Uchaguzi 2020 Ule mtaji wa 'vijana hawapigi kura' safari hii haupo

Wakina mama wajasiliamali, bodaboda JPM alisha wakampata mapemasana 2016 wakati anaingia madarakani.
 
Na kadi za kupiga kura tunazo
 
ukitaka kucheka waulize hao vijana kama walijiandikisha, hata wale waliojiandikisha walikuwa wanatafuta vitambulisho vya kusajili laini za simu na sasa hivi hawajuhi vitambulisho vyao vilipo! Hata kuhakiki niliowaona wanahakikiwa walikuwa akina mama na wazee...upinzani sijuhi ni kwa kutojua au ile staili yao ya zimamoto kwanini hawakuwahimiza wanachama wao kuhakiki taarifa zao!
 
Dogo, bado unaota ujamaa..!! uko sayari gani? Huenda uko dunia ya wafu. Msalimie Mwl. Nyerere na Kwame Nkrumah[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…