SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Ugali ni chakula cha wanyama kama farasi..hivi unawezaje kula chakula kama kile
 
The term “maize” is derived from the ancient word mahiz from the Taino language — a now extinct Arawakan language — of the indigenous people of pre-Columbian America. Columbus and other explorers took maize back to Europe with them and it spread across the trade routes of Europe, Africa and Asia in the 1500s and 1600s.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fala wewe, kwahiyo mtu anayekula vitumbua hali mchele!?,unga wa ugali si unatokana na mahindi!?, Kwahiyo unga wa mahindi una matatizo, ila mahindi hayana shida!?,hivi jamii forums imevamiwa na watoto siku hizi!??
Ha ha ha ni hatari sheikh. Inashangaza
 
Kwani makuli wapo Tz peke yake?
Nchi ambayo kwa mwaka hayafiki makontena 1mil

Nigeria hawali ugali ila wana miili mikubwa
Nigeria awali ugali? Au kwa vile wanaita Jina tofauti? Humu jukwaani wapotoshani mmekuwa wengi Sana.
 
Sidhani kama ulikuwepo kipindi hicho
Ila inaonekana hata hujui historia uliyofunzwa darasani

Colonialists did not introduce ugali in Africa.

Ugali ni chakula ambacho ni utamaduni wa mataifa mengi Afrika,
mfano :
-Tanzania na kenya tunaita UGALI
-Uganda wanaita POSHO
-Zambia na malawi wanaita NSHIMA
-Zimbabwe wanaita SADZA
-South Africa wanaita PAP
-Nigeria wanaita TUWO
-senegal wanaita COUSCOUS
-sudani wanaita KISRA

hii ni kuonyesha tu namna gani chakula hiki ni tamaduni ya Afrika

Kwahio chakula hiki hakitumiki sana EUROPE au Marekani sababu kubwa si tamaduni yao
Ila ukienda katika migahawa yao UGALI unaweza kuukuta na baadhi ya wazungu wanatumia na wanapenda sana


Nenda CHINA ukikuta wanakula NYOKA, Dim Sum,Peking Duck,Xiao Long Bao na Kung Pao Chicken

Nenda MAREKANI ukikuta wanakula Hamburgers,Hot Dogs,frybread, cornbread na succotash

Mlivo na akili mbovu pamoja na mtoa mada mtasema wanakula Sumu kama ambavyo mmejazana ujinga nyie na kuona UGALI ni sumu

Hatukatai Wakoloni wamechangia kwa kubwa kwenye vyakula vya africa lakini ugali Afrika ulikua enzi na enzi hayupo anaejua historia yake kwa sasa

Ila mkoloni amekuta ugali ndio chakula kikuu na ndio tamaduni yetu labda tu mtu akizungumzia Ugali ujue hatuzungumzii tu mahindi pekee, hapo kuna mihogo, mtama, viazi na ulezi na nk. vyote hivo vilikuwepo kabla ya mkoloni

(Sasa kama vyote hivo havikuepo na vililetwa na mkoloni ina maana walikua wanakula mchanga au [emoji23][emoji23][emoji23] kazi kweli kweli kwenye bongo zenu hahahah )

Mwanzo wakoloni walipoweka food crops cultivation hakukuwa na maana huku hakukuwa na huo ukulima bali ulikua unafanyika locally
Na baada ya kuona hayana faida katika uchumi wao wakabadilisha kwenda kwenye cash crops

Sasa huo mlenda unaosema waafrika wamefundishwa na wazungu hebu tuambie ulikuwepo wakati wanafundisha au umesoma wapi historia hio?
 
#Bring back our Ugali. Ugali ndio chakula kikuu ukanda wa Afrika ya kati. Ugali unaliwa sambamba na chakula kingine kinachoitwa mboga. Mboga inaweza kuwa ni majani malaini yaliyochemshwa na kuungwa vizuri au mchuzi wa nyama. Ugali hushibisha vema kuliko chakula kingine. Ugali ndio chakula kikubwa, popular food
 
Historia inaonesha kabla ya karne ya 7 Africa hakukuwa na mahindi.

Labda huo ugali ulikuwa ni wa ngano au ulezi ila mahindi asili yake sio Africa.
 
Usifananishe ugali na vitu vya kijinga!
Ugali nyama choma na kachumbali pilipili kwa mbaaali we!! Ni hatari....!!
 
Wadau nawasabahi.

Umewahi kujiuliza ugali unaliwa sana na Watu wa aina gani? Utafiti mdogo nilioufanya sehemu nyingi iwe mitaa kwa Mama Lishe kwenye MAPUB au mabaa idadi kubwa ya Watu Wanakula UGALI ni Watu wa kiwango na Kipato cha CHINI. Tembelea Mikoani mpaka Vijijini UGALI ndio chakula kikuu kwa Watu Waishio huko.

Mfano wa Pili Mashuleni Hospital Magereza na Mahabusu za Polisi UGALI ndio Chakula kikuu na Wote wanakula UGALI ktk sehemu hizo ni Watu Wasio na UWEZO hivyo lazima TIKUBALI kuwa KULA UGALI dalili Kubwa ya UMASIKINI.
 
JE kula chips?? Nadhan wewe ni kizazi kipya, acha watu wale chakul wanachokipenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…