SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Nini kilitangulia kati ya wakoloni na kilimo cha mahindi,.!?,nyie watu mna matatizo kichwani hata kutumia google hamjui. Ila mna justify upumbavu wenu kwasababu nyepesi nyepesi..
 
Wewe na kina adriz mnaokula urojo mna nini?
 
Nini kilitangulia kati ya wakoloni na kilimo cha mahindi,.!?,nyie watu mna matatizo kichwani hata kutumia google hamjui. Ila mna justify upumbavu wenu kwasababu nyepesi nyepesi..
Asili ya mahindi ni Amerika ya kati na Mexico.

Hata ukiangalia katika nchi zenye uzalishaji wa mahindi kidunia utaona katika nchi 15, ni nchi 3 tu ambazo ni za Afrika.

Nazo hizo zimeshika nafasi ya mwishoni.



Mahindi yalikuja Afrika karne ya saba yakianzia Pwani ya Afrika.

Kabla ya karne ya saba, Afrika hakukuwa na kitu kinachoitwa mahindi.
 

Kuleni kuku, mayai, mboga, samaki, maziwa.
 
Kweli kabisa

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Ijapokuwa kuna chembechembe za kweli, hii mada yako ni uongo kwa asilimia karibu 78.

1. Ugali ni bora kama unga haujakobolewa, unga ukikobolewa unapoteza angalau 75% ya virutubisho vyake.

2. Ugali ni chakula bora sana, ni chanzo kikubwa cha starch(wanga), ambayo humeng'enywa kutengeneza glucose. Kwa bahati mbaya, wengi wamezoea kula kiasi kikubwa sana cha ugali kuliko uhitaji wa miili yao. Hili linasababisha shibe inayoambatana na usingizi mzito na kuchoka kwa mwili kutokana na mwili kutumia nguvu nyingi kwenye kumeng'enya starch.

3. Changamoto kubwa zaidi kwenye ugali ipo kwenye kutokausha maindi vzuri ndio yahifadhiwe. Hili linasababisha maindi mengine kuharibika kwa kupata cyanide. Maindi haya yakikobolewa, ugali huwa hatarishi kama chakula.

4. It is fiber rich delicasy, so it prevents constipation(nnya laiiiiniii.)

5. Inasaidia kwenye emeng'enyaji wa chakula kutokana na utajiri wake wa fibres.

6.ugali una utajiri wa proteins ambazo ni muhimu kwenye kujenga afya bora.

7. Ulaji wa ugali haswa ambao haijakobolewa, husaidia kwenye kujenga ngozi bora(ndio maana unapendwa na Wanawake) na madini yaliyopo ndani yake, hutumiwa kuboresha afya kwa mlaji.

Juu ya yote, jamii kadhaa za Kenya kama wajaluo, wakisii, wakamba pamoja na waluhya wanapenda ugali kupitiliza. So kusema wakenya hawapendelei ugali ni unafki.
Mwisho, usikilaumu chakula. Jilaumu wewe kwa kushindilia ugali mwingi kuliko mahitaji ya mwili wako. Ila ugali ni chakula bora sana na ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku.
 
Ungejipanga vizuri kabla ya kuandika, siwezi kuamini kuwa wasukuma, wanyamwezi na watu wa mikoa ya Mara na Singida ni makabila madogo! Hawa wote wala ugali.
Zambia ugali mara tatu kwa siku na Malawi ni wala ugali, Afrika Magharibi wala ugali wote hawa tofauti ni aina ya unga wanaotumia.
 
Can’t Run Like a Kenyan, But Can Cook and Eat Ugali!
View: https://medium.com/dancing-elephants-press/cant-run-like-a-kenyan-but-can-cook-and-eat-ugali-46664e728ffd
 







Member-only story

Can’t Run Like a Kenyan, But Can Cook and Eat Ugali!​

Dancing Elephants Press Weekly Prompt 32 of 52​





Carmen Micsa, MA in English, podcaster

·
Follow
Published in
Dancing Elephants Press
5 min read
·
May 13, 2023

Listen
Share

Photo by
Carmen Micsa, MA in English, podcaster
, Ugali with beef liver and fried eggs
As a marathon runner who is much slower than Kenyan runners, I figured that I can at least eat like a Kenyan and make Ugali, Kenya’s staple food, which in 2017 was added to the UNESCO Representative List of the Intangible Cultural Heritage of Humanity.
Ugali is made exactly like polenta but with white maize flour, which makes it look like grits. For the polenta recipe, please enjoy my short form story Cooking with My Dad — The Daily Cuppa — Medium.
Growing up in communist Romania, I always viewed polenta as the poor man’s meal, as it only requires water, yellow cornmeal, and salt, but I never realized till recently how healthy and nutritious it was. It is also gluten-free and easy to digest. It pairs well with fish, eggs, cheese, and many other foods.
Like polenta, ugali is a great source of carbohydrates and is gluten-free.

Health benefits of Ugali​

As a runner, I became fascinated with Kenyan runners for their speed, hard work, and resiliency.
I did some research to find out what kind of carbohydrates and protein they eat and I came upon ugali. After a quick search on Amazon, I found Premium Ugali Maize Flour from Kenya and ordered it. I received it on Monday this week and did
  1. Ugali is a great source of carbohydrates and a low-glycemic food, especially the whole grain type.
  2. Ugali is a good source of fiber, especially from whole maize flour, sorghum, or finger millet. The nutritional benefits of fiber include: preventing constipation, effective blood sugar balance, and the management of diabetes.
  3. Ugali is a good source of B vitamins, especially Thiamin (B1), riboflavin (B2), and Niacin (B3). It also contains some Folate (B9) which is needed especially by…
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wazee wetu wangekuwa timamu kama unavyowanadi wangewatawala wakoloni au wangeukataa ugali.
Chips yai zinawasahaulisha sana mpaka mmeanza kujiona mna aleji na UGALI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…