Ati?? kifo cha aibu?? Unajuwa wangapi wanakufa na mmbu?? Don't make a jokes ktk situation kama hii,yeye na Lowasa mbele ya mungu wanathamani moja kama watoto wa Adam.Dah kifo cha aibu sana, eti watoto wanakuja kupewa story babaenu alikufa kwa kung'atwa na samaki kwenye kisigino.
Kweli zikifika zimefika