Ulalamishi kwa Zanzibar unaonyesha Wabantu (sisi) ni Watu Wavivu au labda low IQ pia!


Huenda ndio mapatano yaliyojadiliwa miaka hiyo

Mpaka waweke wazi kila kitu hatuwezi kujua lolote bali tutakuwa tuna assume tu
 
Muangalie kama huyo Mgogo ana IQ ya kuvukia Barabara tu.
 
Wazenji kibao wamejenga bara. Lkn marufuku mbara kujenga zenji.

Huu uzwazwa sijui utaisha lini?
Yale makanisa yaliyotapakaa Zànzibar ni removàble.

Waimba kwaya kutoka Bara ikifika Jumamosi wanaya import.

Jumapili wanarudi nayo Bara. Maana siku mbili hizo kama hujakata tiketi mapema ikifika saa 12.30 hupati boti.

Au yanajengwa na mishini wa Zanzibari au ni ya Serikali.
 
Unafikirisha sana huu muungano. Mzanzibar anapewa mpk urais kuongoza bara na visiwani. Lkn mbara ananyimwa udiwani wa kata (shehia) ya Micheweni.

Yaani Magu angekuwa mznz sijui hali ingekuwaje
Hebu waza tu kidogo
Angejenga daraja refu Africa
Kuna mengi sana ya kufikirisha na siku watayaweka wazi yote waliosaini Karume na Nyerere yataibuka mengi sana
 
Wakae kwao huko, inakuaje Mzanzibar awe DAS kwenye Wilaya ya Tanganyika?

Au Mzanzibar awe Waziri kwenye Wizara isiyo ya Muungano?

Au awe Mkurugenzi kwenye shirika la Umma Tanganyika?

Haya yanayofanyika sasa ni kututaka kutuchoma na ukuni kwenye jicho na wacha watuchome maana Wadanganyika tumekuwa mamburula sana; Wazanzibar hutuita "Machogo", jina dhalili na la kibaguzi kabisa
 
Ingekuwa wizi na dhulma kwa watanganyika, maana Zanzibar ina mchango kiduchu Sana ktk pato la taifa. Idadi ya wazanzibari ndogo Sana na wengi ni maskini wa kutupwa.

Basi tuwasaidie tu maana hata mashamba ya kulima hawana , madini hawana
Labda kama tutafanikiwa kupata hayo mafuta baharini ingawa huwa tuna maneno kibao kutimiza sasa
 
Mimi naunga mkono Muungano, sana tu. Ingawaje naonelea kua makosa makubwa yalifanywa hasa na Mwl. Nyerere wakati wa mwungano na baadaye. Haya yata tu cost. Maana hakuna mwungano uliovunjika kwa amani! Ni kama ndoa.

Kinachotakikana sasa, kama tuna akili, ni kuondoa mambo madogo madogo yote yaliyo hasi hadi walio wengi Zanzibar na Tanganyika waone uzuri wa Muungano, kisha tupitishe kura ya maoni ya kuifanya nchi moja tu.
 
Mishini
 
Chogo ni hadhi kubwa sana maana chogo, kwa maumbile, ana akili sana kuliko hao vichwa nazi!
 
Kwani sio machogo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…