SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Kitu kibaya zaidi ni kwamba watu wengi wanakula ugali mweupe, unaotokana na mahindi yaliyokobolewa.

Kukoboa mahindi kunaondoa protini.

Ugali unakuwa na wanga tu.

Ugali wenye virutubisho ni wa unga wa dona. Unga wa mahindi yasiyokobolewa.
 
#Bring back our Ugali, Ugali ndio chakula kinachoshibisha vizuri. Ugali kwa mboga, maziwa safi sana. Ugali una nishati nyingi
 
Jamii Forums ilikuwa sehemu ya kukuta mijadala yenye akili, lakini recently imegeuka kijiwe cha wajinga wajuaji wanaosema wanachojisika instinctively kama wanyama bila ya critical and logical self judgment and analysis. Na hiyo sababu ni wajinga in the first place.

Najisikia kupoteza braincells kila navyosoma hizi comments. It's pathetic kujua watanzania ni wajinga kiasi hichi.

Sasa naelewa kwanini hata baada ya zaidi ya miaka 60 ya uhuru, Tanzania bado ni 3rd World Country. A country made up of retards.
 
Mbona naonaga wanigeria wana ugali fulani hivi mweusi
Ugali ni chakula kizuri sana. Tena mimi nazungumzia ugali wa mtama, uwele, ulezi na dona. Hata majuu siku hizi wengi wanakula mikate ''mweusi'' au brown. Haian tofauti na ugali wa mtama.
 
Acha kuandika pumba wewe. Ugali hauna mahusiano yoyote na Umasikini. Bali ni Culture Food. Ni kama Tambi ukienda Asia.
Na ugali unaliwa sana na watu wa hali ya chini sababu mostly ni chakula rahisi kuandaa na cheap vilevile.

Wewe unataka watu wale nini Tanzania? Ukilinganisha na uchumi mbovu tulionao?

Najua hauwezi kujibu hayo maswali sababu you're a fuking idiot.
 
Ni kweli kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe fala ni mjinga kinyama, kichwa kimejaa tope lakini bado unaendelea kutema pumba kwa kujiamini kabisa. Na hawa wapuuzi wanaokubaliana na huu uzi wako uliojaa kamasi wananifamya nihoji umri, elimu na uwezo wa akili walionao.

Inashangaza sana kuona wajinga wanajiami kupitiliza, Dunning Krugger Effect is real na wewe ni real life evidence.

Fuking pathetic.
 
Weee jamaa inaonekana hujaenda shule! Na kama ulienda hukukombolewa kifikra na wala hukupata maarifa. Tatizo sio neno "ugali". Ugali ni nini? Unaweza kuwa ugali wa ulezi, mtama, mahindi, n.k. Kwa wengi wetu tumezoea ugali wa mahindi. Ugali wa mahindi umejaa wanga. Kazi ya wanga ni kuupa mwili nguvu. Virutubisho vya kuongezea kwenye wanga vinapatikana kwenye mboga utakayotumia. Mwisho wa siku ukila ugali na mboga kama dagaa, nyama, mbogamboga unakuwa umeongeza protini na kufanya balanced diet! Acha kubeza ugali! Ugali ndo chakula kikuu cha watanzania na ndicho kilichotukuza! Acha dharau!
 
Madhara ya kula ugali moja wapo ni kutukana ovyo hata watu usiowajua

Badilisha mlo
Kula viazi,ngano, mihogo
Kwanini ufakamie hayo madawa ya kulevya yaitwayo ugali

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani katika yote niliyoandika, this is your fuking defense? Hiyo inabadili vipi ukweli wa nilichoandika?
 
Ugali tu
Hadi unatukana kwa kiingereza
Acha ugali japo akili yako iwe kama ya binadamu wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lete data za kisayansi ndugu, ugali una Carbohydrates, hii ni class ya chakula na ni nutrition unayoipata hata kwa kula wali, ndizi, au vyakula vya ngano.
 
Lete data za kisayansi ndugu, ugali una Carbohydrates, hii ni class ya chakula na ni nutrition unayoipata hata kwa kula wali, ndizi, au vyakula vya ngano.
Vitu vingine haviandikwi kirahisi kwenye vitabu

Sio kila maarifa unayapata vitabuni
Nimejitoa kama nabii kuwapeni siri zilizojificha, wewe unalazimisha nikuletee kurasa za vitabuni

Ugali unadumaza mwili, fikra, na ni sumu kali

Ni ngumu sisi waafrica kuwaza mapinduzi ya kisayansi katika kilimo, teknolojia n.k sisi tutawaza ushirikina, miujiza na ujinga mwingi

Haya yote sababu ya lishe duni iliyoletwa na wazungu iitwayo ugali hasa wa mahindi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
What is Fufu mkuu?? Tatizo ni kuwa umeridhika kushea sabuni ya kuogea na mume wa dada yako....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…