Uchaguzi 2020 Ule mtaji wa 'vijana hawapigi kura' safari hii haupo

Uchaguzi 2020 Ule mtaji wa 'vijana hawapigi kura' safari hii haupo

inchaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2019
Posts
2,427
Reaction score
4,944
CCM wamekuwa wakitumia kasoro ndogondogo miongoni mwa wapiga kura kama mtaji wa kisiasa.

Kwa miaka na chaguzi kadha, imekuwa ikiaminika kuwa vyama vya upinzani vinapendwa na kujaza vijana katika mikutano yao lakini vijana hawa hawapigi kura pale muda wa kufanya hivyo unapowadia.

Dhana hii imetumika miaka na miaka lakini mwaka huu haifui dafu. wazee au watu wazima wa mwaka huu, ambao ccm imekuwa ikijivunia kuwa ndo wapigakura wake ndo kina sisi hapa. yaani wale vijana wa 1995, 2000, 2005, 2010 na hata 2015 ndo sisi hapa tushakuwa watu wazima na sasa CCM hawana pa kujificha tena. upinzani tunaenda kuupa kura. wazee wetu miaka 60, 70+ ni wachache na tushawaambia watulie tarehe 28 tuna jambo letu.

CCM wamepaniki. zile kauli za makamu wa rais kuwa hata tukipigia kura ccm lazima iunde Serikali ni dhahir kuwa wameshajua aina ya wapigakura wa safari hii.

Watoto wa shule wanaowajaza kwenye mikutano yao ni watoto wetu. wanawajaza ujinga mchana tunawatoa ujinga jioni. ccm isitegemee mtaji wowote wa kisiasa kutoka kwa watoto wetu. wanapoteza muda.

Kwa hiyo vijana wenzangu tuendeni tarehe 28 tukafanye yetu.

Kwa upinzani mwaka huu, ushindi ni saa 4 asubuhi.
 
Hata mm nilipokuwa kijana nilikuwa nashabikia upinzani ila kadiri nilivyokuwa nazeeka nilitambua Nchi hii sio ya kuwapa Wapinzani kwani nikuturudisha kwenye ukoloni wa kizungu.Na pia kadiri mtu anavyokuwa anajitambua, hao unaosema walikuwa vijana ndo sisi tutakipa chama cha Mapinduzi kiongoze Nchi kwa misingi ya Ujamaa na kujitegemea
 
Hata mm nilipokuwa kijana nilikuwa nashabikia upinzani ila kadiri nilivyokuwa nazeeka nilitambua Nchi hii sio ya kuwapa Wapinzani kwani nikuturudisha kwenye ukoloni wa kizungu.Na pia kadiri mtu anavyokuwa anajitambua, hao unaosema walikuwa vijana ndo sisi tutakipa chama cha Mapinduzi kiongoze Nchi kwa misingi ya Ujamaa na kujitegemea
Said Stupid Silly
 
Hata mm nilipokuwa kijana nilikuwa nashabikia upinzani ila kadiri nilivyokuwa nazeeka nilitambua Nchi hii sio ya kuwapa Wapinzani kwani nikuturudisha kwenye ukoloni wa kizungu.Na pia kadiri mtu anavyokuwa anajitambua, hao unaosema walikuwa vijana ndo sisi tutakipa chama cha Mapinduzi kiongoze Nchi kwa misingi ya Ujamaa na kujitegemea
Unazungumzia ujamaa nyakati hizi za kibepari? Kumbe ndo maana mnachekewesha maendeleo ya nchi n fikra zenu za ujamaa, badilikeni dunia ilishaondoka uko
 
Hata mm nilipokuwa kijana nilikuwa nashabikia upinzani ila kadiri nilivyokuwa nazeeka nilitambua Nchi hii sio ya kuwapa Wapinzani kwani nikuturudisha kwenye ukoloni wa kizungu.Na pia kadiri mtu anavyokuwa anajitambua, hao unaosema walikuwa vijana ndo sisi tutakipa chama cha Mapinduzi kiongoze Nchi kwa misingi ya Ujamaa na kujitegemea
Zuzu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mm nilipokuwa kijana nilikuwa nashabikia upinzani ila kadiri nilivyokuwa nazeeka nilitambua Nchi hii sio ya kuwapa Wapinzani kwani nikuturudisha kwenye ukoloni wa kizungu.Na pia kadiri mtu anavyokuwa anajitambua, hao unaosema walikuwa vijana ndo sisi tutakipa chama cha Mapinduzi kiongoze Nchi kwa misingi ya Ujamaa na kujitegemea
Kadri umri unavyoenda macho yanafunguka
 
Hata mm nilipokuwa kijana nilikuwa nashabikia upinzani ila kadiri nilivyokuwa nazeeka nilitambua Nchi hii sio ya kuwapa Wapinzani kwani nikuturudisha kwenye ukoloni wa kizungu.Na pia kadiri mtu anavyokuwa anajitambua, hao unaosema walikuwa vijana ndo sisi tutakipa chama cha Mapinduzi kiongoze Nchi kwa misingi ya Ujamaa na kujitegemea
Wapumbavu wanajimbanua kwa uwazi kabisa.
 
Mtaji wa CCM iliobaki ni wajinga na mafisadi tu
Mtu atakaechagua CCM atakua aidha ni mjinga wa kutupwa au yupo kwenye system kama anavyo Sema polepole waendesha Mavi 8
Dkt Bashiru ameweka wazi Wasomi na watu wa uchumi hawaipendi CCM ila kwa wale wenye maslahi tu
Maana yake mtaji wa CCM ni mafukara na wajinga ambao wengi wao ni waislamu wenzangu!!!!
 
Hata mm nilipokuwa kijana nilikuwa nashabikia upinzani ila kadiri nilivyokuwa nazeeka nilitambua Nchi hii sio ya kuwapa Wapinzani kwani nikuturudisha kwenye ukoloni wa kizungu.Na pia kadiri mtu anavyokuwa anajitambua, hao unaosema walikuwa vijana ndo sisi tutakipa chama cha Mapinduzi kiongoze Nchi kwa misingi ya Ujamaa na kujitegemea
We "mjamaa" unazungumzia ujamaa leo!!?? Unaongea lugha ya kishule kweli. Hizo ni lugha za vitabuni, uhalisia hauko hivyo. Hata hao wakubwa wako ambao wanakula hiyo keki, ukiacha wewe mpambe tu, huo wimbo wa ujamaa walishausahau.

Yule mama wa enzi ya ujamaa, aliwaambia kule Musoma "Sikutaka kuzungumza wamenilazimisha kuongea" "Sisi ni miongoni mwa wale tulioletwa kuongeza vichwa" (yaani idadi ya watu). Huyo sasa ndo ameuishi huo unaouita ujamaa.
 
CCM wamekuwa wakitumia kasoro ndogondogo miongoni mwa wapiga kura kama mtaji wa kisiasa.

Kwa miaka na chaguzi kadha, imekuwa ikiaminika kuwa vyama vya upinzani vinapendwa na kujaza vijana katika mikutano yao lakini vijana hawa hawapigi kura pale muda wa kufanya hivyo unapowadia.

Dhana hii imetumika miaka na miaka lakini mwaka huu haifui dafu. wazee au watu wazima wa mwaka huu, ambao ccm imekuwa ikijivunia kuwa ndo wapigakura wake ndo kina sisi hapa. yaani wale vijana wa 1995, 2000, 2005, 2010 na hata 2015 ndo sisi hapa tushakuwa watu wazima na sasa CCM hawana pa kujificha tena. upinzani tunaenda kuupa kura. wazee wetu miaka 60, 70+ ni wachache na tushawaambia watulie tarehe 28 tuna jambo letu.

CCM wamepaniki. zile kauli za makamu wa rais kuwa hata tukipigia kura ccm lazima iunde Serikali ni dhahir kuwa wameshajua aina ya wapigakura wa safari hii.

Watoto wa shule wanaowajaza kwenye mikutano yao ni watoto wetu. wanawajaza ujinga mchana tunawatoa ujinga jioni. ccm isitegemee mtaji wowote wa kisiasa kutoka kwa watoto wetu. wanapoteza muda.

Kwa hiyo vijana wenzangu tuendeni tarehe 28 tukafanye yetu.

Kwa upinzani mwaka huu, ushindi ni saa 4 asubuhi.
Walijiandikishaaa??
 
Wakati serikali ina hamasisha watu wajitokeze Kwenda kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi mkuu Chadema walikua wakihamasisha watu wasijitokeze Mbaka ipatikane katiba mpya, Chakushangaza baada ya matokeo kutangazwa wata lalamika wameibiwa kura.
 
CCM wamekuwa wakitumia kasoro ndogondogo miongoni mwa wapiga kura kama mtaji wa kisiasa.

Kwa miaka na chaguzi kadha, imekuwa ikiaminika kuwa vyama vya upinzani vinapendwa na kujaza vijana katika mikutano yao lakini vijana hawa hawapigi kura pale muda wa kufanya hivyo unapowadia.

Dhana hii imetumika miaka na miaka lakini mwaka huu haifui dafu. wazee au watu wazima wa mwaka huu, ambao ccm imekuwa ikijivunia kuwa ndo wapigakura wake ndo kina sisi hapa. yaani wale vijana wa 1995, 2000, 2005, 2010 na hata 2015 ndo sisi hapa tushakuwa watu wazima na sasa CCM hawana pa kujificha tena. upinzani tunaenda kuupa kura. wazee wetu miaka 60, 70+ ni wachache na tushawaambia watulie tarehe 28 tuna jambo letu.

CCM wamepaniki. zile kauli za makamu wa rais kuwa hata tukipigia kura ccm lazima iunde Serikali ni dhahir kuwa wameshajua aina ya wapigakura wa safari hii.

Watoto wa shule wanaowajaza kwenye mikutano yao ni watoto wetu. wanawajaza ujinga mchana tunawatoa ujinga jioni. ccm isitegemee mtaji wowote wa kisiasa kutoka kwa watoto wetu. wanapoteza muda.

Kwa hiyo vijana wenzangu tuendeni tarehe 28 tukafanye yetu.

Kwa upinzani mwaka huu, ushindi ni saa 4 asubuhi.
Tunaenda kupiga kura tukamtoe dikteta wetu
 
Mtaji wa CCM iliobaki ni wajinga na mafisadi tu
Mtu atakaechagua CCM atakua aidha ni mjinga wa kutupwa au yupo kwenye system kama anavyo Sema polepole waendesha Mavi 8
Dkt Bashiru ameweka wazi Wasomi na watu wa uchumi hawaipendi CCM ila kwa wale wenye maslahi tu
Maana yake mtaji wa CCM ni mafukara na wajinga ambao wengi wao ni waislamu wenzangu!!!!
Tena ni mtu aliyelaaniwa yeye na kizazi chake chote
 
CCM wamekuwa wakitumia kasoro ndogondogo miongoni mwa wapiga kura kama mtaji wa kisiasa.

Kwa miaka na chaguzi kadha, imekuwa ikiaminika kuwa vyama vya upinzani vinapendwa na kujaza vijana katika mikutano yao lakini vijana hawa hawapigi kura pale muda wa kufanya hivyo unapowadia.

Dhana hii imetumika miaka na miaka lakini mwaka huu haifui dafu. wazee au watu wazima wa mwaka huu, ambao ccm imekuwa ikijivunia kuwa ndo wapigakura wake ndo kina sisi hapa. yaani wale vijana wa 1995, 2000, 2005, 2010 na hata 2015 ndo sisi hapa tushakuwa watu wazima na sasa CCM hawana pa kujificha tena. upinzani tunaenda kuupa kura. wazee wetu miaka 60, 70+ ni wachache na tushawaambia watulie tarehe 28 tuna jambo letu.

CCM wamepaniki. zile kauli za makamu wa rais kuwa hata tukipigia kura ccm lazima iunde Serikali ni dhahir kuwa wameshajua aina ya wapigakura wa safari hii.

Watoto wa shule wanaowajaza kwenye mikutano yao ni watoto wetu. wanawajaza ujinga mchana tunawatoa ujinga jioni. ccm isitegemee mtaji wowote wa kisiasa kutoka kwa watoto wetu. wanapoteza muda.

Kwa hiyo vijana wenzangu tuendeni tarehe 28 tukafanye yetu.

Kwa upinzani mwaka huu, ushindi ni saa 4 asubuhi.
Jiwe huenda akaenda kulazwa kwa mabeberu ndani ya wiki hii
 
CCM wamekuwa wakitumia kasoro ndogondogo miongoni mwa wapiga kura kama mtaji wa kisiasa.

Kwa miaka na chaguzi kadha, imekuwa ikiaminika kuwa vyama vya upinzani vinapendwa na kujaza vijana katika mikutano yao lakini vijana hawa hawapigi kura pale muda wa kufanya hivyo unapowadia.

Dhana hii imetumika miaka na miaka lakini mwaka huu haifui dafu. wazee au watu wazima wa mwaka huu, ambao ccm imekuwa ikijivunia kuwa ndo wapigakura wake ndo kina sisi hapa. yaani wale vijana wa 1995, 2000, 2005, 2010 na hata 2015 ndo sisi hapa tushakuwa watu wazima na sasa CCM hawana pa kujificha tena. upinzani tunaenda kuupa kura. wazee wetu miaka 60, 70+ ni wachache na tushawaambia watulie tarehe 28 tuna jambo letu.

CCM wamepaniki. zile kauli za makamu wa rais kuwa hata tukipigia kura ccm lazima iunde Serikali ni dhahir kuwa wameshajua aina ya wapigakura wa safari hii.

Watoto wa shule wanaowajaza kwenye mikutano yao ni watoto wetu. wanawajaza ujinga mchana tunawatoa ujinga jioni. ccm isitegemee mtaji wowote wa kisiasa kutoka kwa watoto wetu. wanapoteza muda.

Kwa hiyo vijana wenzangu tuendeni tarehe 28 tukafanye yetu.

Kwa upinzani mwaka huu, ushindi ni saa 4 asubuhi.
1603172057324.png
 
Wale waliopata ajira ya siku mbili za uchaguzi NEC wengi wao ni wahitimu wa chuo kikuu kutoka 2016 wako mtaani. Wana mapenzi mema na Lissu kwani huko wanaiona kesho yao.
 
Hata mm nilipokuwa kijana nilikuwa nashabikia upinzani ila kadiri nilivyokuwa nazeeka nilitambua Nchi hii sio ya kuwapa Wapinzani kwani nikuturudisha kwenye ukoloni wa kizungu.Na pia kadiri mtu anavyokuwa anajitambua, hao unaosema walikuwa vijana ndo sisi tutakipa chama cha Mapinduzi kiongoze Nchi kwa misingi ya Ujamaa na kujitegemea
Basi sasa utakuwa lizee lipumbavu!
 
Hold iron steel hot
Kuna vitu Jana vilikuwa agenda Leo sio agenda tena
Mambo yanaenda kasi sana kutafuta tarehe 28.10.2020 wanyonge wakawanyonge wanyonge wao.
 
Hata mm nilipokuwa kijana nilikuwa nashabikia upinzani ila kadiri nilivyokuwa nazeeka nilitambua Nchi hii sio ya kuwapa Wapinzani kwani nikuturudisha kwenye ukoloni wa kizungu.Na pia kadiri mtu anavyokuwa anajitambua, hao unaosema walikuwa vijana ndo sisi tutakipa chama cha Mapinduzi kiongoze Nchi kwa misingi ya Ujamaa na kujitegemea
Wazungu hawakimbiliki kaka
Asikudanganye mtu kuwa anaweza kuendesha serikali bila Hao watu

Haya mfano mzuri ni hiyo picha si Unaona walivyokuwa wanyenyekevu mbele ya mzungu mmoja tu
 

Attachments

  • 2020-10-03 11.21.32.png
    2020-10-03 11.21.32.png
    1,017.4 KB · Views: 1
Back
Top Bottom