TANZIA Ulale pema peponi baharia wangu

TANZIA Ulale pema peponi baharia wangu

chongoe

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2019
Posts
1,183
Reaction score
2,871
Wakuu nina huzuni sana samaki amesababisha ajali kwa baharia wangu tulikuwa tunarudi Zanzibar kwa kutumia jahazi tukatosa Mshipi kwa ajili ya kutafuta kitoeleo tulipokuwa Karibu na mafia samaki akanasa kwenye Mshipi.

Alikuwa nguru baharia wangu baada ya kumpakia samaki kwenye jahazi kwa bahati mbaya samaki akatafuna kisigino ilimwagika damu nyingi sana na mpaka tunafika bandarini tukampeleka hospitali ikawa ameshafariki

Tangulia baharia

1708254097573.jpg
 
Elimu ya huduma ya kwanza (first Aid) ianze kufundishwa kuanzia primary school kama nchi ya Korea. Mngejua jinsi ya kumsaidia baharia Kuna uwezekano mkubwa angefika hospital mzima na angeishi.

Miaka kadhaa nyuma Kuna msanii wa bongo flavor alifia kwenye Bajaj wakati anatolewa hospital Fulani mburahati anahamishiwa Sinza Palestina..kisa? Staili aliyowekwa kwenye Bajaj. Jamaa Kuna namna Fulani walimlaza akarudisha ulimi ndani akashindwa kupumua sawasawa.

Poleni na msiba mkuu.
RIP Baharia.
 
Back
Top Bottom