Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wewe Mkuu au mwingine? Asante umetoa somo na si lazima walielewe hilo.hii ni excuse ya kipumbavu huo mwanga wa torch haiufiki hata mita 30 . tukubali tu kuwa Simba wamefanya yale ambayo wengine huwa tunashindwa. na torch hazihusiki kabisa. huyo mzee amejipatia tu umaarufu na torch yake ya tsh 3,000 kwa wamachinga.... haikuwa na msaada wowote. yanga tukubali tusije na excuse za kipuuzi ..
We Haji Manara naona umeishiwa akili sasa....ushindi wa Simba jana haukutokana na huyu Mze, ile timu yako ilizidiwa kimchezo na kama Simba wangekuwa makini ile timu yako ingekula hata magoli 6 au 7. Cha kushangaza sasa, hata ile timu yenyewe hailalamiki ila wewe usiye mchezaji ndiyo unatokwa na povu, huoni haibu?Ni ujinga wa kumulika wachezaji wa timu pinzani na tochi usoni, sijui soka la Africa linaelekea wapi.. Timu haziwezi kushinda bila figisu?
View attachment 2174877
Lataaaaa rufaaaaa CAF kama misri walivokata rufaaa wapelekeee iyo picha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣#4Ni ujinga wa kumulika wachezaji wa timu pinzani na tochi usoni, sijui soka la Africa linaelekea wapi.. Timu haziwezi kushinda bila figisu?
View attachment 2174877
Nyie yenu mnayoiamini imefika wapiWaliiga ujinga tu ni kama vile hawaiamini timu yao
umemalizahii ni excuse ya kipumbavu huo mwanga wa torch haiufiki hata mita 30 . tukubali tu kuwa Simba wamefanya yale ambayo wengine huwa tunashindwa. na torch hazihusiki kabisa. huyo mzee amejipatia tu umaarufu na torch yake ya tsh 3,000 kwa wamachinga.... haikuwa na msaada wowote. yanga tukubali tusije na excuse za kipuuzi ..
we si unapenda picha,peleka hiyo CAF uone kama hawajakutia doleWaliiga ujinga tu ni kama vile hawaiamini timu yao
hizi tochi zinapatikana wapi? naona ni nzuri kumulika kibakaView attachment 2174916
technolojia inayotumia hii torch na hiyo simu ya huyo mzee ya elfu 40000 ni vitu viwili tofauti kabisa, mzee alikomaa kufuraisha genge tu, huo mwanga haufiki popote na unamezwa na taa za uwanjani maana sio laser
meza dawa za maumivu. goli 4 ni nyingi sanaNimekudharau. Shabiki wa hovyo kabisa wewe.
Ni bora kukerwa na Jambo la tochi kuliko kukerwa na maneno ya press conference ya manara na mashabiki wa utopolo kama Simba angefungwa hii mechi.Hata kama ndugu yangu. Mimi ni Simba lakini jambo lile lilinikera sana. Tumeonesha ushamba wa hali ya juu. Halafu aliyefanya hivyo ni mzee kama mimi. Aibu sana yaani.
Tena wa kikeKiufupi tu acha wivu
Mkuu, ushindi wa Simba UMEKUKERA eeeeh!!? Ramba limao!Waliiga ujinga tu ni kama vile hawaiamini timu yao
Sasa mechi inachezwa saa Nne usiku ulitaka watu watokeje na je umeme ungekatika na kuzimika pale uwanjani usiku huo ingekuwaje...Hyo picha imewekwa tu lakin jana tochi zenye mwanga mkali zilikuwemo,acheni kushabikia ujinga
hizi tochi zinapatikana wapi? naona ni nzuri kumulika kibaka
Kabis, umenena vyema...View attachment 2174916
technolojia inayotumia hii torch na hiyo simu ya huyo mzee ya elfu 40000 ni vitu viwili tofauti kabisa, mzee alikomaa kufuraisha genge tu, huo mwanga haufiki popote na unamezwa na taa za uwanjani maana sio laser
Hyo picha imewekwa tu lakin jana tochi zenye mwanga mkali zilikuwemo,acheni kushabikia ujinga
Kwa hiyo tochi ndo zilifanya afungwe? Kwa mfano goli ganiUna
Unajifanya kama ukuona gorikipa alivyokuwa ana mulikwa