Ulalamishi kwa Zanzibar unaonyesha Wabantu (sisi) ni Watu Wavivu au labda low IQ pia!

Ulalamishi kwa Zanzibar unaonyesha Wabantu (sisi) ni Watu Wavivu au labda low IQ pia!

Mimi naunga mkono Muungano, sana tu. Ingawaje naonelea kua makosa makubwa yalifanywa hasa na Mwl. Nyerere wakati wa mwungano na baadaye. Haya yata tu cost. Maana hakuna mwungano uliovunjika kwa amani! Ni kama ndoa.

Kinachotakikana sasa, kama tuna akili, ni kuondoa mambo madogo madogo yote yaliyo hasi hadi walio wengi Zanzibar na Tanganyika waone uzuri wa Muungano, kisha tupitishe kura ya maoni ya kuifanya nchi moja tu.
Dawa ya Muungano huu ni kuvunjwa tu, hakuna jengine
 
[emoji23][emoji23][emoji23]aiseee
Unafikirisha sana huu muungano. Mzanzibar anapewa mpk urais kuongoza bara na visiwani. Lkn mbara ananyimwa udiwani wa kata (shehia) ya Micheweni.
 
Kuna nilimsikia eti yupo ustawi wa jamii kwenye wilaya ya Tanganyika daa huu muungano hapana mie hata siufagilii kabisa, zamani tulikuwa tunasikia wale wanasoma bure nikawa najiuliza kwanini huku tunalipa ada? Haya mapenzi hapana bora kuachana kila MTU abebe watu wake
 
Unafikirisha sana huu muungano. Mzanzibar anapewa mpk urais kuongoza bara na visiwani. Lkn mbara ananyimwa udiwani wa kata (shehia) ya Micheweni.
Hivi walioko huko hata ujumbe huwa wanapewa kweli? Mie sinaga mzuka kabisa na huko, hiyo ya urais mmm
 
hivi visiwa vya kipumbavu hakuna mtu anayevitaka, tupo tayari hata Muungano uvunjwe hata kesho na hatutaathirika chochote, watu wanachopinga ni mtu kutoka Zanzibar ambao kimsingi wanajiona sio Watanzania, ankuja kuwa Makamu wa Rais au Rais wa Tanzania ambayo Wazanzibar wanaiona sio chochote kwao, kisha anatumia rasilimali zetu, kukopa mikopo na kuipa Zanzibar zaidi kiasi kikubwa sana, huu ni upumbavu..Tanganyika hatuihitaji Zanzibar na hatujawahi kuihitaji, ni wapumbavu wachache tu ndio wanalazimisha
 
hivi visiwa vya kipumbavu hakuna mtu anayevitaka, tupo tayari hata Muungano uvunjwe hata kesho na hatutaathirika chochote, watu wanachopinga ni mtu kutoka Zanzibar ambao kimsingi wanajiona sio Watanzania, ankuja kuwa Makamu wa Rais au Rais wa Tanzania ambayo Wazanzibar wanaiona sio chochote kwao, kisha anatumia rasilimali zetu, kukopa mikopo na kuipa Zanzibar zaidi kiasi kikubwa sana, huu ni upumbavu..Tanganyika hatuihitaji Zanzibar na hatujawahi kuihitaji, ni wapumbavu wachache tu ndio wanalazimisha
Kabisa
 
Dawa ya Muungano huu ni kuvunjwa tu, hakuna jengine
Na kabla ya kuvunjwa kila mtu abebe watu wake, ndiyo maana ilipendekezwa serikali 3 inamaana kila mtu ajihudumie kwakwe huyo watatu wamtafutie pakukaa [emoji23] kama nikatikati ya bahari watajua wenyewe lakini sio hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huenda uko nje ya malalamiko ya muungano.
Kwa takwimu zako za sq area na idadibya watu.
Je wapi wapate ratio kubwa kwenye kugawana faida na hasara? Kugawana mikopo?
Kugawana majukumu na ajira za muungano?
Ikibidi znzb iachwe tu. Kama kuna mali wanatudai wapewe, kama kuna madeni tunawadai walipe.
Hii habari ya muungano usio tija ife kila mmoja afuate sheria za nchi nyingine, wawe majirani tu kama Kenya
 
Walioasisi muungano walikosea kuifanya zanzibar kuwa na hadhi sawa na nchi wakati kimsingi ilitakiwa iwe moja ya wilaya za mkoa wa Dar, kwa hiyo inaipa mzigo mkubwa Tanganyika kuweza kui maintain kama semi-autonomous state.....na ndo mwanzo wa kelele zote hizi kuona zanzibar inapewa mgao mkubwa kwenye hii mikopo ili hali Tanganyika ndo itabeba mzigo wa kulipa madeni.
Hizi kelele uwa zinakuja tu Raisi wa Muungano anapotokea Zanzibar,na mara akiwepo Raisi kutoka bara husikii kelele hizo.
Kuna wakati Raisi Mzee Ruksa akiwa raisi wa serikali wa Muungano lilizuka kundi likiongozwa na Njeru Kasaka,Kinyondo na Jenerali Ulimwengu likapitisha muswaada bungeni wa serikali tatu tena ikiwa chama kimmoja,lakini alipozungumza tu mzee Aboud Jumbe umuhimu wa serikali tatu,aliitwa Dodoma,akavuliwa uraisi wa serikali ya Zanzibar, akavuliwa Uwenyekiti wa baraza la Mapinduzi, akavuliwa ujumbe wa kamati kuu ya CCM,akavuliwa ujumbe kwenye NEC.Akawekwa under house arrest Kigamboni kwa miaka nenda rudi hadi yalipokuta mauti.

Cha ajabu Zanzibar wao wanasema Muungano ni utashi sio lazima,lakini watawala Bara wao Muungano ni wa lazima which is complete nonsense. Kwani Zanzibar imekuwepo kama nchi na taifa huru kabla ya Muungano.
 
Hizi kelele uwa zinakuja tu Raisi wa Muungano anapotokea Zanzibar,na mara akiwepo Raisi kutoka bara husikii kelele hizo.
Kuna wakati Raisi Mzee Ruksa akiwa raisi wa serikali wa Muungano lilizuka kundi likiongozwa na Njeru Kasaka,Kinyondo na Jenerali Ulimwengu likapitisha muswaada bungeni wa serikali tatu tena ikiwa chama kimmoja,lakini alipozungumza tu mzee Aboud Jumbe umuhimu wa serikali tatu,aliitwa Dodoma,akavuliwa uraisi wa serikali ya Zanzibar, akavuliwa Uwenyekiti wa baraza la Mapinduzi, akavuliwa ujumbe wa kamati kuu ya CCM,akavuliwa ujumbe kwenye NEC.Akawekwa under house arrest Kigamboni kwa miaka nenda rudi hadi yalipokuta mauti.

Cha ajabu Zanzibar wao wanasema Muungano ni utashi sio lazima,lakini watawala Bara wao Muungano ni wa lazima which is complete nonsense. Kwani Zanzibar imekuwepo kama nchi na taifa huru kabla ya Muungano.
You nail it. Bravo [emoji122]
 
Kwahiyo tuliungana ili tuwapanulie ardhi wao?

Haya kama ardhi haitoshi mbona na ajira pia hawataki kuwapa watu wa bara?

Pia , hata ukae miaka mingi kama shetani zenji huruhusiwi kugombea nafasi yoyote?

Muungano gani huu wa kufaidisha upande mmoja tu?
Unachosahau ni kwamba siku zote visiwa huwa havina wenyeji. Hao wazenji asili yao ni huku bara, Ni watu wa makabila ya pwani waliohamia visiwani.
 
hivi visiwa vya kipumbavu hakuna mtu anayevitaka, tupo tayari hata Muungano uvunjwe hata kesho na hatutaathirika chochote, watu wanachopinga ni mtu kutoka Zanzibar ambao kimsingi wanajiona sio Watanzania, ankuja kuwa Makamu wa Rais au Rais wa Tanzania ambayo Wazanzibar wanaiona sio chochote kwao, kisha anatumia rasilimali zetu, kukopa mikopo na kuipa Zanzibar zaidi kiasi kikubwa sana, huu ni upumbavu..Tanganyika hatuihitaji Zanzibar na hatujawahi kuihitaji, ni wapumbavu wachache tu ndio wanalazimisha
Wewe unaongozwa na chuki kwa serikali ya Samia. Na ni chuki zinazoumiza nafsi yako.
 
Dugu moja. Ukisitisha udugu na mmoja basi utaendelea kusitisha hata kwa wengine. Wawe viongozi bara au visiwani au vice versa siyo issue. Si wanazingatia na kufuata sheria bila shuruti?!
Wadanganyika wavivu tu. Kulalamika ni zao kuficha udumaavu wa akili zao. Hapa Dar tu bado kuna mapori na maviwanja ya kufa mtu ila utasikia eti wakazi wamekosa makazi au kufa kisa kujenga kwenye mikondo ya maji bondeni na sehemu hatarishi!
Wadanganyika kutwa kukutwa na mavyeti feki kisa uvivu wa kusoma au kutoa jasho lao!
Kazi zipo ila wanaostahili hawafai kisa lugha ya kigeni kujituma wizi na uvivu.
Tubadilike
 
Back
Top Bottom