Ule ujinga waliofanya Senegal kwa Egypt, Simba nao wamefanya

Ule ujinga waliofanya Senegal kwa Egypt, Simba nao wamefanya

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Ni ujinga wa kumulika wachezaji wa timu pinzani na tochi usoni, sijui soka la Afrika linaelekea wapi.. Timu haziwezi kushinda bila figisu?

20220404_015946.jpg

 
Utopolo hamkosi maneno.

Hakuna goli hata moja limetokana na kupigwa tochi.

Magoli yote ni ya level za akina mbappe na Neyma.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Hata kama ndugu yangu. Mimi ni Simba lakini jambo lile lilinikera sana. Tumeonesha ushamba wa hali ya juu. Halafu aliyefanya hivyo ni mzee kama mimi. Aibu sana yaani.
 
Hata kama ndugu yangu. Mimi ni Simba lakini jambo lile lilinikera sana. Tumeonesha ushamba wa hali ya juu. Halafu aliyefanya hivyo ni mzee kama mimi. Aibu sana yaani.
Hakuna Simba wa hovyo kama wewe,mwanga wa hiyo redio ya huyo baba inafika hata mita 5? halafu Simba gani hajui kama huo mwanga unamezwa na taa za uwanjani? unashindwa hata kutofautisha mbwembwe na fans na hujuma
 
Hata kama ndugu yangu. Mimi ni Simba lakini jambo lile lilinikera sana. Tumeonesha ushamba wa hali ya juu. Halafu aliyefanya hivyo ni mzee kama mimi. Aibu sana yaani.
Mwanga wa touching hiyo haufiki hata 1m,na kumbuka Egyptians ndio waasisi wa hii kitu, kumbuka Ile CAF game kati ya Mamelodi Sundown vs Ahily, Golikipa wa Sundown Onyango alimulikwa mno na vitochi hivi,welldone Simba sc kwa kutuwakilisha vema na hope's next season tutapata nafasi ya ziada kama nchi kutokana na uwakilishi wenu mzuri
 
mwanga wa touching hiyo haufiki hata 1m,na kumbuka Egyptians ndio waasisi wa hii kitu, kumbuka Ile CAF game kati ya Mamelodi Sundown vs Ahily, Golikipa wa Sundown Onyango alimulikwa mno na vitochi hivi,welldone Simba sc kwa kutuwakilisha vema na hope's next season tutapata nafasi ya ziada kama nchi kutokana na uwakilishi wenu mzuri
Tangu lini kosa likahalalisha kosa jingine. Ninyi ndio mnataka kuharibu sifa nzuri ya mpira wa simba kwa kushabikia upumbavu.
 
hii ni excuse ya kipumbavu huo mwanga wa torch haiufiki hata mita 30 . tukubali tu kuwa Simba wamefanya yale ambayo wengine huwa tunashindwa. na torch hazihusiki kabisa. huyo mzee amejipatia tu umaarufu na torch yake ya tsh 3,000 kwa wamachinga.... haikuwa na msaada wowote. yanga tukubali tusije na excuse za kipuuzi ..
 
Kuna mijitu mijinga humu inatetea upuuzi,hyo picha ya mzee ni kama kielelezo tu lakin jana zile tochi zenye mwanga mkali zilikiwemo uwanjan

Kwa kwel tuacheni kuiga vitu vya kijinga,tunawapa nafasi watu wa yanga kuongea wakati timu imepambana kwa uwezo wake
 
Yaani mleta mada anataka kutuaminisha kwamba Hiyo Tochi ya Simu redio ya huyo mzee ina mwanga mkali kuliko Taa za Uwanjani zenye zaidi wa Watts 2000??
Hyo picha imewekwa tu lakin jana tochi zenye mwanga mkali zilikuwemo,acheni kushabikia ujinga
 
Una
hii ni excuse ya kipumbavu huo mwanga wa torch haiufiki hata mita 30 . tukubali tu kuwa Simba wamefanya yale ambayo wengine huwa tunashindwa. na torch hazihusiki kabisa. huyo mzee amejipatia tu umaarufu na torch yake ya tsh 3,000 kwa wamachinga.... haikuwa na msaada wowote. yanga tukubali tusije na excuse za kipuuzi ..
Unajifanya kama ukuona gorikipa alivyokuwa ana mulikwa
 
Back
Top Bottom