Tazama wenzetu kutoka west Africa hawali maugali kama Watanganyika wana body zimejengeka.

Waganda, Wakenya, Wanyarwandwa hawali ugali. Mtu ukila ugali kwanza unalewa kama umepiga jibapa la Konyagi masaa mawili, ukila ugali wa Mara digestion ni ngumu mwilini chakula hakushuki hupati choo siku mbili, sasa hicho chakula au uchafu tu.

Wazungu na warabu wako vizuri kiafya wala hawayajui maugali ni nini wao wanajilia ngano, wali, nyama na maziwa, sisi Watanganyika kutwa usiku tunakula maugali na milenda kama tumerogwa

Madhara ya ugali kwa watu wetu, tumekosa washiriki wazuri kwenye michezo yani leo umpeleke Kibwana amkabe Sadio Mane AFCON haiwezekani.

Watoto hawana akili mashuleni wapo tu wamechoka yaani wamelewa chakali shuleni hawaewi kisa kula maugali.

Miili kama midogo kama digidigi unakuta mwanaume Dar anavamiwa na panya road anajificha kisa kula maugali

Sipendi ugali nakushauri usije ukala haya sumu ya akili na mwili ugali ni sumu kali

Nikiwa Rais nitapiga marufuku ugali

#kataa ugali Mtanganyika
Kuna jamaa mataani kwetu alimwambia Mzee mmoja

Utanishauri nini wewe mla ugali?
 
Watu wengi wanaamini ugali ndio chakula pekee cha kuupa mwili nguvu na afya njema lakini si kweli

Ugali ni mlo hatari ni kama sumu ndio maana hata wanyama wachoyo kama mbwa, nguruwe, paka, nk. Hawana akili lakini katu huwakuti wakila ugali maana ni chakula kisicho na nutrients zozote mwilini.

Hapa Tanzania jamii na makabila makabila makubwa hatupendelei ugali mfano sisi watu wa mkoa wa Kagera, Moshi(wachaga) na Mbeya hawali ugali lakini Tanzama mikoa duni kama Dodoma, Singida, Lindi, na watu wa Pwani wala ugali

Wenzetu wamataifa mengine wana afya afya na wala hawajui ugali ni nini Tazama wenzetu kutoka west Africa hawali maugali kama Watanganyika wana body zimejengeka.

Waganda, Wakenya, Wanyarwandwa hawali ugali. Mtu ukila ugali kwanza unalewa kama umepiga jibapa la Konyagi masaa mawili, ukila ugali wa Mara digestion ni ngumu mwilini chakula hakushuki hupati choo siku mbili, sasa hicho chakula au uchafu tu.

Wazungu na warabu wako vizuri kiafya wala hawayajui maugali ni nini wao wanajilia ngano, wali, nyama na maziwa, sisi Watanganyika kutwa usiku tunakula maugali na milenda kama tumerogwa

Madhara ya ugali kwa watu wetu, tumekosa washiriki wazuri kwenye michezo yani leo umpeleke Kibwana amkabe Sadio Mane AFCON haiwezekani.

Watoto hawana akili mashuleni wapo tu wamechoka yaani wamelewa chakali shuleni hawaewi kisa kula maugali.

Miili kama midogo kama digidigi unakuta mwanaume Dar anavamiwa na panya road anajificha kisa kula maugali

Sipendi ugali nakushauri usije ukala haya sumu ya akili na mwili ugali ni sumu kali

Nikiwa Rais nitapiga marufuku ugali

#kataa ugali Mtanganyika
Tusipangiane kijana.
 
Back
Top Bottom